Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upuuzi mtupu.UVCCM uchwara mda wote upo na watawala tu kila awamu unabadili gia, hivi zimo kweli
Huwa unajichoresha sana na kuonekana mpuuzi mwandamizi.🤔Upuuzi mtupu.
Nyinyi ndo wahaini wa nchi kwa kujali matumbo yenuUpuuzi mtupu.
Hebu weka ushahidi.Nyinyi ndo wahaini wa nchi kwa kujali matumbo yenu
Upuuzi mtupu.🤣Huwa unajichoresha sana na kuonekana mpuuzi mwandamizi.🤔
Kichwa cha kuku kabisa.Tetea vitu vya maana wewe.Ntakuchapa makofi hadi utokwe udenda mwepesi.🤔Upuuzi mtupu.🤣
Kwani ameshapelekwa mahakamani?
Mbeya mna mzuka mpaka mbaboa😆😆Taarifa kutoka kwa Phillipo Mwakilima Wakili wa Watuhumiwa wa Uhaini , inaeleza kwamba zaidi ya Mawakili 100 wamejitokeza kumtetea Dr Slaa na wenzake , kwenye kesi ya uongo ya uhaini waliyobambikwa na serikali ya Tanzania , baada ya kujitokeza kupinga mkataba wa milele wa Bandari za Tanganyika .
Tayari wengine wamekwishaanza kuripoti Mkoani Mbeya kwa ajili hiyo .
View attachment 2719051
,😆😆😆View attachment 2719053
Afu uzuri neno lenyewe limetoka huko huko arabuni
Ushauri wa kiboya huu. Kwa kiongozi ngazi ya Ubalozi kutishia kupindua nchi yako ni uhaini uliopotiliza.Mama anaandamwa na zimwi lililoko nyumbani kwake.
Vunja mkataba
Vunja baraza zima la mawaziri.
Weka sura mpya zote.
Uzirudishe viraka. Weka rekodi yako maana 2025 hatuendi na wewe
Chagua kuwa Angel Merkel au Joyce Banda
Sent using Jamii Forums mobile app