anamuongelea JIWE, yaani ingewezekana afufuke halafu afe tena jamaniKwani KAFA nani Tena mkuu maana hujasema
Ukionea watu lazima ukifa wafurahieTulimpoteza Mwalimu Nyerere, Baba wa Taifa letu. Tulihuzunika sana. Sikuwahi kusikia au kuona kwenye mtandao wowote, mtu yeyote akifurahia...
Limeumiza watu snJambazi ambalo limepora wengi ana kuua wengi likifa lazima jamii ifurahi
Kwani wewe ni mgeni katika hii Israel hata usijue yaliyotokea?Kwani KAFA nani Tena mkuu maana hujasema
Msiba wa mtu wa Mungu huambatana na heri nyingi. Msiba wa laana huambatana na maafa mengi.... lakini Mkuu kumbuka walipofariki hao uliowataja, kipindi cha maombolezo ya misiba yao, hapakuwa hata na "sisimizi" aliyedhurika! Lakini yule mwingine ilitolewa taarifa, tena taarifa rasmi, kwamba "kasindikizwa" na makumi wakitoa heshima zao; wakaongozana naye! Unadhani nani alikuwa "mtu wa watu" zaidi?
kuna haja kubwa sana ya kulivunjilia mbali jeshi la polisi na kuliunda upyaSku zote polis tz wanajua wao n mali ya SSM
Kwetu Babu akifa, wajukuu wanasherehekea, miziki na nyama chomaMbona nyama choma waliagiza wengi sana,mbona kwenye familia nyingi kukiwa na msiba wanachinja ng'ombe kama mboga.Sasa intelijensia iliona huko mby tu?
Kwenu wapi ?Kwetu Babu akifa, wajukuu wanasherehekea, miziki na nyama choma
Kwani hapo Hotel Desderia hakumshangilia? Maana mlijua kiboko ya wazembe na mafisadi ametoweka.Ninao Ushahidi wa watu kadhaa kukamatwa maeneo ya Mwanjelwa Jijini Mbeya kwa tuhuma za kuhisi tu kwamba Wali wao waliopika pamoja na vinywaji vyao walivyokunywa kwa pamoja eti ilikuwa ni kushangilia kifo cha Dr Magufuli , jambo ambalo halijawahi kuthibitishwa na yeyote , na bila shaka kutokana na hulka za Jeshi la polisi Tanzania kuna Wahanga wengine waliobambikwa kusherehekea jambo hili maeneo mengine kama ilivyo ada ...
wewe unaongea kama nani, na hatuwaachii pumbavuJeshi la Polisi Mkoani Mbeya linawashikilia Watu wanne kwa tuhuma za kufurahia kifo cha hayati John Magufuli kwa kupika supu na kununua ndoo ya lita 20 ya pombe ya kienyeji ya Ulanzi.
Pia soma > Manyara: 8 mbaroni kwa kushangilia kifo cha Magufuli
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linawashikilia Watu wanne kwa tuhuma za kufurahia kifo cha hayati John Magufuli kwa kupika supu na kununua ndoo ya lita 20 ya pombe ya kienyeji ya Ulanzi
RPC wa Mbeya, Urlich Matei amesema ni jambo la kushangaza kwa baadhi ya Watu kufanya vitendo hivyo huku Nchi ikiwa kwenye maombolezo ya siku 21
Lini hiyo imepitishwa mkuuKayafa kasha kuwa kiongozi wa malaika