Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi na hivyo viloba, vina miili ya wanadamu nini?Naona wameamua waweke na uzio kabisa, maana wabongo ni wabishi balaa[emoji23]
View attachment 2033563
Hizo takataka, manispaa wanasafisha.Vipi na hivyo viloba, vina miili ya wanadamu nini?
Sio uzio tu wamepanda na miti Jana,sema wamachinga hawasikii aise Ile saa mbili usiku nimepita yani walishajazana kama wote. Pale patawasumbua labda kifanyike kitu ambacho kitakuwa funzo.Naona wameamua waweke na uzio kabisa, maana wabongo ni wabishi balaa[emoji23]
View attachment 2033563
Yaah hata mimi niliwaona, sema wale wauza mbogamboga, vitunguu, nyanya, na makorokoro kama hayo nilitamani sana waachwe maana walikuwa wanatusave sana.Sio uzio tu wamepanda na miti Jana,sema wamachinga hawasikii aise Ile saa mbili usiku nimepita yani walishajazana kama wote. Pale patawasumbua labda kifanyike kitu ambacho kitakuwa funzo.
Sasa vipi hiyo miti iliyopandwa? Vipi wakiruhusiwa hao wa mboga na matunda unadhani wa mitumba watakubali? Pale Mbezi ni changamoto kiukweli Ila kwa mchana jana nilipita kwa raha sana.Yaah hata mimi niliwaona, sema wale wauza mbogamboga, vitunguu, nyanya, na makorokoro kama hayo nilitamani sana waachwe maana walikuwa wanatusave sana.
Hivi kwa hapo mbezi mwisho wametengewa eneo wapi?Sasa vipi hiyo miti iliyopandwa? Vipi wakiruhusiwa hao wa mboga na matunda unadhani wa mitumba watakubali? Pale Mbezi ni changamoto kiukweli Ila kwa mchana jana nilipita kwa raha sana.
HujitambuiHabari za muda huu JamiiForums.
Picha zinawekwa hapa kwahio hakuna haja ya maneno mengi.
1.Mbezi Louis ya Mwendazake (Dictatorial Regime).View attachment 2033537View attachment 2033538
2. Mbezi Louis ya Samia Suluhu.View attachment 2033541
View attachment 2033542
View attachment 2033544
View attachment 2033545
View attachment 2033547
View attachment 2033549
ITumependezesha jiji Ila mamia yawatu wamepoteza ajira zao
Siku zote Jana na leo haziwi Sana mwezi huu na mwezi huu au mwaka huu au mwaka Jana hailingani so sioni ajabu ikizingatia maisha ni km safari tuHabari za muda huu JamiiForums.
Picha zinawekwa hapa kwahio hakuna haja ya maneno mengi.
1.Mbezi Louis ya Mwendazake (Dictatorial Regime).View attachment 2033537View attachment 2033538
2. Mbezi Louis ya Samia Suluhu.View attachment 2033541
View attachment 2033542
View attachment 2033544
View attachment 2033545
View attachment 2033547
View attachment 2033549
Kwani waliitwa kufanya hapo. Wajitafutie wao pa kuuzia au watafute kazi nyingine.Hivi kwa hapo mbezi mwisho wametengewa eneo wapi?