Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
Unamuita huyo mwehu anayetaka watu wamuoneshe Mungu physically kama mlima au wamshike mkono Mungu kisha wamlete kwake ndiye aamini wakati yeye tukimwambia atuletee "Oxygen au atom" akiwa ameishika kwenye mkono hawezi.Kiranga njoo ule kichwa hiki.
Simu si aliiacha duniani kitandaniUlimpiga picha huyo Yesu uliyemuona!?
Hahaaaaa, kizazi cha hovyo cha kuanzia 1990 chenye kupinga na kubisha kula kitu bwana!!!!Ulimpiga picha huyo Yesu uliyemuona!?
Muongo weweHahaaaaa, kizazi cha hovyo cha kuanzia 1990 chenye kupinga na kubisha kula kitu bwana!!!!
Hahaaaaaa kizazi cha chanjo kama kawaida yenu. Nyie mjuacho humu duniani ni kula tunda kimasihara na kubet tu ila kila kitu ni kupinga tu. Haya hongera kwa kufikiria.Bro tuna mambo genuine ya kufikiria. Peleka mazingaombwe yako shule ya maingi huko. Tuache tuishi uhalisia
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Ni kweli.....ila kuna zile dream unaota halafu kesho kinatokea kile kile ulochokiota yani vile vile hii huwa inakuaje? Au ndio maono kwa sisi tuliookoka?Dream is a series of thoughts, images, and sensations occurring in a person's mind during sleep basi nothing moreeee .
Hana lolote huyo kilangaKiranga njoo ule kichwa hiki.
Inaitwa coincidence na haitokei mara kwa mara kwa kila mtu. Ni sawa na kumfikiria au kumsema mtu alafu akatokea bila kumtarajiaNi kweli.....ila kuna zile dream unaota halafu kesho kinatokea kile kile ulochokiota yani vile vile hii huwa inakuaje? Au ndio maono kwa sisi tuliookoka?
Kuna kipindi hapo kati ilikua inanitokea mara kwa mara yani naota kitu halafu kesho yake kinakua hivyo hivyo..ningeshikilia hapo hapo possible na mie ningepaa mbinguni 😁Inaitwa coincidence na haitokei mara kwa mara kwa kila mtu. Ni sawa na kumfikiria au kumsema mtu alafu akatokea bila kumtarajia
Hayana ugumu sister na sijapost hapa kwa lengo la kutaka kuaminisha watu au kujisifu ila nimeona nishare experience yangu. Sasa itanisaidia nini nipost uongo wakati tunatumia fake id na hakuna anayenifahamu.Mambo ya imani magumu sana.....na ugumu unakuja zaidi huwa hayana uthibitisho wa moja kwa moja.
Hongera kwa kufika mbinguni
Hauko peke yako watu wengi hukutwa na hiyo hali lakini ndoto ni ndoto tu. Ukiota unapaa, ukiota una mbawa kama malaika, ukiota tajiri, ukiota uko ulaya, angani bado ni ndoto tu.Kuna kipindi hapo kati ilikua inanitokea mara kwa mara yani naota kitu halafu kesho yake kinakua hivyo hivyo..ningeshikilia hapo hapo possible na mie ningepaa mbinguni [emoji16]
Mi unadhani nna shida basi? Nakuelewa ila namie nimeandika tu mtazamo wangu kuhusu imani.....imani ni kitu kigumu sanaHayana ugumu sister na sijapost hapa kwa lengo la kutaka kuaminisha watu au kujisifu ila nimeona nishare experience yangu. Sasa itanisaidia nini nipost uongo wakati tunatumia fake id na hakuna anayenifahamu. Nimeweka kwa lengo tujifunze kuhusu uhalisia wa uwepo wa Mungu na si vinginevyo. Wewe kama Mkristo naamini utaambulia na kujifunza kitu kwa hiki nilichoandika. Soma kwa utaratibu, pitia huvyo vifungu vya Bible then muulize Mungu ukweli katika hilo.
