dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
... lakini Mkuu kumbuka walipofariki hao uliowataja, kipindi cha maombolezo ya misiba yao, hapakuwa hata na "sisimizi" aliyedhurika! Lakini yule mwingine ilitolewa taarifa, tena taarifa rasmi, kwamba "kasindikizwa" na makumi wakitoa heshima zao; wakaongozana naye! Unadhani nani alikuwa "mtu wa watu" zaidi?