Mbeya: Zaidi ya Mawakili 100 wamejitokeza kuwatetea Dkt Slaa na Wenzake

Mbeya: Zaidi ya Mawakili 100 wamejitokeza kuwatetea Dkt Slaa na Wenzake

20230813_180733.jpg
 
Taarifa kutoka kwa Phillipo Mwakilima Wakili wa Watuhumiwa wa Uhaini , inaeleza kwamba zaidi ya Mawakili 100 wamejitokeza kumtetea Dr Slaa na wenzake , kwenye kesi ya uongo ya uhaini waliyobambikwa na serikali ya Tanzania , baada ya kujitokeza kupinga mkataba wa milele wa Bandari za Tanganyika .

Tayari wengine wamekwishaanza kuripoti Mkoani Mbeya kwa ajili hiyo .

View attachment 2719051
Hao mawakili hawana kazi ya kufanya, mi najiuliza mawakili wanafanyaga kazi gani ya uzallishaji, ni km wachawi kazi yao ni kuzalisha migogoro ili wapate chakula, nimekuja kuiona sheria ni fani ya laana. Wanatumia sheria kusumbua nchi, ili tusonge mbele kimaendeleo inatakiwa tupate Rais atakayewapuuza hawa wapumbavu. Eti mawakili 100, hata wangekuwa 1000 watabadilisha kosa?

Halafu sijaona jitu pumbavu km lile wakili la Dr. Slaa sijui linaitwa Mwakilima, ni km anashindana na serikali, eti tunawasubiri serikali kwa hamu ili tupambane? Wako pale kulinda uhalifu? namaaanisha uhaini. Serikali muwe very strong hawa watawayumbisha sana ikiwa ni pamoja na kuwachafua mbele za macho ya kimataifa hawana jema hawa, hawana uzalendo, wako tayari kuona nchi hii inaangamia kwa ajili ya matumbo yao na vibaraka wao. Wafinywe vizuri huko mahabusu warudi wakiwa wanajua serikali ni nani, wasitoke kabla ya 2025 hata km watashinda kesi. Wapumbavu kabisa wengine siyo raia huko hasa Mwabukusi, yule ana hamu ya kuiangamiza nchi yetu
 
Mama anaandamwa na zimwi lililoko nyumbani kwake.

Vunja mkataba
Vunja baraza zima la mawaziri.
Weka sura mpya zote.

Uzirudishe viraka. Weka rekodi yako maana 2025 hatuendi na wewe

Chagua kuwa Angel Merkel au Joyce Banda

Sent using Jamii Forums mobile app
avunje baraza una ndugu zako unafikiri wataingizwa ktk hilo baraza mpya? Fanya mambo yako achana na mambo yaliyo juu ya uwezo wako.
 
Hao mawakili hawana kazi ya kufanya, mi najiuliza mawakili wanafanyaga kazi gani ya uzallishaji, ni km wachawi kazi yao ni kuzalisha migogoro ili wapate chakula, nimekuja kuiona sheria ni fani ya laana. Wanatumia sheria kusumbua nchi, ili tusonge mbele kimaendeleo inatakiwa tupate Rais atakayewapuuza hawa wapumbavu. Eti mawakili 100, hata wangekuwa 1000 watabadilisha kosa?

Halafu sijaona jitu pumbavu km lile wakili la Dr. Slaa sijui linaitwa Mwakilima, ni km anashindana na serikali, eti tunawasubiri serikali kwa hamu ili tupambane? Wako pale kulinda uhalifu? namaaanisha uhaini. Serikali muwe very strong hawa watawayumbisha sana ikiwa ni pamoja na kuwachafua mbele za macho ya kimataifa hawana jema hawa, hawana uzalendo, wako tayari kuona nchi hii inaangamia kwa ajili ya matumbo yao na vibaraka wao. Wafinywe vizuri huko mahabusu warudi wakiwa wanajua serikali ni nani, wasitoke kabla ya 2025 hata km watashinda kesi. Wapumbavu kabisa wengine siyo raia huko hasa Mwabukusi, yule ana hamu ya kuiangamiza nchi yetu
Umeishia darasa la ngapi ?
 
