Mbeya: Zaidi ya Mawakili 100 wamejitokeza kuwatetea Dkt Slaa na Wenzake

Wenzako wananyea ndoo wewe unakazania propaganda,,

Nyie ndio mliokuwa mnamwambia Slaa asijar mpo nyuma yake.
Mzee wa watu akajiropokea saiz anajuuta.
Sasa unachoongea ni nini endapo tayari mawakili zaidi ya 100 tayari wako tayari kuipinga serikali hii ya wezi?

Hili ni tukio ambalo linakwenda kuiaibisha CCM ,sio tu ndani ya nchi bali Duniani kote!
Hapo press zote kubwa Duniani pia zitakuwepo.
Wenye vichwa vidogo kama wewe mliojaa tamaa ndio hamlioni hilo.
 
Ipiganiwe Katiba mpya, katiba ya Sasa tuliyonayo imemfanya Rais wa Jamhuri kuwa Mungu.

Ije Katiba itakayo mpunguzia Majukumu Rais.

Rais anateua kila mtu kuanzia DED,DAS,DC,RAS,RC na kila nafasi yenye maaumzi ....haifai kuendelea nayo
Sawa
 
Polisi inayoua watu na kuwatuhumu ujambazi ndiyo hii hii inayoshughilikia haya mashtaka.

Polisi ni dimbwi la damu za wasio na hatia
 
Kwa hiyo kesi ngumu upande wenu.Mawakili wote wa nini.Acheni kulia kulia.
 
Huu ni ukweli.
 
Kwa jinsi mama anavyoivuruga nchi kwa kuminya Uhuru wa maoni kwa watanganyika,atarajie mambo magumu mbele yake yatakayomfanya asimalize awamu yake
Kama hivi ndio kuminya uhuru wa maoni kwa wadanganyika, basi waendelee kuminywa tu wapori pori shenzy type.
 
Wenzako wananyea ndoo wewe unakazania propaganda,,

Nyie ndio mliokuwa mnamwambia Slaa asijar mpo nyuma yake.
Mzee wa watu akajiropokea saiz anajuuta.
Ww unafikir Dr Slaa hakujua kinachoenda kumtokea? Kwahiyo unajifanya mwerevu kuliko Slaa? Slaa, Mdude huko lupango sio pageni kwao
 
Wenzako wananyea ndoo wewe unakazania propaganda,,

Nyie ndio mliokuwa mnamwambia Slaa asijar mpo nyuma yake.
Mzee wa watu akajiropokea saiz anajuuta.
Wewe hata kituoni haujawahi kaa umekariri eti wananyea ndo, central police kuna mpaka mabafu uongelea ndoo ya kunyea...
 
Ipiganiwe Katiba mpya, katiba ya Sasa tuliyonayo imemfanya Rais wa Jamhuri kuwa Mungu.

Ije Katiba itakayo mpunguzia Majukumu Rais.

Rais anateua kila mtu kuanzia DED,DAS,DC,RAS,RC na kila nafasi yenye maaumzi ....haifai kuendelea nayo
Ni katiba ya hovyo sana kwa maendeleo ya Taifa
 
""NDONDOÑDO SI CHURURU""
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…