Mbinu 6 za kumsahihisha Mkeo pale anapokosea pasipo kuumiza Hisia zake

Mbinu 6 za kumsahihisha Mkeo pale anapokosea pasipo kuumiza Hisia zake

Mwanaume mwenye akili anachojua ni vitu viwili tu
Hakikisha unampa furaha pili hakikisha unampa huzuni haya yawe sambamba likitoka hili linafuata jingine ni yasichukue muda mrefu Moja

Hutakiwi mwanaume mke akakusoma mpaka akakumaliza hii mwanaume tunza

Akikumaliza umekwisha
 
Umepata bahati Kuoa Mke asiyekunywa pombe achilia mbali Mlevi
Nina bahati Kwa Hilo labda abadilike au kubadilishwa lakini msimamo wàngu upo wazi Kwa mabadiliko yatakayojitokeza
Mimi pia nina hiyo bahati 🙏
Hongera sana
Kwa maisha ya sasa, ukifanya tathmini kati ya Wanawake 3 hadi 5 kati ya 10 utakuta wanakunywa pombe.

NI kwèli tenà Watani zetu wachagga ndîo wanashika Namba
Mwanamke anayekunywa pombe ni rahisi kukengeuka na kukuendesha ndani ya nyumba iwapo utampa hiyo first class service.
😀😀
MTU yeyote mjinga siwezi MPA chance kama hiyo.
WALA hawezi kuwa Mke wàngu. Kwangu NI Bora niwe single(Kataa Ndoa) kuliko kuishi na kichaa au MTU anayeniona kichaa
Kiasili Mwanaume ni Kichwa na Kiongozi wa familia, Mwanamke ameumbwa kupokea maagizo na maelekezo ya wewe Mwanaume.

NI kwèli mkuu
Ukiwa too soft jiandae kumkabidhi Madaraka Mkeo ndani ya nyumba akuongoze

Mwanamke ataongoza ndàni ya Nyumba Kwa Yale yanayomhusu kuongoza

Ndio maana msimamo wàngu upo kwèñye Mwanamke akitaka au akicheat lazima nimpe red card mapema Kwa sababu najua kuwa chanzo cha Wanawake wengi kutawala ndàni waume zào NI pàmoja na hicho

Mbili, ushirikina na ulozi au hata hawa Wanawake WA makanisa ya upako. Mke wàngu akishaanza tàbia hizo ujue ûtawala WA Mwanaume upo shakani.

Tatu, uchumi hasa kukopa.
Mwanamke anayejiamulia kukopa pasipo kuomba ruhusa Kwa Mumewe hiyo Ndoa itapasua Matairi mapema tuu. Kama Mwanaume atakaa kimya NI wazi Mamlaka yake yapo mashakani na kuburuzwa NI hakika
 
Mwanaume mwenye akili anachojua ni vitu viwili tu
Hakikisha unampa furaha pili hakikisha unampa huzuni haya yawe sambamba likitoka hili linafuata jingine ni yasichukue muda mrefu Moja

Hutakiwi mwanaume mke akakusoma mpaka akakumaliza hii mwanaume tunza

Akikumaliza umekwisha

Yeah!
Huzuni íwe kidôgo kama pilipii au chachandu kwèñye chakula
 
Mwanaume mwenye akili anachojua ni vitu viwili tu
Hakikisha unampa furaha pili hakikisha unampa huzuni haya yawe sambamba likitoka hili linafuata jingine ni yasichukue muda mrefu Moja

Hutakiwi mwanaume mke akakusoma mpaka akakumaliza hii mwanaume tunza

Akikumaliza umekwisha
Hahaha........hii mbinu yako ni ya viwango

Ingekuwa ni Serikali inakupa nyongeza ya mshahara wa elfu 70 halafu inakupa Makato ya Kodi ya shilingi 65,000

Ukicheki take home imeongezeka shilingi 5,000 ya kilo ya Sukari 🙌
 
Nina bahati Kwa Hilo labda abadilike au kubadilishwa lakini msimamo wàngu upo wazi Kwa mabadiliko yatakayojitokeza

Hongera sana


NI kwèli tenà Watani zetu wachagga ndîo wanashika Namba

😀😀
MTU yeyote mjinga siwezi MPA chance kama hiyo.
WALA hawezi kuwa Mke wàngu. Kwangu NI Bora niwe single(Kataa Ndoa) kuliko kuishi na kichaa au MTU anayeniona kichaa


NI kwèli mkuu


Mwanamke ataongoza ndàni ya Nyumba Kwa Yale yanayomhusu kuongoza

Ndio maana msimamo wàngu upo kwèñye Mwanamke akitaka au akicheat lazima nimpe red card mapema Kwa sababu najua kuwa chanzo cha Wanawake wengi kutawala ndàni waume zào NI pàmoja na hicho

Mbili, ushirikina na ulozi au hata hawa Wanawake WA makanisa ya upako. Mke wàngu akishaanza tàbia hizo ujue ûtawala WA Mwanaume upo shakani.