Nimekupenda sister, kumbe umeokoka. Hongera kwa hilo. Mtu asikudanganye na maneno ya kiingereza mara coincidence mara Lucid dream. Kiuhalisia, Tunaye mwalimu na kiongozi aliye roho wa kweli. Yeye hutuongoza katika maisha yetu na hutufanya tujue mambo yajayo. Mi ninacho hiko kitu hata sasa.Kuna kipindi hapo kati ilikua inanitokea mara kwa mara yani naota kitu halafu kesho yake kinakua hivyo hivyo..ningeshikilia hapo hapo possible na mie ningepaa mbinguni 😁
Haya mkuu hongera kwa comment.Muongo wewe
Binafsi naamini kuna uwepo wa nguvu kuu sana yenye uwezo beyond human imagination na haichunguziki. Ila sismini katika dini yoyote japo mimi ni muumini wa dhehebu flani. Pia simwamini yesu na mitume na manabii, ila naamini hii nguvu japo sijui kama ndo inaitwa mungu mkuu.Nimeona watu wengi humu JF wakimponda na kumkashfu Mwalimu Mwakasege baada ya kusema Mungu alimfunulia kuhusu mbingu na kwenda Mbinguni.
Binafsi nadeclare interest kuwa ninatumika Kanisa la TAG kama Mzee wa Kanisa huku Nyanda za juu kusini pia ni Mtumishi wa Serikali na huwa nahubiri mara moja moja. Siandiki hivi kwa kufurahisha watu au kujisifu wala kutaka kumsafisha Mwalimu Mwakasege ila naeleza kile nilichoshuhudia na kile ambacho Mungu amenitendea.
Kwa umri na muda niliomtumikia Mungu kama Mkristo nafahamu Mungu anajifunua kwa watu wengi yeye binafsi na pia kuwafunulia kuhusu wengi kuhusu mbingu.
Binafsi, nashuhudia leo na kikiwa na akili timamu na dhamira njema Moyoni mwangu kuwa nimemuona mwenye haki "Yesu Kristo" si chini ya mara 4 toka nikiwa mdogo na amenitokea kwa namna mbalimbali tofauti na watu wanavyokashfu kuwa tutatokewa na Mapepo yaliyovaa sura ya "Bryan Deacon" yule aliyeigiza "Filamu ya Yesu" Pia nashuhudia, Mungu kunifunulia na kuiona mbingu.
Mafunuo haya ya kutokewa na Yesu kwangu mimi hayakuwa kwa jinsi ya kimwili "yaani kunitokea physically" ila ni katika ndoto na Maono ya usiku pia wakati nasali nikajiona tu nimekutana naye.
Leo sitaelezea kuhusu kutokewa na Yesu ila nitaelezea kuhusu ushuhuda wangu wa kuiona Mbingu ila nasisitiza katika hilo, kila maono, ndoto au mafunuo ya Kimungu yanajengwa chini ya Neno la Mungu. Neno: Ayubu 33:14-16 hapa Mungu anasema kuhusu kusema na wanadamu kuhusu ndoto ns mqono ya usiku.
Neno: Yoel 2: 28-29 Anasema kuhusu "Ndoto na Maono".
Kuhusu Mungu kuwafunulia watumishi wake mbingu, tunaona Paulo anasema namna alivyochukuliwa na kuoneshwa kuhusu Mbingu katika 2 Korintho 12: 2-9 pia Stephano naye anafunuliwa katika Matendo ya Mitume 7:56 na pia Mtume Yohana anafunuliwa kuhusu Mbingu wakati anaandika kitabu cha Ufunuo wa Yohana.
