Kilijengwa kisoko kidogo sana jirani na Magufuli Stand. Ndo hapo wanapowaambia waende ila ni kidogo mana kinauwezo wa ku-accomodate walau wafanyabiashara 500 napo kwa kujibana sana. Changamoto iliyopo pale hakuna wateja kwani pamekaa kushoto. Pia bado hapajawekwa umeme so uusiku ni changamoto kwa usalama wa mizigo yao. Ndo CCM hiyo wamethubutu,wameweza na wanasonga mbele.Hivi kwa hapo mbezi mwisho wametengewa eneo wapi?
Tunawachora tu wanavyoleta dharauNyie wenye mishahara wenzenu mnatuona takataka tu,haya bwana.
Wakumbuke nchi ni yetu sote,halafu sisi hata cha kumpotezea hatuna.Tunawachora tu wanavyoleta dharau
Kazi afanye Magufuli sifa apewe Samia ,pathetic,idiots!,endeleeni kujifariji,mambo bado,Habari za muda huu JamiiForums.
Picha zinawekwa hapa kwahio hakuna haja ya maneno mengi.
1.Mbezi Louis ya Mwendazake (Dictatorial Regime).View attachment 2033537View attachment 2033538
2. Mbezi Louis ya Samia Suluhu.View attachment 2033541
View attachment 2033542
View attachment 2033544
View attachment 2033545
View attachment 2033547
View attachment 2033549
Namsilkiliza Samia hapa
USSR
Kingai na mwanawe Goodluck wameshakula vichwaVipi na hivyo viloba, vina miili ya wanadamu nini?
CCM imepoteza dhana ya utu kwa wafanyibiashara wadogo machinga. kusifia kitendo hicho ni kukosa utu wa kibinaadamTumependezesha jiji Ila mamia yawatu wamepoteza ajira zao
Mwanzo walikua wapi?Hao vijana waliondolewa hapo wameenda wapi?
Mwanzo walikua wapi?
Mbona upo nje ya maadaKazi afanye Magufuli sifa apewe Samia ,pathetic,idiots!,endeleeni kujifariji,mambo bado,
Tanzania haijawahi kua na dictatorial regime.Habari za muda huu JamiiForums.
Picha zinawekwa hapa kwahio hakuna haja ya maneno mengi.
1.Mbezi Louis ya Mwendazake (Dictatorial Regime).View attachment 2033537View attachment 2033538
2. Mbezi Louis ya Samia Suluhu.View attachment 2033541
View attachment 2033542
View attachment 2033544
View attachment 2033545
View attachment 2033547
View attachment 2033549
Wapigwe tu maana hakuna namnaSio uzio tu wamepanda na miti Jana,sema wamachinga hawasikii aise Ile saa mbili usiku nimepita yani walishajazana kama wote. Pale patawasumbua labda kifanyike kitu ambacho kitakuwa funzo.
Wale sukuma gang waliomvimbia Samia yako wapi sasa?Habari za muda huu JamiiForums.
Picha zinawekwa hapa kwahio hakuna haja ya maneno mengi.
1.Mbezi Louis ya Mwendazake (Dictatorial Regime).View attachment 2033537View attachment 2033538
2. Mbezi Louis ya Samia Suluhu.View attachment 2033541
View attachment 2033542
View attachment 2033544
View attachment 2033545
View attachment 2033547
View attachment 2033549
na ni kazi mbona na sisi tunafanya?Tanzania haijawahi kua na dictatorial regime.
Magufuli kafanya kazi kubwa sana nchi hii.
Ni mpuuzi tu ndie Haoni.
Machina hata humu JF hapajuiNyie wenye mishahara wenzenu mnatuona takataka tu,haya bwana.
KwaoHao vijana waliondolewa hapo wameenda wapi?