Mbinguni/peponi pamegunduliwa

Mbinguni/peponi pamegunduliwa

Hehehe huu upuuzi washamba wanaupokea haraka sana kwa kua umeongea kile wanachotaka kusikia.
Hakuna kitu kama hicho, Centurion unaongelea movie? duh! Hatuna chombo kinachoweza kwenda kwa speed ya mwanga hadi leo hii, hata 10% ya speed ya mwanga tu bado hatujakaribia, kisayansi speed ya mwanga hatuwezi kuifikia, zipo sababu maalum hapa si mahala pake wala hutonielewa.
Leo hii kwenda Mars peke yake, sayari ambayo ipo jirani yetu tunatumia miezi sita hadi nane. Huko mbinguni unaposema wewe hicho chombo walikirusha lini? miaka milioni iliyopita au? tulikua hata na chuma enzi hizo?

Watu wenye imani zinazosuasua hua mnanishangaza sana, mnatafuta kila njia ili ujiridhishe moyo wako kua Mungu yupo, hehe! kama unaamini unaamini tu, kama huamini huamini, usikae unameza vitu kama hivi. Narudia tena kwa mara ya mia moja, zaidi ya 50% ya vitu unavyosoma kwenye internet ni vya uongo kua makini sana.

You have my respects boss!

Ila to add up,duniani tuna uwezo wa ku-accelerate particles to multiples ya speed of light,ila kujenga full fledged shuttle ya speed ya light bado kabisa
 
You have my respects boss!

Ila to add up,duniani tuna uwezo wa ku-accelerate particles to multiples ya speed of light,ila kujenga full fledged shuttle ya speed ya light bado kabisa

Hatuna uwezo wa ku~accelerate particles to multiples ya speed of light, labda kama unaonagelea "factors", multiples navojua ni a number multiplied by an integer, sasa speed of light (c) tukisema multiple maana yake 2c, 3c ...... kitu ambacho si kweli, hata kwa something as small as an indivisible particle bado hatujaweza kufikia speed of light, theory inasema tutahitaji infinite amount of energy ku~accelerate something kufikia such speed. Na unajua ikiwa attained in multiples as you say then maana yake hiyo particle itakua inaenda nyuma in time, Tachyons zenyewe ambazo wanasema ziko faster than light ni theoretical tu, hakuna hata moja iliyowahi kua detected hadi leo.
 
Wanasayansi wamegundua mahali mbingu na pepo ilipo katika anga za mbali sana,Ma trilioni ya kilometer kwa speed ya mwanga kwa mabilioni ya miaka.
Aidha chombo kilichotumwa ''Centurion'' miongo kadhaa iliyopita kimetuma taarifa kadhaa hapa duniani na kudhibitika kwamba mbinguni/peponi ni jambo dhahiri.
Wanasayansi wameongeza kwamba hakuna kiumbe kitakachoweza kuingia maeneo hayo kwani damu itakauka umbali wa kilometer milioni kadhaaa kabla ya kupakaribia.
Chanzo.Discovery science
New-Star-Discovered.jpg

Pia wanasayansi wamegundua kwamba Mwenyezi Mungu ni nguvu kubwakupindukia inayofanya mambo yote kwa mpangilio.
duu... iyo picha mbona kamaa ime editiwaa ivii..
 
Hatuna uwezo wa ku~accelerate particles to multiples ya speed of light, labda kama unaonagelea "factors", multiples navojua ni a number multiplied by an integer, sasa speed of light (c) tukisema multiple maana yake 2c, 3c ...... kitu ambacho si kweli, hata kwa something as small as an indivisible particle bado hatujaweza kufikia speed of light, theory inasema tutahitaji infinite amount of energy ku~accelerate something kufikia such speed. Na unajua ikiwa attained in multiples as you say then maana yake hiyo particle itakua inaenda nyuma in time, Tachyons zenyewe ambazo wanasema ziko faster than light ni theoretical tu, hakuna hata moja iliyowahi kua detected hadi leo.

Mkuu upo sahihi in general terms.

Ila Mkuu as for now mambo yanabadilika,mfano tu neutrinos ni fundamental particles na ni faster than speed of light,zina arrive 60nanoseconds before light,hii ni proven na OPERA kutumia beam of neutrinos coming out of CERN.....Law ya Einstain that speeds can only near speed of light and speed of light is a limit is becoming absolete now.
 
Ukiamini Mungu "Yupo" au "Hayupo" hakuna guarantee yeyote kua utaenda peponi!
Yaani wamepotoshwa vibaya sana..... Kuamini Mungu tu haikupeleki popote. Unaweza usiamini Mungu na ukafanya yaliyo mema.
 
Watu wa zamani walikua ni kama wanyama kwa ukali. Ilikua lazina wapewe vitisho kwa kifundishwa ili kupunguza ukali. Ndio maana mkadanganywa kuwa kuna mdudu anaitwa Mungu na kuonana naye lazima ufe. Kwa great thinkers watajua namaanisha nini. Naandika kwa herufi kubwa kuwa HAKUNA KITU CHOCHOTE KINACHOITWA MUNGU KILIUFANYA ULINWENGU NA VYOTE VILIVYOPO.
 
wanasayansi wanasahau kuwa maandiko yanasema Mungu hachunguziki. Uwezi wa mwanadamu ni mdogo sana kumchunguza Mungu soma (Isaya 40:28;Zaburi 145:3 na warumi 11:33-34)
Kwani hizo tafiti zinazofanyika in observable space of universe wanamchunguza Mungu directly? Be a great thinker mkuu
 
Watu wa zamani walikua ni kama wanyama kwa ukali. Ilikua lazina wapewe vitisho kwa kifundishwa ili kupunguza ukali. Ndio maana mkadanganywa kuwa kuna mdudu anaitwa Mungu na kuonana naye lazima ufe. Kwa great thinkers watajua namaanisha nini. Naandika kwa herufi kubwa kuwa HAKUNA KITU CHOCHOTE KINACHOITWA MUNGU KILIUFANYA ULINWENGU NA VYOTE VILIVYOPO.

We jamaa ni kiazi kweli sasa wew nani kakuumba
 
Pole sana

Naona uwaone watu karibu yako.

Light -Darkness
Day - Night
Truth - Lie
Love - Hate
God -Satan
That is how it works

What you don't know does not mean it is not there.
 
Ngosiboy uko gizani na umepotea. Hata hivyo bado unaweza rudi kwenye nuru na ukweli ukijiuliza na kufikiria tu wewe umetokea wapi, binadamu na viumbe vyote vimetokea wapi kama sio kuwepo kwa mwanzilishi wa waisha, watu na viumbe vyote. Mwanzilishi huyo ndio muumba, ndie Mwenyezi Mungu.
 
kwa hiyo wanasayansi wamekubali kama kuna Mungu? Manake wao ndio huwa wa kwanza kulipinga hilo kwa kuamini zaidi sayansi yao ndio kila kitu. Pia mbinguni ni sehemu ya kiroho zaidi sio rahisi kuonekana kwa macho ya mwilini au kwa kutumia vifaa vilivyotengenezwa na mwanadamu, hao ni wazushi tu labda wameona sayari nyingine
Exactly
 
Back
Top Bottom