Binafsi, Nakumbuka ilikuwa 2016. Mungu alinipa Neno toka Yeremia 33:3 inayosema "Niite nami nitakuitikia na nitakuonesha mambo makubwa, magumu usiyoyajua" pia kwa muda mrefu nilikuwa naimba moyoni mwangu wimbo mmoja wa zamani sijui uliimbwa na kwaya gani ila kuna kipande wanaimba " Nimpeleleza nani raha ya Mbingu×2, Yesu ndiye wa Kumpeleleza"
Nakumbuka Siku hiyo niliamka kama kawaida saa 9 alfajiri na kusali. Ilipofika saa 11:45 nikasema nilale kidogo ili nikiamka saa 1 hivi niende kazini. Nilipolala kama saa 12 alfajiri nikaona Malaika mmoja aliye kama mwanadamu amevaa mavazi meupe yenye kung'ara huku akiwa mwenye sura inayong'ara ananiambia "nimetumwa nikufuate". Akanishika mkono, nikaona natoka kwenye mwili upande wenye moyo.
Nikapita kwenye bati la nyumba bila kizuizi. Safari ya kupanda juu ikaanza kwa speed ya ajabu huku akiwa amenishika Mkono. Nikaangalia chini na kuona mwili wangu, mke na mtoto wangu wamelala kitandani. Unaona nyumba na miti ya duniani. Tukapaa juu kwa spidi nikaangalia chini tena na kuona kadunia kalivyo kadogo then tukafika katika nchi ile ambayo "watu" wanaimba na kumuabudu Mungu. Nikaungana nao tuliimba "Bwana Mungu nashangaa kabisa"
Sijui nielezeje muonekano wake nchi ile ila ni nzuri na ya meta meta. Hali ya hewa na mazingira ni tofauti na huku duniani. Nchi ile ni kweli na mji ule ni kweli. Jitahidi usikose kuingia mji ule.
Baadaye nikaambiwa turudi na kwa speed ya ajabu, najikuta naingia mwilini mwangu upande wa kushoto kwenye moyo, mwili ukawa kama umepigwa "shot" nikashtuka.
Binafsi, nimewasikia na kuwaona watumishi wengi wa Mungu wanaoshuhudia kuhusu Mbingu huku kwetu na sehemu myingine. Ukiacha hao maarufu, japo "Zumaridi hapana kwani inaonekana ana shida ya akili" Ukiacha Mwakasege, hata Marehemu Kulola alishashuhudia siku moja kufunuliwa kuhusu Mbingu.
Nami nimeona nishare uzoefu wangu kuhusu Mafunuo ya Mbingu. Siku nyingine nitaeleza kuhusu kutokewa na Yesu ana tutokeaje, yupoje na tunajuaje kama ni Yesu.
Asanteni.
Ndoto ya kupaaa binafsi huea naiota mara nyingi sana hadi nishaelewa kuwa I can fly for sureYani mkiota tu ndoto mpo mawinguni mnasema mmepewa maono mmeenda mbinguni mmeonana na Mungu?
Mbona Mimi huwa naota napaa, kwahiyo huwa naescort malaika au huwa naenda mbinguni kupiga story?
Wale waleNimeona watu wengi humu JF wakimponda na kumkashfu Mwalimu Mwakasege baada ya kusema Mungu alimfunulia kuhusu mbingu na kwenda Mbinguni.
Binafsi nadeclare interest kuwa ninatumika Kanisa la TAG kama Mzee wa Kanisa huku Nyanda za juu kusini pia ni Mtumishi wa Serikali na huwa nahubiri mara moja moja. Siandiki hivi kwa kufurahisha watu au kujisifu wala kutaka kumsafisha Mwalimu Mwakasege ila naeleza kile nilichoshuhudia na kile ambacho Mungu amenitendea.
Kwa umri na muda niliomtumikia Mungu kama Mkristo nafahamu Mungu anajifunua kwa watu wengi yeye binafsi na pia kuwafunulia kuhusu wengi kuhusu mbingu.
Binafsi, nashuhudia leo na kikiwa na akili timamu na dhamira njema Moyoni mwangu kuwa nimemuona mwenye haki "Yesu Kristo" si chini ya mara 4 toka nikiwa mdogo na amenitokea kwa namna mbalimbali tofauti na watu wanavyokashfu kuwa tutatokewa na Mapepo yaliyovaa sura ya "Bryan Deacon" yule aliyeigiza "Filamu ya Yesu" Pia nashuhudia, Mungu kunifunulia na kuiona mbingu.