Mbeya mna mzuka mpaka mbaboa😆😆
washamba sana hao wanyakyusa, bandari ya Dar es Salaam wala haiwahusu, wenyeji bandari yao wako kimya kistaarabu sijui wao wanyakyusa wanawashwa na nini, wanafiki wakubwa, wana lao jambo siyo bandari. Ila wajue nchi yetu iko strong watanyooka wote wapumbavu hao. Kuna wanasiasa wanawatumia vibaya maana nimeona wananchi wamevamia eneo la TARI wanaitwa ofisi ya mkuu wa wilaya akiwepo waziri wa kilimo wanasema wako busy, kuna watu wanawadanganya kwamba wasiitii serikali, siku yakiwakuta wasije kulialia km hao wapumbavu wanavyolialia sana sahivi kule mahabusu. Mara wagome kula, si waache kula kwa faida yao, au wakiamua wajifie huko. Rais aliwatahadharisha km hawajamwelewa labda watakuwa na rais wao, wasije shangaa wakikutana na magreda yanabomoa yale mabanda yao. kuna wanajiita machifu nao wanajikakamua kuposha wananchi, machifu wa nchi hii hawana mamlaka yoyote kazi yao ni kutambikia tu kwenye makabila yao, na kuna maaskofu wa mchongo kule Mbeya wanawadanganya wananchi wasiwatii viongozi wao, sijui wanatumia biblia gani maana biblia inatutaka kutii mamlaka maana mamlaka zote zatoka kwa Mungu.
 
Hao mawakili hawana kazi ya kufanya, mi najiuliza mawakili wanafanyaga kazi gani ya uzallishaji, ni km wachawi kazi yao ni kuzalisha migogoro ili wapate chakula, nimekuja kuiona sheria ni fani ya laana. Wanatumia sheria kusumbua nchi, ili tusonge mbele kimaendeleo inatakiwa tupate Rais atakayewapuuza hawa wapumbavu. Eti mawakili 100, hata wangekuwa 1000 watabadilisha kosa?

Halafu sijaona jitu pumbavu km lile wakili la Dr. Slaa sijui linaitwa Mwakilima, ni km anashindana na serikali, eti tunawasubiri serikali kwa hamu ili tupambane? Wako pale kulinda uhalifu? namaaanisha uhaini. Serikali muwe very strong hawa watawayumbisha sana ikiwa ni pamoja na kuwachafua mbele za macho ya kimataifa hawana jema hawa, hawana uzalendo, wako tayari kuona nchi hii inaangamia kwa ajili ya matumbo yao na vibaraka wao. Wafinywe vizuri huko mahabusu warudi wakiwa wanajua serikali ni nani, wasitoke kabla ya 2025 hata km watashinda kesi. Wapumbavu kabisa wengine siyo raia huko hasa Mwabukusi, yule ana hamu ya kuiangamiza nchi yetu
Jinsi unavyo mu hate mwamba mwabukusi[emoji28]

Usiombe akuinamishe akupige chuma mboga.
 
Kadiri mnavyohangaika ndivyo mnavyorefusha urefu wa kesi

Kama mngekaa kimya hata wiki isingefika Dr slaa angekuwa yupo sebuleni kwake anakunywa supu

Maana hao mawakili hata wawe 1000 hawawezi kushinda hiyo kesi kesi kama hizo huwa zinamalizwa Kwa simu Moja tu kutoka Chamwino
 
Taarifa kutoka kwa Phillipo Mwakilima Wakili wa Watuhumiwa wa Uhaini , inaeleza kwamba zaidi ya Mawakili 100 wamejitokeza kumtetea Dr Slaa na wenzake , kwenye kesi ya uongo ya uhaini waliyobambikwa na serikali ya Tanzania , baada ya kujitokeza kupinga mkataba wa milele wa Bandari za Tanganyika .

Tayari wengine wamekwishaanza kuripoti Mkoani Mbeya kwa ajili hiyo .

---
Zaidi ya mawakili 100 kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo TLS wanatarajia kuungana na mawakili watatu kumtetea Balozi Dk Willibrod Slaa na wenzake wawili katika kesi ya uahaini wanayotuhumiwa nayo.

Akizungumza nje ya Mahakama Wakili Philip Mwakilima anayewatetea Wakili Boniface Mwabukusi na Mdude Nyagali amesema mawakili hao wameshaanza kuwasili Jijini Mbeya kwa ajili ya kesi hiyo.

Hata hivyo watuhumiwa hao wanaendelea kushikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Mbeya ikiwa ni siku ya nne bila kufikishwa mahakamani kwa kesi ya uhaini wanayotuhumiwa nayo.

Mwakilima amesema kwa mujibu wa sheria watuhumiwa walipaswa kufikishwa mahakamani leo lakini hawajafikishwa na wanakusudia kufungua kesi kwa lengo la kuiomba Mahakama imlazinishe Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuwafikisha mahakamani au kuwaachilia endapo watabaki wakiwashikilia.
TLS si wamehongo kiwanja
 
Back
Top Bottom