Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Ukubwa wa pua..........?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆Mungu sema na wahaini wanaotaka kuuza nchi yetu kwa waarabu
Hao mawakili hawana kazi ya kufanya, mi najiuliza mawakili wanafanyaga kazi gani ya uzallishaji, ni km wachawi kazi yao ni kuzalisha migogoro ili wapate chakula, nimekuja kuiona sheria ni fani ya laana. Wanatumia sheria kusumbua nchi, ili tusonge mbele kimaendeleo inatakiwa tupate Rais atakayewapuuza hawa wapumbavu. Eti mawakili 100, hata wangekuwa 1000 watabadilisha kosa?Taarifa kutoka kwa Phillipo Mwakilima Wakili wa Watuhumiwa wa Uhaini , inaeleza kwamba zaidi ya Mawakili 100 wamejitokeza kumtetea Dr Slaa na wenzake , kwenye kesi ya uongo ya uhaini waliyobambikwa na serikali ya Tanzania , baada ya kujitokeza kupinga mkataba wa milele wa Bandari za Tanganyika .
Tayari wengine wamekwishaanza kuripoti Mkoani Mbeya kwa ajili hiyo .
View attachment 2719051
fanya uhalifu ukirudi utatuhadithiaBado ndoo zinatumika kunyea mahabasu mpaka leo hii?!
avunje baraza una ndugu zako unafikiri wataingizwa ktk hilo baraza mpya? Fanya mambo yako achana na mambo yaliyo juu ya uwezo wako.Mama anaandamwa na zimwi lililoko nyumbani kwake.
Vunja mkataba
Vunja baraza zima la mawaziri.
Weka sura mpya zote.
Uzirudishe viraka. Weka rekodi yako maana 2025 hatuendi na wewe
Chagua kuwa Angel Merkel au Joyce Banda
Sent using Jamii Forums mobile app
halafu we utajenga hizo mahabusu zinazokidhi viwango? Mind your businessNchi hii bado iko kwenye stone age. Amnesty International na Humans Right Watch watembelee mahabusu na magereza waone kama yanakidhi viwango vya haki za binadamu
Umeishia darasa la ngapi ?Hao mawakili hawana kazi ya kufanya, mi najiuliza mawakili wanafanyaga kazi gani ya uzallishaji, ni km wachawi kazi yao ni kuzalisha migogoro ili wapate chakula, nimekuja kuiona sheria ni fani ya laana. Wanatumia sheria kusumbua nchi, ili tusonge mbele kimaendeleo inatakiwa tupate Rais atakayewapuuza hawa wapumbavu. Eti mawakili 100, hata wangekuwa 1000 watabadilisha kosa?
Halafu sijaona jitu pumbavu km lile wakili la Dr. Slaa sijui linaitwa Mwakilima, ni km anashindana na serikali, eti tunawasubiri serikali kwa hamu ili tupambane? Wako pale kulinda uhalifu? namaaanisha uhaini. Serikali muwe very strong hawa watawayumbisha sana ikiwa ni pamoja na kuwachafua mbele za macho ya kimataifa hawana jema hawa, hawana uzalendo, wako tayari kuona nchi hii inaangamia kwa ajili ya matumbo yao na vibaraka wao. Wafinywe vizuri huko mahabusu warudi wakiwa wanajua serikali ni nani, wasitoke kabla ya 2025 hata km watashinda kesi. Wapumbavu kabisa wengine siyo raia huko hasa Mwabukusi, yule ana hamu ya kuiangamiza nchi yetu
washamba sana hao wanyakyusa, bandari ya Dar es Salaam wala haiwahusu, wenyeji bandari yao wako kimya kistaarabu sijui wao wanyakyusa wanawashwa na nini, wanafiki wakubwa, wana lao jambo siyo bandari. Ila wajue nchi yetu iko strong watanyooka wote wapumbavu hao. Kuna wanasiasa wanawatumia vibaya maana nimeona wananchi wamevamia eneo la TARI wanaitwa ofisi ya mkuu wa wilaya akiwepo waziri wa kilimo wanasema wako busy, kuna watu wanawadanganya kwamba wasiitii serikali, siku yakiwakuta wasije kulialia km hao wapumbavu wanavyolialia sana sahivi kule mahabusu. Mara wagome kula, si waache kula kwa faida yao, au wakiamua wajifie huko. Rais aliwatahadharisha km hawajamwelewa labda watakuwa na rais wao, wasije shangaa wakikutana na magreda yanabomoa yale mabanda yao. kuna wanajiita machifu nao wanajikakamua kuposha wananchi, machifu wa nchi hii hawana mamlaka yoyote kazi yao ni kutambikia tu kwenye makabila yao, na kuna maaskofu wa mchongo kule Mbeya wanawadanganya wananchi wasiwatii viongozi wao, sijui wanatumia biblia gani maana biblia inatutaka kutii mamlaka maana mamlaka zote zatoka kwa Mungu.Mbeya mna mzuka mpaka mbaboa😆😆
Jinsi unavyo mu hate mwamba mwabukusi[emoji28]Hao mawakili hawana kazi ya kufanya, mi najiuliza mawakili wanafanyaga kazi gani ya uzallishaji, ni km wachawi kazi yao ni kuzalisha migogoro ili wapate chakula, nimekuja kuiona sheria ni fani ya laana. Wanatumia sheria kusumbua nchi, ili tusonge mbele kimaendeleo inatakiwa tupate Rais atakayewapuuza hawa wapumbavu. Eti mawakili 100, hata wangekuwa 1000 watabadilisha kosa?
