Mbilinyi (Sugu) kazi anayo kwa huyu mwanadada

Alishaambiwa mtoto amkabidhi Sugu sasa analia lia nini?pia maadili yake ya kukaa uchi nani atampa vipindi katika tv?siri ya ccm kununua na kupanga mbini chafu imejulikana
Ritz FaizaFoxy Nape Nnauye Lizaboni MwanaDiwani
 
Huyu anatafuta kiki tu kwenye media Mara mtoto aliye aseme anaomba ela ya kusuka Mara mtoto Ana njaa aombe ela keo kipindi sugu chukua mtoto wako tu umlehe mwenyewe ila kondomu muhimu mnapokutana na vichaa maana nyege mbaya basi tukumbuke kondomu
 

Sema wewe mwaya,
Tukisema sie tutambiwa tuna roho mbaya.
 
Mungu ni wa utaratibu,.....
maombi ya mwenye dhambi ni kelele mbele za MUNGU,........
 
mi nimesoma tu hayo maandishi kama hadithi lakn siwez hata kdgo kuanza kuwaza et ilikuaje?kwa nin? wakat wew umeonesha wazi kua ni muongo? kama sio muongo bs hujui utaratibu wa kazi...! afu kumsemasema ovyo rais wangu ntaja nikudunde sku moja
 
Amesema atamshtaki sugu kwa Mungu kwa kuzuia kipindi chenye mambo kama hayo! 😀
Mungu atamsikia maana Sugu aliyapenda hayo na Sugu anajua fika mkewe dish limedondoka hivyo wanaendana na sijaona tofati yao...! Sugu na Faiza ni couple inayo landana
 
Hivi Sugu hawezi kweli kumsaidia mzazi mwezie kwa kumtafutia wataalamu wa saikolojia...ili wajaribu kurekebisha kufikiri kwa huyu Dada? Maana anamuumiza mtoto.
Sugu anampenda mchumba wake kama alivyo ....
 
hahahahahahah mapenzi ya mtandaoni hayo dada faiza anasema walikuwa wanapokezana kuvuta bange na sugu
Sugu na Faiza ni wapenzi wanao fahamiana vizuri na wote ni wavuta bangi na madish yao yamedondoka...
 
Na hata EATV nao wange nishangaza yaani huyu maaluni wampe nafasi kwenye kipindi? kama mitaani kazoeleka kuonekana uchi kwenye tv aonyeshe nini tena wakati watu wesha muona mpaka utumbo.
 
So ampe pesa za matumizi ,hii ni Mara nyingi analalamika hapewi matumizi ,sio kichaa faiza bana,mbunge mzima kutoa pesa ya mwanao shida khaa!!!
Kulea ujinga kama huu ni kulikuza tatizo, Faiza alidhani atatumia gia ya mtoto kula pesa za bure kutoka kwa Sugu, amebugi huyu mwanamke apelekwe milembe kwenye wodi ya vichaa haraka sana.
 
Mwanamke kichaa kma uyu simpi ata senti
Na ndio maana sugu alitaka mwanae ..this gal inaonyesha alishika mimba kisudi ili ajinufaishe kipindi kabla hajaachwa alikua anajishaua mama muheshimiwa....sasa hivi goals zake zimebuma ...lzm achanganyikiwe ...akilala akiamka nI sugu...na mbaya zaidi sugu ana demu mpya
By the way hata kina faiza wamelelewa na mama yao tuu..alishawah post insta kuwa baba yao aliwatelekeza...
Halaf ukiwacheki km usingo maza una run kwa family...
 
basi amchukue mwanae,sugu hampi pesa za matumizi
Kesi ilienda mahakaman faiza hataki kutoa mtoto anasema anaonewa..ndio ujue shida ni pesa..uliona ile video kamrekod mwanae eti analilia hana hela ya kusuka..kamdhalilisha mtt sana...
 
Eti mama diamond...hii ni bht ya wachache eeh
 

Attachments

  • 1458797498720.jpg
    31.4 KB · Views: 28
huyu mwanamke ni kichaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…