Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria msumeno unakata mbele na nyuma😅 mboga utafata sokoniYaah hata mimi niliwaona, sema wale wauza mbogamboga, vitunguu, nyanya, na makorokoro kama hayo nilitamani sana waachwe maana walikuwa wanatusave sana.
Dawa ni kuwasafisha vifaa vya ist zao za kuendea kazini😅!!!Tunawachora tu wanavyoleta dharau
Jiandae kununua vifaa vya IST yako tuko mbioni kukufikia hapo kwako😅Mji umepemdeza sana na barabara inaonekana. Mimi hili namuunga mkono aliyelianzisha. Wakaze hivyo hivyo
Tanzania haijawahi kua na dictatorial regime.
Magufuli kafanya kazi kubwa sana nchi hii.
Ni mpuuzi tu ndie Haoni.
Zile siyo ajira, bali ni upuuzi. Jamii iliyostaarabika haiwezi kukubali kuishi vile, Muhimu wapangwe sehemu mpya na ambazo zina huduma walizoahidiwa ili wananchi wawafuate huko. Wenye chuki na awamu ya 6 mlichotamani kitokee kwa vijana wale kufanya vurugu hakijatokea, mnabaki kuongea ongea ujinga kwa aibu kubwa.Tumependezesha jiji Ila mamia yawatu wamepoteza ajira zao
Wamemfuata Mwendazake Chato hahahaHao vijana waliondolewa hapo wameenda wapi?
Mtaa gani huo, au unaropoka tu?SEMA VIBAKA MITAANI WAMEJAA....
Mitaani wapi?SEMA VIBAKA MITAANI WAMEJAA....
Walikotoka kwani walizaliwa wapo.?..wakijifanya kuiba siro atawashughulikia ipasavyo..kusema ukweli mji ulichafuka.Hao vijana waliondolewa hapo wameenda wapi?
Bahati nzuri sina IST. Halafu point to note ukija kuiba hapa ujiandae ukapambe nyumbani kwako maana wa kumuuzia utakosa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jiandae kununua vifaa vya IST yako tuko mbioni kukufikia hapo kwako[emoji28]
Kwahio unatembelea bedford? Hako ka nissan dualis ndio kamoto sana sokoni 😅 bado hujakwepa msala labda uvunje nazi😅Bahati nzuri sina IST. Halafu point to note ukija kuiba hapa ujiandae ukapambe nyumbani kwako maana wa kumuuzia utakosa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Peugeot 404 unamuuzia nan hapo bado vw beetle oldest model [emoji23][emoji23][emoji23]Kwahio unatembelea bedford? Hako ka nissan dualis ndio kamoto sana sokoni [emoji28] bado hujakwepa msala labda uvunje nazi[emoji28]
Mwendakuzimu aliwadanganya wengi sana. Machinga sio wafanyabiashara.Mleta mada anatuonyesha biashara zilizofungwa
Nchi ina furusa nyingi sana sema tunataka kukaa Mjini tu. Nendeni Handeni watu wanalima sana, nenda Mkuranga uone matikiti yanavyolimwa.Nyie wenye mishahara wenzenu mnatuona takataka tu,haya bwana.
Tumependezesha jiji Ila mamia yawatu wamepoteza ajira zao
Kila siku mnaita ndugu zenu kutoka Rombo eti kuna kaeneo barabarani ka kuweka tigo pesa, njoo na Meza yako tu na mwamvuli kujikinga na jua bwasheeCCM imepoteza dhana ya utu kwa wafanyibiashara wadogo machinga. kusifia kitendo hicho ni kukosa utu wa kibinaadam