Lituye
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 1,864
- 5,695
Yaani Mimi sijui nawakera maana Kila siku nafanya sherehe jambazi limekufa na sijawahi kujuta wala kusikitika kifo cha Dikteta uchwara. Apandacho mtu ndicho atakacho vuna. Kwa kuwa alipanda jeuri na ukatili miomgoni mwa watu na sisi tunamchumia mazao aliyo yapanda.
Msema Kweli ni mpenzi wa Mungu.
Msema Kweli ni mpenzi wa Mungu.