Halafu sijaona jitu pumbavu km lile wakili la Dr. Slaa sijui linaitwa Mwakilima, ni km anashindana na serikali, eti tunawasubiri serikali kwa hamu ili tupambane? Wako pale kulinda uhalifu? namaaanisha uhaini. Serikali muwe very strong hawa watawayumbisha sana ikiwa ni pamoja na kuwachafua mbele za macho ya kimataifa hawana jema hawa, hawana uzalendo, wako tayari kuona nchi hii inaangamia kwa ajili ya matumbo yao na vibaraka wao. Wafinywe vizuri huko mahabusu warudi wakiwa wanajua serikali ni nani, wasitoke kabla ya 2025 hata km watashinda kesi. Wapumbavu kabisa wengine siyo raia huko hasa Mwabukusi, yule ana hamu ya kuiangamiza nchi yetu
subiri uamuzi wa mahakama unatuuliza sisi? Kenge kweliItawachukua miaka mingi kuthibitisha uhaini wa Dr Slaa
yule mvuta bangi ye sahivi ndio anainamishwa, subir akirudi umchunguze vizuri uangalie km hata mwendo wake umebadilikaJinsi unavyo mu hate mwamba mwabukusi[emoji28]
Usiombe akuinamishe akupige chuma mboga.
View attachment 2719053
Afu uzuri neno lenyewe limetoka huko huko arabuni
TLS si wamehongo kiwanjaTaarifa kutoka kwa Phillipo Mwakilima Wakili wa Watuhumiwa wa Uhaini , inaeleza kwamba zaidi ya Mawakili 100 wamejitokeza kumtetea Dr Slaa na wenzake , kwenye kesi ya uongo ya uhaini waliyobambikwa na serikali ya Tanzania , baada ya kujitokeza kupinga mkataba wa milele wa Bandari za Tanganyika .
Tayari wengine wamekwishaanza kuripoti Mkoani Mbeya kwa ajili hiyo .
---
Zaidi ya mawakili 100 kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo TLS wanatarajia kuungana na mawakili watatu kumtetea Balozi Dk Willibrod Slaa na wenzake wawili katika kesi ya uahaini wanayotuhumiwa nayo.
Akizungumza nje ya Mahakama Wakili Philip Mwakilima anayewatetea Wakili Boniface Mwabukusi na Mdude Nyagali amesema mawakili hao wameshaanza kuwasili Jijini Mbeya kwa ajili ya kesi hiyo.
Hata hivyo watuhumiwa hao wanaendelea kushikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Mbeya ikiwa ni siku ya nne bila kufikishwa mahakamani kwa kesi ya uhaini wanayotuhumiwa nayo.
Mwakilima amesema kwa mujibu wa sheria watuhumiwa walipaswa kufikishwa mahakamani leo lakini hawajafikishwa na wanakusudia kufungua kesi kwa lengo la kuiomba Mahakama imlazinishe Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuwafikisha mahakamani au kuwaachilia endapo watabaki wakiwashikilia.
Wamemuuza.Wenzako wananyea ndoo wewe unakazania propaganda,,
Nyie ndio mliokuwa mnamwambia Slaa asijar mpo nyuma yake.
Mzee wa watu akajiropokea saiz anajuuta.
Hata waje wa dunia nzima, watuhumiwa wachunge matamshi yao
Mtu mweusi na ustaarabu wapi na wapi ndugu yangu Bujibuji.Nchi hii bado iko kwenye stone age. Amnesty International na Humans Right Watch watembelee mahabusu na magereza waone kama yanakidhi viwango vya haki za binadamu