Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndo mana hapo nimemuuliza yeye sio ww mkuuHatuwezi kukubaliana kwa sababu sijawahi kufika huko,kwahio sijui kama ipo juu,muulize mleta mada ndiye aliyeenda,na kwa maelezo yake alielekea juu.
Wakristo kwenye ndoto huwa mnapigwa sana aisee. Inaonekana hamjui chochote kuhusu ndiyo.Nimeona watu wengi humu JF wakimponda na kumkashfu Mwalimu Mwakasege baada ya kusema Mungu alimfunulia kuhusu mbingu na kwenda Mbinguni.
Asanteni.
Ok,ila uliniquote Mkuu,ndio maana nikajibu.Na ndo mana hapo nimemuuliza yeye sio ww mkuu
Kwa nini Zumaridi mlimbishia makumuita muongo?Nimeona watu wengi humu JF wakimponda na kumkashfu Mwalimu Mwakasege baada ya kusema Mungu alimfunulia kuhusu mbingu na kwenda Mbinguni.
Binafsi nadeclare interest kuwa ninatumika Kanisa la TAG kama Mzee wa Kanisa huku Nyanda za juu kusini pia ni Mtumishi wa Serikali na huwa nahubiri mara moja moja. Siandiki hivi kwa kufurahisha watu au kujisifu wala kutaka kumsafisha
Asanteni.
Nakubaliana na wewe, fuatilia vizuri wale church Fathers wenyewe na maaskofu na mapadre hadi Papa hakuna anayeweza kukuletea story kama hizi za kwenda mbinguni.Huyu anasema huu ni ushuhuda wake binafsi, kamuona Yesu, tutajua vipi kama hana matatizo ya akili anaona maluweluwe tu?
UsilaZimishe unakutanaga namungu kumbuka vizuri izosiku ulikua unaota ulikula nini inawezekana ulikula kipolo cha maharage umepigwa hakuna mungu ulikutana nae maharagwe yakilala yanatengenezaga kakilevi inawezekana ulilewa nakama unakubaliana na hili lako kubali nala Zumaridi usijipendekeze kwa MwakasegeHayo ni yako kamanda na huyo Mungu wako unayemuamini. Kwangu tu mimi mwanadamu "kinengunengu" pesa ni karatasi tu zilizokuwa "printed" na wanadamu na hazina thamani isije kuwa kwa Mungu wangu yeye aliye mmiliki wa vitu vyote. Inawezekana thamani ya Mungu wako ni sawa na pesa ndio maana anakuja kwako ukiwa na pesa ila wangu mimi ni wa thamani zaidi ya vyote. Yeye ni wa vyote katika vyote.
Sina frustration yoyote bro..!! Tunawapa tu facts zao kwa kucheza na akili za watu..!! Hizo shuhuda wala hazina ushahidi wowote ya kwamba ni za kweli. USISAHAU WAONGO WAPO PIA. NA NI KAZI SANA KUMTOFAUTISHA MUONGO NA MKWELI KWENYE DUNIA YA LEO. Haitosishi kwa yeye kusema tu..!!Inaonekana bro una frastruation zako maana si kwa kuhara huku. Mbona mtu katoa shuhuda yaje, then wewe unaandika vitu visivyohusiana?
Nimeona watu wengi humu JF wakimponda na kumkashfu Mwalimu Mwakasege baada ya kusema Mungu alimfunulia kuhusu mbingu na kwenda Mbinguni.
Asanteni.
Sasa wasio mjua Mungu wataelewa nini,ogopa sana jambo usilo lijua akaja mtu kutaka kukuaminisha ,kuishi maisha ya neema na kumjua Mungu si watu wote walio jaaliwa.Umeeleza vizuri,Suala la kwenda Mbinguni kwa mkristo wala sio la kushangaa,tatizo kuna watu wakisika mtu kaenda mbinguni wanaanza kuwaza kama wao kwamba mtu kavaa mkanda nje na viatu na begi lake anasubiri basi la kumpaisha ndio maana anaona ni kitu kisichowezekana.
Kupelekwa mbinguni,inatoka roho yako ambayo ndio imevalishwa huu mwili,unaacha mwili wako kitandani unauona,au vinginevyo unapewa maono ya namna mbingu ilivyo.
Sub conscious + super consciousDream is a series of thoughts, images, and sensations occurring in a person's mind during sleep basi nothing moreeee .