Mbeya: Zaidi ya Mawakili 100 wamejitokeza kuwatetea Dkt Slaa na Wenzake

Mbeya: Zaidi ya Mawakili 100 wamejitokeza kuwatetea Dkt Slaa na Wenzake

Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) limeshindwa kwenye kesi yake IPTL -Independent Power Tanzania Limited.

Hukumu hiyo imefikiwa mwisho wa wiki iliyopita ambapo World Bank tribunal (international centre for settlement of investment disputes.
ICSID imeamuru TANESCO kuilipa Standard Chartered Bank Hong Kong (SCB HK) kiasi cha dola za kimarekani milioni 148.40 pamoja na tozo riba.

SCB HK ndio walionunua mkopo wa IPTL kutoka bank ya Malaysia Danaharta kwa gharama ya dola za kimarekani milioni 76.1

Kwa habari zaidi soma the Guardian la leo:

My take.
Muda si mrefu tutasikia Tanzania yashindwa kesi na DP world yatakiwa kulipa trillioni 15.

Njia mpya iliyobuniwa na wajibu ndani ya serikali kuchota kodi za walala hoi, unasaini mkataba wa kijinga ambao ni kichaa tu anayeweza kuuvumilia alafu ukiulizwa unasema tumeshindwa kesi tulipeni tu.
 
Wenzako wananyea ndoo wewe unakazania propaganda,,

Nyie ndio mliokuwa mnamwambia Slaa asijar mpo nyuma yake.
Mzee wa watu akajiropokea saiz anajuuta.

Hizo ndio tabia za watu wa mitandaoni
Jamaa Mzalendo
Haogopi
Anafaa kuwa Rais

Baadaya kukamatwa
Tuko pamoja na wewe
Wasizani wanakukomoe ndio ujasili unaongezeka
Mungu atakusimamia
Tuko nyuma yako
Hapo watu washakuacha
 
Taarifa kutoka kwa Phillipo Mwakilima Wakili wa Watuhumiwa wa Uhaini , inaeleza kwamba zaidi ya Mawakili 100 wamejitokeza kumtetea Dr Slaa na wenzake , kwenye kesi ya uongo ya uhaini waliyobambikwa na serikali ya Tanzania , baada ya kujitokeza kupinga mkataba wa milele wa Bandari za Tanganyika .

Tayari wengine wamekwishaanza kuripoti Mkoani Mbeya kwa ajili hiyo .

---
Zaidi ya mawakili 100 kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo TLS wanatarajia kuungana na mawakili watatu kumtetea Balozi Dk Willibrod Slaa na wenzake wawili katika kesi ya uahaini wanayotuhumiwa nayo.

Akizungumza nje ya Mahakama Wakili Philip Mwakilima anayewatetea Wakili Boniface Mwabukusi na Mdude Nyagali amesema mawakili hao wameshaanza kuwasili Jijini Mbeya kwa ajili ya kesi hiyo.

Hata hivyo watuhumiwa hao wanaendelea kushikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Mbeya ikiwa ni siku ya nne bila kufikishwa mahakamani kwa kesi ya uhaini wanayotuhumiwa nayo.

Mwakilima amesema kwa mujibu wa sheria watuhumiwa walipaswa kufikishwa mahakamani leo lakini hawajafikishwa na wanakusudia kufungua kesi kwa lengo la kuiomba Mahakama imlazinishe Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuwafikisha mahakamani au kuwaachilia endapo watabaki wakiwashikilia.
Ikiwezekana, wajitokeze mawakili hata 1,000, na kesi iendeshwe kwenye viwanja vya wazi, wananchi wote washuhudie jinsi tulivyo na jeshi la polisi na Serikali ya kishetani.
 
Wekeni account za benki au namba ya mpesa wazalendo tuweze kuwachangia hao mawakili ,
Tunataka bandari zetu huwezi kuuza bandari za Watanganyika kama unauza maandazi kibarazani kwako
 
Rais yuko huu ya katiba, hivyo sheria na mamlaka zooote zinamtii..

Hata wangeungana mawakili wote nchini hawataweza. Hatma ya akina Dr. Slaa iko mikononi na nafsini mwa rais.
Yeye ni mtu tu sio na sio Mungu, sisi tunalia na Mungu tu sasa tuone mwisho wake
 
washamba sana hao wanyakyusa, bandari ya Dar es Salaam wala haiwahusu, wenyeji bandari yao wako kimya kistaarabu sijui wao wanyakyusa wanawashwa na nini, wanafiki wakubwa, wana lao jambo siyo bandari. Ila wajue nchi yetu iko strong watanyooka wote wapumbavu hao. Kuna wanasiasa wanawatumia vibaya maana nimeona wananchi wamevamia eneo la TARI wanaitwa ofisi ya mkuu wa wilaya akiwepo waziri wa kilimo wanasema wako busy, kuna watu wanawadanganya kwamba wasiitii serikali, siku yakiwakuta wasije kulialia km hao wapumbavu wanavyolialia sana sahivi kule mahabusu. Mara wagome kula, si waache kula kwa faida yao, au wakiamua wajifie huko. Rais aliwatahadharisha km hawajamwelewa labda watakuwa na rais wao, wasije shangaa wakikutana na magreda yanabomoa yale mabanda yao. kuna wanajiita machifu nao wanajikakamua kuposha wananchi, machifu wa nchi hii hawana mamlaka yoyote kazi yao ni kutambikia tu kwenye makabila yao, na kuna maaskofu wa mchongo kule Mbeya wanawadanganya wananchi wasiwatii viongozi wao, sijui wanatumia biblia gani maana biblia inatutaka kutii mamlaka maana mamlaka zote zatoka kwa Mungu.
Ukitumia makalio kufikiri ndio matatizo yake haya yaani ni kuandika ujinga tu
 
Kama humwelewi Dr Slaa hajawhi nyamazia ufisadi wenu so hajutii!

Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
Rostam alishamtaja kwa jina hadharani kuwa ni Mla Rushwa na walimhonga 2015 amkatae Lowassa

alivyompenda Sifa yule Babu ingekuwa Rostam hana ushahidi lazima angeenda Mahakamani kumshtaki …lakini akikumbuka labda Rostam ndio Mwenyewe alimpa hizo fedha pengine alimrekodi kabisa
 
Hata wafike 200 kama Serikali haina nia ya kuwaachia haitawaachia.

Mmesahau kesi ya Ugaidi ya Mbowe?

Mmesahau Mahakama zetu haziko huru

Pitieni hukumu ya hoja ya Mkataba wa bandari ya akina Mwabukusi muone.

Shida ya hii Nchi mihimili ya Bunge na Mahakama imemezwa na Mhimili ulijichimbia chini wa Serikali Kuu [emoji119]
Kuna Kesi iliyotingisha kama Ma Sheikh wa Uamsho ?

kama masihara Wakakaa jela miaka ambayo Mimba ilitungwa hadi Mtoto akawa darasa la Pili ndio wakatoka na maisha yakaendelea kama kawaida
 
Back
Top Bottom