Mbeya: Wananchi wenye hasira wachinja hadi kuua watoto wawili wa Diwani wa CCM

Mbeya: Wananchi wenye hasira wachinja hadi kuua watoto wawili wa Diwani wa CCM

Chama cha Mizigo, madiwani wa maCCM wanakuwa na matatizo gani?

Wangelipiza kwa diwani husika, "wangemmabina" kwa watoto wake wamekosea sana japo ujumbe umemfikia akiwa hai.

Poleni wafiwa ila huyo diwani wammabina fasta...

kama vipi "wamliberatusbarlow"
 
Huko ndiko chadema wanakotupeleka

Nawatakia kila la heri polisi watakaofanya operesheni kamata kamata huko mbeya

NAWAOMBA POLISI WASIACHE HATA JIWE MOJA BILA KULIGEUZA.

PIGA KAMATA FUNGA, ndio dawa

mkuu, sio kosa lako--inaonekana akili zako umezisahau nyumbani. chadema inaingiaje ktk issue hii?
 
Hatari hii. Na mkuu wa nchi kutwa kuchwa yupo angani tu akija kushtuka nchi haikaliki tena!
 
tatizo wengi wanapogombea kwa tiketi ya ccm wanatumia gharama kubwa wakitemea watazirudisha kirahisi wakiwa madarakani, haya sasa nani atarudisha uhai wa watoto wasio na hatia? ccm ni pepo baya sana!
 
furaha yenu....kuchinja watoto...kweli sasa naanza kusadiki maneno ya nchi haita tawalika ....tunaanza kuona machinjio yetu yame fika..na watoto wetu hawana tena amani.....kwani wenye uchu wa ikulu walishatamka haita tawalika mpaka wapishwe wao ikulu
 
Wanaofurahia mauaji HAYA ya kutisha KISA tu SIASA ,HAKIKA wanapashwa kujitafakari tena NA tena,HILI NI TUKIO LA KULAANIWA NA MWANADAMU YEYOTE MWENYE AKILI TIMAMU,MUNGU AWAPE PUMZIKO LA MILELE MALAIKA HAWA WALIYOUWAWA BILA HATIA,NA WAUAJI WA HAWA WOTE,DAMU HII IWALILIE JUU YAO.
 
Huko ndiko chadema wanakotupeleka

Nawatakia kila la heri polisi watakaofanya operesheni kamata kamata huko mbeya

NAWAOMBA POLISI WASIACHE HATA JIWE MOJA BILA KULIGEUZA.

PIGA KAMATA FUNGA, ndio dawa

Ushauri huo ungeutoa zamani kabla watu hawajajua haki zao, tungeona umenena, lakini sasa you are too late to catch a moving train.

Polisi wakikamata na kupiga watu hovyo, lazima kituo hicho lazima kitapigwa kiberiti! Mabina alikuwa na risasi lakini mawe yaka shinda vita! Wake up koplo saluti!
 
Huko ndiko chadema wanakotupeleka

Nawatakia kila la heri polisi watakaofanya operesheni kamata kamata huko mbeya

NAWAOMBA POLISI WASIACHE HATA JIWE MOJA BILA KULIGEUZA.

PIGA KAMATA FUNGA, ndio dawa

Umejuaje kuwa ni chadema??? Jenga hoja na si lawama, unadhihirisha wazi kuwa unatumika vibaya sana kuliko hata toilet mkuu
 
Watu wasiojulikana wamewaua watoto wawili,mmoja akiwa ni binti wa kazi wa Diwani wa CCM kata ya Mkingamo wilaya Momba mkoani Mbeya.

Chanzo cha mauaji inasemekana ni dhuluma ya viwanja kwa wananchi wa kawaida.

Habari zaidi zinasema kawadhurumu wananchi viwanja vingi sana,wakati mwingine huuza kiwanja kimoja kwa zaidi ya watu watatu.
Inasemekana hata ukimpeleka mahakamani anakushinda kesi,kifupi ni kuwa mahakama aliiweka mfukoni.

si sahìhi kuchukua sheria mkononi. Ungekuwa wewe ndo umeuawa kw makosa ya ndugu yako, isingependeza sana. Ardi imelaaniwa, tujihadhari sana na migogoro ya ardhi.
 
Hatari hii. Na mkuu wa nchi kutwa kuchwa yupo angani tu akija kushtuka nchi haikaliki tena!
Waliopewa dhamana wamemuangusha akiwemo "wapigwe tu".
 
  • Thanks
Reactions: SMU
duh nguvu ya umma sasa inaamua kuchukua mkondo wake, lazima wengine watajifunza kupitia hao wenzao wanaochinjwa maana wananchi tumechoka mahakamani wanatushinda na tukichelewa watatuua wao kwa hiyo tunajilinda sisi pamoja na mali zetu

ndio akili yako inavyokutuma useme. pumba.....f inaonekana huna watoto bado! hivi hawa watoto kosa Lao likowapi mpaka wauwawe? Acheni ushabiki katika mambo mazito. hawa hawajui hata maana ya siasa, hawakustahili kuhukumiwa kwa makosa ya baba yao unless waliofanya hivi ni majambazi nasio wananchi wanaompinga diwani.
 
Wee mbulumundu tu kama viongozi wako

Mshukuru niliacha upolisi, sidhanai kama bado ningekuwa jeshini wengi mngekuwa mnafanya upuuzi kama huu.

Nilikuwa sicheki na mhalifu, na siku ukiona meno yangu ujue nataka kukuuma sio kukuchekea...,,,, kenge wee!
Uliacha upolisi kwa sbb gani? Ulifukuzwa? Una roho km ya luzferi... Wacha roho km ya shetani...
 
mimi siyo mwanasiasa lakini kwa hili! mtoa uzi ulikuwa na kesi ya kujibu kwasababu wauaji na sababu za kuua unazifahamu! ungetusaidia vizuri wewe ulizijuaje! ungetuonesha sehemu ya data ulizokusanya kudhibitisha sababu za watoto hao kuuawa! huwezi kunishawishi kwamba aliyeua msichana wa kazi na mtoto, kwamba alikuwa na hasira juu ya diwani! siyo kweli! wao(wauaji) hawajui kama bint wa kazi siyo mtoto wa diwani? tunaongea kirahisi lakini kunawatu wanasikitika kuondokewa na mtoto wao. tuwe makini na ushabiki mwingine usio na tija! mimi siasa naiweza lakini si kwa mambo kama haya! muuaji ni muuaji hata kama amemuua mhasimu wake! natamani wakamatwe na wahukumiwe tena kwa mujibu wa katiba na sheria zetu!
 
Hao wanaongozwa na nguvu za shetani, sawa tu na mleta post anaye3andika kwa kufurahia.

Chadema ni chama hatari kwa usalama wetu, haya mambo hayakuwepo zamani

Chris Lukosi uwe na nidhamu chadema imewanyang'anya viwanja wananchi gani? CCM wabebe dhambi zao wamemwaga sana damu za watu, na hata leo bunge linajadili umwagaji damu wa serikali ya CCM!
 
Last edited by a moderator:
Tumefika hapa tulipo kwasababu ya maneno kama ya Chris Lukosi!. Na tusishangae kuona mengine na mengine kama wanasiasa uchwara kama Lukosi wataendelea kuliangamiza taifa kwa kutokuwa na hoja na badala yake kueneza chuki!.
aliwahi kuangakua kwa kifafa tangu wakati huo akili yake haiko sawa huyo Lukosi
 
Back
Top Bottom