Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linawashikilia Watu wanne kwa tuhuma za kufurahia kifo cha hayati John Magufuli kwa kupika supu na kununua ndoo ya lita 20 ya pombe ya kienyeji ya Ulanzi.
Pia soma > Manyara: 8 mbaroni kwa kushangilia kifo cha Magufuli
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linawashikilia Watu wanne kwa tuhuma za kufurahia kifo cha hayati John Magufuli kwa kupika supu na kununua ndoo ya lita 20 ya pombe ya kienyeji ya Ulanzi
RPC wa Mbeya, Urlich Matei amesema ni jambo la kushangaza kwa baadhi ya Watu kufanya vitendo hivyo huku Nchi ikiwa kwenye maombolezo ya siku 21
Pia soma > Manyara: 8 mbaroni kwa kushangilia kifo cha Magufuli
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linawashikilia Watu wanne kwa tuhuma za kufurahia kifo cha hayati John Magufuli kwa kupika supu na kununua ndoo ya lita 20 ya pombe ya kienyeji ya Ulanzi
RPC wa Mbeya, Urlich Matei amesema ni jambo la kushangaza kwa baadhi ya Watu kufanya vitendo hivyo huku Nchi ikiwa kwenye maombolezo ya siku 21