Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ndio maana R Kerry akatowa na song kabisa I believe I can fly, I believe I can touch the sky.Ndoto ya kupaaa binafsi huea naiota mara nyingi sana hadi nishaelewa kuwa I can fly for sure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana R Kerry akatowa na song kabisa I believe I can fly, I believe I can touch the sky.Ndoto ya kupaaa binafsi huea naiota mara nyingi sana hadi nishaelewa kuwa I can fly for sure
Itakuwa alisahau telephone kwa chumba 🤣Ulimpiga picha huyo Yesu uliyemuona!?
Ukiacha hao maarufu, japo "Zumaridi hapana kwani inaonekana ana shida ya akili" Ukiacha Mwakasege, hata Marehemu Kulola alishashuhudia siku moja kufunuliwa kuhusu Mbingu.
AahahahaaaItakuwa alisahau telephone kwa chumba 🤣
AahahhaaKwanini unasema zumaridi ni mental case? Kwa sababu anaongea pumba sio? Kwa taarifa yako wewe na zumaridi mpo kundi moja. Kama ni maono wote mna maono kama ni shida ya akili wote ni mnayo.
Kama Yesu walimpinga, hata wewe watakupinga.. Mungu ni harisi, mbingu na malaika wa Mungu ni harisi, maono na ndoto vipo na uzoefu wa ki Mungu upo.. Mungu ni Yule Yule jana , leo na hata KeshoHaya mkuu hongera kwa comment.
Hauko peke yako watu wengi hukutwa na hiyo hali lakini ndoto ni ndoto tu. Ukiota unapaa, ukiota una mbawa kama malaika, ukiota tajiri, ukiota uko ulaya, angani bado ni ndoto tu.
Amina bro, hiyo ya kupinga usiwe na shaka nayo ni kitu cha kawaida kwani ilikuwepo na itaendelea kuwepo hadi mwisho wa dahari.Jama Yesu walimpinga, hata wewe watakupinga.. Mungu ni harisi, mbingu na malaika wa Mungu ni harisi, maono na ndoto vipo na uzoefu wa ki Mungu upo.. Mungu ni Yule Yule jana , leo na hata Kesho
Kwanini?
Nimeona watu wengi humu JF wakimponda na kumkashfu Mwalimu Mwakasege baada ya kusema Mungu alimfunulia kuhusu mbingu na kwenda Mbinguni.
Binafsi nadeclare interest kuwa ninatumika Kanisa la TAG kama Mzee wa Kanisa huku Nyanda za juu kusini pia ni Mtumishi wa
Asanteni.
Acha ujuaji.Hauko peke yako watu wengi hukutwa na hiyo hali lakini ndoto ni ndoto tu. Ukiota unapaa, ukiota una mbawa kama malaika, ukiota tajiri, ukiota uko ulaya, angani bado ni ndoto tu.
Hawa ni wajinga wamekuwa programmed kupinga mambo ya aina hii.Usijione una ufahamu sana jitahidi kuheshimu mawazo ya wengine wew ni mwanadamu usidhani unayajua yote katika uso wa dunia..
Bro jaribu kuficha uchi wa akili yako. Humu JF ni wengi tunakuheshimu na pia sio kila thread unatakiwa uchangie. Nyingine zinakuzidi upeo wako, fanya kama hujaziona. Unajidharirisha bro, samahani kwa hilo ndugu yangu. Nenda MMU kule kuna mada za DeepPond anahadithia kuhusu mchepuko wake🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Siwezi na
Dubai kweli ipo, umewahi kwenda?
Mtumishi hiki kizazi kuwa cha ajabu kumechangiwa pia na mafundisho na mienendo yenu nyie viongozi.Hahaaaaa, kizazi cha hovyo cha kuanzia 1990 chenye kupinga na kubisha kula kitu bwana!!!!
Hiyo ni Roho kamali sister, katika kitu ambacho shetani amejitahidi na kufanikiwa ni kuwaaminisha watu kupinga kuhusu uwepo wa Mungu na ndio kinachofanyika huku. Kimsingi, inatakiwa tuwachukulie kama walivyo na tuwaombee ili Nuru ya Mungu iwazukie mioyoni mwao.Hawa ni wajinga wamekuwa programmed kupinga mambo ya aina hii.
Tujuwe umetokea hadi unaandika uzi huuNimeona watu wengi humu JF wakimponda na kumkashfu Mwalimu Mwakasege baada ya kusema Mungu alimfunulia kuhusu mbingu na kwenda Mbinguni.
Asanteni.
Siwezi kupinga hoja yako ndugu yangu. Ni kweli sasa katika kitu ambacho Shetani amefanikiwa katika kanisa ni kupandikiza magugu jatika Ngano. Ni kweli ukifikiria na kutazama yanayoendelea makanisani yanaumiza Moyo kwani kuna magugu mengi.Mtumishi hiki kizazi kuwa cha ajabu kumechangiwa pia na mafundisho na mienendo yenu nyie viongozi.
Mfano, mnawaombea waumini wapokee mafanikio kwa imani(pesa, magari, nyumba n.k).
Lakini nyie mnapohitaji hivyo vitu mnawalazimisha hao madikini wawachangie.
Kwanini nyie pia msiombeane msubiri Mungu awape kwa njia hiyo ya imani?
Sijakuelewa kabisa kamanda unataka nini?Tujuwe umetokea hadi unaandika uzi huu