Mbilinyi (Sugu) kazi anayo kwa huyu mwanadada

Mbilinyi (Sugu) kazi anayo kwa huyu mwanadada

So ampe pesa za matumizi ,hii ni Mara nyingi analalamika hapewi matumizi ,sio kichaa faiza bana,mbunge mzima kutoa pesa ya mwanao shida khaa!!!

mahakama ilishaamuru Sugu apewe mtoto amtunze ,yeye kamng'ang'ania . Hivyo atulize boli amlee huyo mtoto
 
Ipo siku huyo mdada ataenda haja kubwa hadharani na kula kinyesi chake mwenyewe.

Ni suala la muda tu!
 
huyu dada alisema mb alikuwa anajarbu kunifira kama mara tatu hivi ila kwass tunaojua lazma ulifir.... tu mtu hawez kujarbu kutoa bikra mara tatu bila uume kuingia hata sku moja
 
Mheshimiwa Joseph Mbilinyi anaendelea kuandamwa na mzazi mwenzie Faiza Ally. Kwenye Instagram Faiza kafunguka hivi:

Faiza Ally "Siwezi kunyamazia hizi habari zaidi nimeona ni share na watu wote wajue sijajua zitani cost kiasi gani lkn niko tayari kuface chochote kitakacho tokea mbele.

Leo nimeamini kabisa maneno wanayo semaga watu kuwa mwanaume ukimuacha anapenda kuona umeanguka kimaisha ni kweli.Kiufupi ni kwamba kipindi changu kilicho kua kirushwe Eatv ni baba Sasha ndio alienda kunizibia kipindi changu kistopishwe gafla - kwa Kweli ilikua haingii akilini kabisa - Eatv walinifata wenyewe kuniomba kufanya reality show - tukashuti vipindi- wakanipa show ya kutambulisha kipindi - na tulifanya kikao Mara ya mwisho siku chache kabla ya show - na mpaka wamenipa FNL kutambulisha kipindi- siku ya jumapili ya mwisho nilikua na kipindi radeioni na Ndio ilikua interview ya mwisho ya kutambulisha kipindi na jina langu nimekuta getini nimeingia mpaka ndani wkt wakipindi naambiwa hakuna kuna mabadiliko- nikashangaa sana nikampigia producer hapokei- baadae ana niambia hajui kinacho endelea - nampigia boss haelezi maelezo yakutosha kiufupi kulikua hakuna wa kuniambia chochote ! Kha! Na hapo kipindi nimeanza kurusha matangazo kwamba kinaanza jumanne dah ! Sikuelewa mwisho kabis nikaambiwa boss kasema hakuta kuwa na msimu mpya Tena ! nikiangalia kwenye tv naona msimu mpya wa vipindi ! Juzi Ndio nakuja Ku find out kwamba ni Joseph !

Ni kachoka kabisa nimelia kwa uchungu sana ! Ameniachia mtoto namlea peke yangu hatoi hata shilingi Na Bado sehemu ambayo ningepata ugali wa mwanangu kwenda kunizibia ????? Why Joseph ????? Ugali wa mwanao ?Ubaya gani mkubwa nilio kufanyia mpaka imefika huko ?????? It's sad nilijua wewe una roho mbaya lkn sikujua Kama una roho mbaya ilio pitiliza !!!!! mm nisinge fika huko hata siku moja !

Wkt wa uchaguzi nimefatwa Na watu tofauti tofauti mpaka watu kutoka Mbeya nikasaidie uchaguzi kwa kukuponda tu nilipwe!!! lkn nikisema hapana wewe ni baba wa mwanangu ! ......... Lkn wewe umenifanyia hivi? Na kwa hili kamwe sitakusamehe zaidi ya kumshatakia mwenyezi Mungu tu Ndio ataweza kukuhukumu!!! Bado Tanzania viongozi wana tumia madaraka vibaya! Bado Tanzania wanawake wananyanyaswa- Tanzania Bado sana kuhusu haki hata Kama sheria zipo.." Faiza Ally
vipi faiza umeacha kuvaa nepi hadharani au bado?
 
Asee........!!!!! MHESHIMIWA alitafuta au alitafutiwa.???🙁🙁
 
huyu dada alisema mb alikuwa anajarbu kunifira kama mara tatu hivi ila kwass tunaojua lazma ulifir.... tu mtu hawez kujarbu kutoa bikra mara tatu bila uume kuingia hata sku moja
............???????
 
