Mbeya: Watu wanne (4) mbaroni kwa kufurahia kifo cha Rais Magufuli kwa kupika supu na kununua lita 20 za Ulanzi

Mbeya: Watu wanne (4) mbaroni kwa kufurahia kifo cha Rais Magufuli kwa kupika supu na kununua lita 20 za Ulanzi

Kama jitu limeua ndugu zangu,limeua wazazi wangu,limeninyima haki ya kuchagua viongozi ninaowapenda,linaua watu kwa kudai kuwa hakuna Corona na kukejeli wanaovaa barakoa,linaua biashara,linaminya uhuru wa kujieleza,linateka watu na kuwaua na kadhalika likifa lazima nifanye sherehe.
Nimeshanunua mbuzi kesho namchinja na kusherekea kwa vinywaji,yani mungu katupa pasaka 2
 
Hii Serikali mbona inafanya mambo ya aibu?
Toka lini msiba ukawa ni wa lazima kwa kila mtu kusikitika au kuhuzunika??

Rais SSH usipokemea huu wendawazimu wa Serikali yako, mwisho wa siku na wewe utaonekana ni mmoja wao. This madness has to be condemned strongly!
 
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linawashikilia Watu wanne kwa tuhuma za kufurahia kifo cha hayati John Magufuli kwa kupika supu na kununua ndoo ya lita 20 ya pombe ya kienyeji ya Ulanzi

View attachment 1733905
hizi kesi za kuku na bata. okay si jambo jema lakin si wote wanasikitika kifo cha mzee wetu jpm RIP.
hili ni kawaida kwa binadamu huwez wapangia feelings zao.

haya matukio wasiwe wanayangaza maana wanaonekana watoto. jeshi la polic mnaonekana kituko kwa kazi kama hiz.

mna kazi nyingi za maana nchi hii
 
Mimi kwetu uyahudi kila mtu afaye na umri wa zaidi ya miaka 60 huwa tunafanya sherehe hata kama Mimi nipo Peke yangu ugenini maadam aliyekufa nimempa hadhi ya Uyahudi lazima nifurahi ati
Kikwetu kama Marehemu ana mtoto na mke tunachinja dume siku ya kumrestisha na pombe za kufa mtu.
 
Kazi ya serikali ni kupangia watu hisia?.mbona wao walikuwa wanatufundisha nyimbo mashuleni walizoziitikadi kuwa za kizalendo kuwa "Idd Amin akifa me siwezi kulia,nitamtupa Kagera awe chakula cha mamba"?.
Au Amin hakuwa mtu?hakuwa rais?
Kwani Raisi wetu unataka kumlinganisha vitendo vyake kama Iddi Amini kwa watu wengine?
 
Back
Top Bottom