Ni kituko tu kinafanyika pale mkuu kwa kujenga kivuko cha waenda kwa miguu. Watoe wapi akili ya kujenga flyover?Kuna project naiona inaendelea pale siielewi, ni kama flyover inajengwa pale, either mbili au moja nimeona. Kuna upanuzi wa barabara ya kwenda na kutoka kwa magufuli. Kama una hints toa tuone kinachoendelea.
Nashindwa kuelewa kwa nini kuna project inaendelea na hakuna mchoro popote yaani bango kuonyesha nini kinafanyika.
No, naamini ni flyover, zinajengwa mbili..kule kwa Yusuf na hapa njia panda ya Goba..naamini inaweza kuwa kama ya Kibamba, simple tu. Muhimu ikidhi mahitaji.Ni kituko tu kinafanyika pale mkuu kwa kujenga kivuko cha waenda kwa miguu. Watoe wapi akili ya kujenga flyover?
Kiufupi kwa mbezi mwisho wanaona aibu kwa walichofanya....watu wakipiga kelele ndo wanakuja na maboresho mapya...sasa hiyo ni akili au matopeWalishawahi kuonyesha nini kinafanyika? Ubungo kulikuwa na michoro kila kona, Tazara likewise, Kibamba pia..mbona Mbezi mwisho wasiweke. Mkuu kanuni za construction tunazijua.
Kwa kweli pale wanaungaunga kama sisi wamachinga tu, yaani nchi hii kuanzia uongozi wa juu hadi mtu mmoja mmoja ni maisha ya kuungaunga tu[emoji23][emoji23]Kazi za kuunga na zimamoto [emoji38][emoji38]
Baada ya makelele mengi ndo wanagundua walichemka basi...maana ni aibu kabisa kwa walichokua wamedesign pale mbezi....mara kibao jioni nimekaa foleni zaidi ya masaa matatu tena ni last month tunimekumbana na hiyo...foleni njia zote hadi stendi ya magufuli na ya daladala hakuna gari inayoingia wala kutoka..abiria wanashuka wanatembea. Hovyo kabisa hawa Tanroads na nadhani hamna mwenye upeo paleNo, naamini ni flyover, zinajengwa mbili..kule kwa Yusuf na hapa njia panda ya Goba..naamini inaweza kuwa kama ya Kibamba, simple tu. Muhimu ikidhi mahitaji.
Ona wenzetu wanavyofanya mambo ya viwango,afu unakuta Mwendazake anajipiga kifua eti anaonewa wivu na Dunia,kama sio WEhu ni nini 😆😆.Kwa kweli pale wanaungaunga kama sisi wamachinga tu, yaani nchi hii kuanzia uongozi wa juu hadi mtu mmoja mmoja ni maisha ya kuungaunga tu[emoji23][emoji23]
Hii structure kwa pale ubungo isingetosha, kwa Mbezi nakubaliana na wewe kuwa inafaa sana na itapunguza foleni kwa asilimia 100. Ubungo tayari ilishabanwa na hiyo structure inataka space ya kutosha.
Nimeona kuna kazi inafanyika Mbezi, bahati mbaya wakandarasi wapo site bila mabango kuonyesha nini kinajengwa, sijui kama ni sawa katika Ujenzi.
Baada ya makelele mengi ndo wanagundua walichemka basi...maana ni aibu kabisa kwa walichokua wamedesign pale mbezi....mara kibao jioni nimekaa foleni zaidi ya masaa matatu tena ni last month tunimekumbana na hiyo...foleni njia zote hadi stendi ya magufuli na ya daladala hakuna gari inayoingia wala kutoka..abiria wanashuka wanatembea. Hovyo kabisa hawa Tanroads na nadhani hamna mwenye upeo pale
Mkuu kama wewe ni mkazi wa jijini kama unafika mbezi mara kwa mara utakubaliana na mimi kabla ya kufika karibu na kwenye makutano ya njia panda kwenye goba kuna ujenzi unaendelea na si ujenzi mwingine bali ni fly over kwaajili ya magari ya kwenda goba na mpiji magoe pia
Tabutupu project ya madaraja mawili inaendelea... hopefully itakuwa na taste inayoeleweka.View attachment 2103595
Mkuu kama lengo lilikuwa ni kuondoa foleni hata ubungo ingekaa , kumbuka walibomoa jengo la Tanesco it's
Usihofie hizo rounds nne , huwa zinapunguzwa kipenyo na ku compromise vehicle speed, kadiri zinavyokuwa kubwa ndio magari yatazidi kupita na speed, ukipunguza maana yake magari yaipte na mwendo mdogo
Baada ya makelele mengi ndo wanagundua walichemka basi...maana ni aibu kabisa kwa walichokua wamedesign pale mbezi....mara kibao jioni nimekaa foleni zaidi ya masaa matatu tena ni last month tunimekumbana na hiyo...foleni njia zote hadi stendi ya magufuli na ya daladala hakuna gari inayoingia wala kutoka..abiria wanashuka wanatembea. Hovyo kabisa hawa Tanroads na nadhani hamna mwenye upeo pale
Kwenye project ya mwanzo hakuna kitu kama hicho..
Sasa subiri kituko kitakacho jengwa hapo
Project manager !Hakuna kituko chochote kila mradi una gharama kulingana na mahitaji ya mteja ....usione vya elea vimeundwa....kulalamika ni rahisi sana....subiri uine mbezi itakavyo pendeza
We unakata nini mkuu? unakaa Mbezi? Majuzi tu hapo tarehe 24 Dec kuamkia Christmas watu tumekaa zaidi ya masaa matatu..mi nilikwama kuanzia msuguli nikatembea hadi mbezi nipande gari za njia ya goba...kote hazitembei kuanzia stendi ndani,njia ya stendi ya magufuli pia gari zote hazitembei wala hamna basi linaingia watu wametanua njia zote zimeumanaa. Ukija njia ya goba hakuna gari inatembea foleni imeanzia mageti. Watu wanatembea kwa miguu tu hata bajaji hazitembei kote gari zimetanua zimeumana. Tafuta nyuzi humu utaona au uliza mtu anaekaa pande hizo msala wa tarehe 24 na wala si kwamba kulikua na ajali njia ikazibwa. Kuanzia sa mbili kasoro hadi sa tanoJamani muache uongo uongo huu hauna kipimo mbezi hakuna foleni ya mtu kumkarisha masaa matatu.....hata kama unatokea stand tuache uongo....watu tunatumia hii barabara hakuna foleni ya masaa matatu mbezi louis huu ni uongo uongo uongo
Hakuna kituko chochote kila mradi una gharama kulingana na mahitaji ya mteja ....usione vya elea vimeundwa....kulalamika ni rahisi sana....subiri uine mbezi itakavyo pendeza
flyover ya uhasibu ni takatakaSio foerver mkuu , just matter of time , tutakuja kujua tulikosea , kumbuka wanaopita salama na kwa uhakika pale ni directions nne tu , kati ya 12 zilizopo, kwa maana ya kuwa directions nane( 8) bado zinategemea taa, put it simple zile flyover kitaalamu hazijatatua hata nusu ya tatizo kwenye junctions, ndio sbabu Tazara panasumbua na hata ile ya uhasibu ikikamilika bado foleni itasumbua.
Uzuri internet haisahau , huko mbele lazima tujenge kwa mfumo sahihi