Sasa wananyimwa haki ya kufuatilia masuala yanayowahusu hususani Bandari na economic zone.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wananyimwa haki ya kufuatilia masuala yanayowahusu hususani Bandari na economic zone.
Ahsante kwa taarifa, lakini mimi humu siangalii kabisa masuala ya kisiasa wala sina mpango nayo na wala sihitaji kumjua huyo Mwambukusi historia yake kisiasa, Ila namuangalia kama ni Mpigania haki wa mali za Taifa ambazo ndiyo urithi wetu na vizazi vijavyo!Naelewa nachokiongelea, huyo wakili Mwabukusi ni mwanasiasa tu aliyeshindwa ubunge 2020 anatafuta kutoka upya 2025.
Yupo kwenye kampeni hata hapo mahakamani, anajua atashindwa kwenye hili suala zima la kesi lakini umaarufu tayari keshaujenga.
Unajidanganya, mwenzio yupo kujinufaisha kisiasa pale.Ahsante kwa taarifa, lakini mimi humu siangalii kabisa masuala ya kisiasa wala sina mpango nayo na wala sihitaji kumjua huyo Mwambukusi historia yake kisiasa, Ila namuangalia kama ni Mpigania haki wa mali za Taifa ambazo ndiyo urithi wetu na vizazi vijavyo!
Huko 'Vienna' ndiko wanakokubali mambo ya kipuuzi yakiwekwa kwenye Mkataba?
Sheria zetu zinapingana na hiyo 'Vienna' au vipi?
Unafahamu kinachojadiiwa hapo Mahakaman???? Maccm bure kabisa
Miaka mitano tu watakuja kupata aibu ya Karne, watashangaa bandari itakavyokuwa yenye ufanisi, watashangaa bandari itavyochangia 50% + ya bajeti ya nchi, hakika watajidharau Kwa jitihada zao mfu za kupinga maendeleo.kesi hii mwabukusi na wenzake hakika watashindwa, hata kabla hawajapeleka walijua wanapeleka ila watashindwa. hata hivyo, naamini wao lengo lao hata halikuwa kushinda, ila walilenga kupaza sauti nchi yote na nje ya nchi ijue kuwa watanganyika hii kitu wameikataa, na washinde au washindwe hiyo itabaki alama itakayowahukumu viongozi wa serikali milele, wajukuu wetu watakuja kuwanyooshea vidole kwamba hamkusikiliza kelele za wananchi na hata kesi ilipofunguliwa bado hamkusikia. kwasababu hio, washinde, wasishinde kwao ni ushindi tu kwasababu wamefanikiwa kufikisha ujumbe na kupambana pale mkono unapofika. hadi sasa wameshashinda kwasababu lengo lao limeshatimia ambalo halikuwa kushinda kwenye makaratasi bali kushinda kwa kufikisha kilio cha watanganyika walio wengi. wametumia uwezo wao wote kuzuia dp world, at least they have done something, and we should appreciate what they are doing.
Anapigania maslahi yake ya baadae ya kuweza kuingia bungeni. Kauli zake mara nyingi ni za kuchanganya masuala ya kisheria na kisiasa, masuala ya kuiongelea Tanganyika ni kielelezo tu cha uanasiasa wake.Ahsante kwa taarifa, lakini mimi humu siangalii kabisa masuala ya kisiasa wala sina mpango nayo na wala sihitaji kumjua huyo Mwambukusi historia yake kisiasa, Ila namuangalia kama ni Mpigania haki wa mali za Taifa ambazo ndiyo urithi wetu na vizazi vijavyo!
Haya maneno yalisemwa mara nyingi na viongozi wa CCM, kuanzia kipindi cha Net Group Solution ya Makaburu, Umeme wa Gesi Mtwara, Bwawa la Kufua Umeme la Nyerere (ambalo leo tunapashwa kuwa halitaleta nafuu yoyote kwenye umeme) na Bandari kumilikiwa na DP World. Ila baada ya kupata akili, kitakachosikika Bungeni ni kuwa hawajui suala hilo lilipitishwa vipi Bungeni!Miaka mitano tu watakuja kupata aibu ya Karne, watashangaa bandari itakavyokuwa yenye ufanisi, watashangaa bandari itavyochangia 50% + ya bajeti ya nchi, hakika watajidharau Kwa jitihada zao mfu za kupinga maendeleo.
Sasa Kama ni Makubalioni, Je Bunge linapitisha Makubaliano?.Nadhani, kwa maoni yangu issue ya kwanza ni JE IGA NI MKATABA AU NI MAKUBALIANO?
Alishindwa Kwa uchaguzi gani??Mwabukusi alishindwa na Mwakibete na kwa sasa yupo kwenye kampeni za kutafuta tena jimbo. Yote anayofanya mpaka kutukana viongozi wa nchi ni kampeni aliyoanza kabla ya muda.
2020 kule Mbeya, jimbo likachukuliwa na Mwakibete, nadhani Mbeya Vijijini.Alishindwa Kwa uchaguzi gani??
Pls nisaidie Hilo.
Kama una akili timamu, unaweza kunipinga kwamba Mwaka 2020, uke haikua uchaguzi Bali uchafuzi?.2020 kule Mbeya, jimbo likachukuliwa na Mwakibete, nadhani Mbeya Vijijini.
Hiyo ndiyo hukumu ya mahakimu au yako?Mama amekuwa kiburi kwasababu mali inakwenda kwa wajomba na kama yeye hakuna anachopoteza.
CCM inabidi ibadili katiba ya chama ya kuwa rais ndioe m/kiti wa chama, maana kama tutapata rais mjinga nchi itateketea
Unavyoona wew hiyo ni hukumu au maoni kwa maccm?Hiyo ndiyo hukumu ya mahakimu au yako?
Soma bichwa la mada llinasemaje?Unavyoona wew hiyo ni hukumu au maoni kwa maccm?
Kanisome tena tazama na vitu vinavyoitwa alama ya kuuliza kabla hujakurupuka.Wamekwambia wamehukumu🐸🐸🐍🐍🐐🐐
Wewe unaeleweka na unafaa kusikilizwa.Tafasiri zote za mikataba ya kimataifa hufanywa kupitia VCLT. Lakini pia huwezi kutumia katiba ya nchi kupinga vipengele vya mkataba, unachotakiwa kupinga ni sheria ya idhinisho la mkataba (Instrument of Ratification). Kama utaratibu ungekuwa ni huu, basi nchi nyingi zingekuwa zinafungua kesi mahakamani ili kuvunja mikataba ya kimataifa.
Mawakili wasomi wana kesi na madai mazuri na halali kabisa, lakini kuna vitu vichache ambavyo wangetakiwa kuvirekebisha kabla ya kufungua kesi. Matatizo mengi yatakuja kwenye Legal Technicalities na siyo Merits za kesi.