Mbezi Louis: Mabadiliko makubwa yaliyotokea ndani miezi michache baada kifo cha Dkt. Magufuli

Mbezi Louis: Mabadiliko makubwa yaliyotokea ndani miezi michache baada kifo cha Dkt. Magufuli

Hivi kwa hapo mbezi mwisho wametengewa eneo wapi?
Kilijengwa kisoko kidogo sana jirani na Magufuli Stand. Ndo hapo wanapowaambia waende ila ni kidogo mana kinauwezo wa ku-accomodate walau wafanyabiashara 500 napo kwa kujibana sana. Changamoto iliyopo pale hakuna wateja kwani pamekaa kushoto. Pia bado hapajawekwa umeme so uusiku ni changamoto kwa usalama wa mizigo yao. Ndo CCM hiyo wamethubutu,wameweza na wanasonga mbele.
 
Habari za muda huu JamiiForums.
Picha zinawekwa hapa kwahio hakuna haja ya maneno mengi.

1.Mbezi Louis ya Mwendazake (Dictatorial Regime).View attachment 2033537View attachment 2033538
2. Mbezi Louis ya Samia Suluhu.View attachment 2033541

View attachment 2033542

View attachment 2033544

View attachment 2033545

View attachment 2033547

View attachment 2033549
Tanzania haijawahi kua na dictatorial regime.
Magufuli kafanya kazi kubwa sana nchi hii.
Ni mpuuzi tu ndie Haoni.
 
Back
Top Bottom