Mafunuo haya ya kutokewa na Yesu kwangu mimi hayakuwa kwa jinsi ya kimwili "yaani kunitokea physically" ila ni katika ndoto na Maono ya usiku pia wakati nasali nikajiona tu nimekutana naye.
Leo sitaelezea kuhusu kutokewa na Yesu ila nitaelezea kuhusu ushuhuda wangu wa kuiona Mbingu ila nasisitiza katika hilo, kila maono, ndoto au mafunuo ya Kimungu yanajengwa chini ya Neno la Mungu. Neno: Ayubu 33:14-16 hapa Mungu anasema kuhusu kusema na wanadamu kuhusu ndoto ns mqono ya usiku.
Neno: Yoel 2: 28-29 Anasema kuhusu "Ndoto na Maono".
Kuhusu Mungu kuwafunulia watumishi wake mbingu, tunaona Paulo anasema namna alivyochukuliwa na kuoneshwa kuhusu Mbingu katika 2 Korintho 12: 2-9 pia Stephano naye anafunuliwa katika Matendo ya Mitume 7:56 na pia Mtume Yohana anafunuliwa kuhusu Mbingu wakati anaandika kitabu cha Ufunuo wa Yohana.
Binafsi, Nakumbuka ilikuwa 2016. Mungu alinipa Neno toka Yeremia 33:3 inayosema "Niite nami nitakuitikia na nitakuonesha mambo makubwa, magumu usiyoyajua" pia kwa muda mrefu nilikuwa naimba moyoni mwangu wimbo mmoja wa zamani sijui uliimbwa na kwaya gani ila kuna kipande wanaimba " Nimpeleleza nani raha ya Mbingu×2, Yesu ndiye wa Kumpeleleza"
Nakumbuka Siku hiyo niliamka kama kawaida saa 9 alfajiri na kusali. Ilipofika saa 11:45 nikasema nilale kidogo ili nikiamka saa 1 hivi niende kazini. Nilipolala kama saa 12 alfajiri nikaona Malaika mmoja aliye kama mwanadamu amevaa mavazi meupe yenye kung'ara huku akiwa mwenye sura inayong'ara ananiambia "nimetumwa nikufuate". Akanishika mkono, nikaona natoka kwenye mwili upande wenye moyo.
Nikapita kwenye bati la nyumba bila kizuizi. Safari ya kupanda juu ikaanza kwa speed ya ajabu huku akiwa amenishika Mkono. Nikaangalia chini na kuona mwili wangu, mke na mtoto wangu wamelala kitandani. Unaona nyumba na miti ya duniani. Tukapaa juu kwa spidi nikaangalia chini tena na kuona kadunia kalivyo kadogo then tukafika katika nchi ile ambayo "watu" wanaimba na kumuabudu Mungu. Nikaungana nao tuliimba "Bwana Mungu nashangaa kabisa"
Sijui nielezeje muonekano wake nchi ile ila ni nzuri na ya meta meta. Hali ya hewa na mazingira ni tofauti na huku duniani. Nchi ile ni kweli na mji ule ni kweli. Jitahidi usikose kuingia mji ule.
Baadaye nikaambiwa turudi na kwa speed ya ajabu, najikuta naingia mwilini mwangu upande wa kushoto kwenye moyo, mwili ukawa kama umepigwa "shot" nikashtuka.
Binafsi, nimewasikia na kuwaona watumishi wengi wa Mungu wanaoshuhudia kuhusu Mbingu huku kwetu na sehemu myingine. Ukiacha hao maarufu, japo "Zumaridi hapana kwani inaonekana ana shida ya akili" Ukiacha Mwakasege, hata Marehemu Kulola alishashuhudia siku moja kufunuliwa kuhusu Mbingu.
Nami nimeona nishare uzoefu wangu kuhusu Mafunuo ya Mbingu. Siku nyingine nitaeleza kuhusu kutokewa na Yesu ana tutokeaje, yupoje na tunajuaje kama ni Yesu.
Asanteni.