Kwa vituko vyake huyu shemeji wala hatumtii ndimu ! Sugu sijui ilikuwaje akachanganya mbegu na mtu huyu! genye zingine za ovyo kabisa ukija kumaliza unaambiwa una mtoto!
hebu mwenye picha ya shem wetu fai atuwekee hapa ile aliyovaa kipedi
 
kumbe sio kosa lako UMEKUJA JUZI TU. hujazisoma sheria zetu za JF. uwe unauliza wenyeji neno hilo uliotumia hapa JF linaandikwaje usaidiwe ili usikutane na virungu vya MODEs
 
Mheshimiwa Joseph Mbilinyi anaendelea kuandamwa na mzazi mwenzie Faiza Ally. Kwenye Instagram Faiza kafunguka hivi:

Faiza Ally "Siwezi kunyamazia hizi habari zaidi nimeona ni share na watu wote wajue sijajua zitani cost kiasi gani lkn niko tayari kuface chochote kitakacho tokea mbele.

Leo nimeamini kabisa maneno wanayo semaga watu kuwa mwanaume ukimuacha anapenda kuona umeanguka kimaisha ni kweli.Kiufupi ni kwamba kipindi changu kilicho kua kirushwe Eatv ni baba Sasha ndio alienda kunizibia kipindi changu kistopishwe gafla - kwa Kweli ilikua haingii akilini kabisa - Eatv walinifata wenyewe kuniomba kufanya reality show - tukashuti vipindi- wakanipa show ya kutambulisha kipindi - na tulifanya kikao Mara ya mwisho siku chache kabla ya show - na mpaka wamenipa FNL kutambulisha kipindi- siku ya jumapili ya mwisho nilikua na kipindi radeioni na Ndio ilikua interview ya mwisho ya kutambulisha kipindi na jina langu nimekuta getini nimeingia mpaka ndani wkt wakipindi naambiwa hakuna kuna mabadiliko- nikashangaa sana nikampigia producer hapokei- baadae ana niambia hajui kinacho endelea - nampigia boss haelezi maelezo yakutosha kiufupi kulikua hakuna wa kuniambia chochote ! Kha! Na hapo kipindi nimeanza kurusha matangazo kwamba kinaanza jumanne dah ! Sikuelewa mwisho kabis nikaambiwa boss kasema hakuta kuwa na msimu mpya Tena ! nikiangalia kwenye tv naona msimu mpya wa vipindi ! Juzi Ndio nakuja Ku find out kwamba ni Joseph !

Ni kachoka kabisa nimelia kwa uchungu sana ! Ameniachia mtoto namlea peke yangu hatoi hata shilingi Na Bado sehemu ambayo ningepata ugali wa mwanangu kwenda kunizibia ????? Why Joseph ????? Ugali wa mwanao ?Ubaya gani mkubwa nilio kufanyia mpaka imefika huko ?????? It's sad nilijua wewe una roho mbaya lkn sikujua Kama una roho mbaya ilio pitiliza !!!!! mm nisinge fika huko hata siku moja !

Wkt wa uchaguzi nimefatwa Na watu tofauti tofauti mpaka watu kutoka Mbeya nikasaidie uchaguzi kwa kukuponda tu nilipwe!!! lkn nikisema hapana wewe ni baba wa mwanangu ! ......... Lkn wewe umenifanyia hivi? Na kwa hili kamwe sitakusamehe zaidi ya kumshatakia mwenyezi Mungu tu Ndio ataweza kukuhukumu!!! Bado Tanzania viongozi wana tumia madaraka vibaya! Bado Tanzania wanawake wananyanyaswa- Tanzania Bado sana kuhusu haki hata Kama sheria zipo.." Faiza Ally
Uwe unavaa nguo(yaani uwe unafunika vizuri chini ya mkia, hapo juu ya kipochi wanyoya uwe unafunika vema) ndo uende kumshitakia kwa Mungu huyo mzazi mwenzi. hata hivyo kwakua maisha yako halisi ni 8% kati ya 100% bado Mungu atahisi hata mashitaka yako si halisi. Chunga sana mama Sugu wa sasa ni Mh.Mbilinyi sio Mr.II, utaumia!!
 
Dada jide tusaidie kwenda kumshusha milembe huyu faiza........ , Ndi ndi ndi
 
Muonewaji ndo uyu
 

Attachments

  • 1458804869410.jpg
    1458804869410.jpg
    48.4 KB · Views: 33
  • 1458804903336.jpg
    1458804903336.jpg
    64.2 KB · Views: 32
  • 1458804954214.jpg
    1458804954214.jpg
    85.9 KB · Views: 33
Hongera sana mh sugu kwa kumwacha huyu dada....nahisi ulisoma alama za nyakati
 
Huyu dada anapenda sana umaarufu yuko tayari kuforce kivyovyote ili tu awe star...sasa cha kujiuliza hivi anaumaarufu gani awe ma kipindi cha maisha yake?....
 
Ninavyomjua SUGU toka shule Mbeya Day akitaka lake huwa hashindwi She is fighting a loosing battle.

Ndio shida ya vita ,lazima kuna mshindi tu ,sijui vita yake na Sugu nani ni muasisi ila mara nyingi lazima mmoja ashinde ,pole kwa mtoto Sasha
 
Back
Top Bottom