Tatu, uchumi hasa kukopa.
Mwanamke anayejiamulia kukopa pasipo kuomba ruhusa Kwa Mumewe hiyo Ndoa itapasua Matairi mapema tuu. Kama Mwanaume atakaa kimya NI wazi Mamlaka yake yapo mashakani na kuburuzwa NI hakika
Bila kusimama kama Kichwa cha familia, unaweza kuburuzwa na Mkeo hadi uchukie Ndoa.

Mwanaume lazima u-behave, uwe responsible na mwenye misimamo.

Otherwise Kwa hali ya 50/50 tuliyoletewa na Wazungu tujiendae kwa majuto zaidi
 
Bila kusimama kama Kichwa cha familia, unaweza kuburuzwa na Mkeo hadi uchukie Ndoa.

Mwanaume lazima u-behave, uwe responsible na mwenye misimamo.

Otherwise Kwa hali ya 50/50 tuliyoletewa na Wazungu tujiendae kwa majuto zaidi
Uko sahihi, mi afrika haya aliyoyasema unahitaji kuya practise kwa akili sana sio straight forward kuepusha kuharibu zaid badala ya kujenga
 
Uko sahihi, mi afrika haya aliyoyasema unahitaji kuya practise kwa akili sana sio straight forward kuepusha kuharibu zaid badala ya kujenga
Sahihi Mkuu, kuishi na Mtu mliyekutana naye Ukubwani sio kazi rahisi

Tunahitaji hekima za Mungu kutuvusha
 
Umepata bahati Kuoa Mke asiyekunywa pombe achilia mbali Mlevi

Mimi pia nina hiyo bahati 🙏

Kwa maisha ya sasa, ukifanya tathmini kati ya Wanawake 3 hadi 5 kati ya 10 utakuta wanakunywa pombe.

Mwanamke anayekunywa pombe ni rahisi kukengeuka na kukuendesha ndani ya nyumba iwapo utampa hiyo first class service.

Kiasili Mwanaume ni Kichwa na Kiongozi wa familia, Mwanamke ameumbwa kupokea maagizo na maelekezo ya wewe Mwanaume.

Ukiwa too soft jiandae kumkabidhi Madaraka Mkeo ndani ya nyumba akuongoze
Nimelia hadi kwikwi...... Mbona walevi hatunaga shida na mtu 😔
 
Bila kusimama kama Kichwa cha familia, unaweza kuburuzwa na Mkeo hadi uchukie Ndoa.

Mwanaume lazima u-behave, uwe responsible na mwenye misimamo.

Otherwise Kwa hali ya 50/50 tuliyoletewa na Wazungu tujiendae kwa majuto zaidi

Tenà Kwa Zama hizi Wanawake nao wanakipato mbona Vijana wataburuzwa Sana
 
MBINU 6 ZA KUMSAHIHISHA MKEO PALE ANAPOKOSEA PASIPO KUUMIZA HISIA ZAKE.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Ukiishi na Mwanamke utagundua Wanawake NI viumbe weñye makosa mengi madogo madogo àmbayo Kwa kiasi kikubwa hawayafanyi Kwa kupenda.

Uchunguzi wàngu unaonyesha kuwa makosa mengi yanatokana na kuendeshwa na HISIA. Makosa machache yakitokana na usahaulifu unaochangiwa na tàbia yao ya kuwa na mambo meñgi.

Ukitaka kuishi VIZURI na Mkeo Siku zote za Maisha yako Basi Kamwe usijifananishe naye, usijilinganishe naye.
Mwanamke anaakili kama Mwanaume lakini Akili hiyo haifanyi Kazi kiume.
Mwanamke anahisia kama Mwanaume lakini HISIA hizô hazi-operate kama Mwanaume.

Kama utajilinganisha na Mkeo NI wazi utamkasirikia na kuona kama anakufanyia makusudi kufanya Makosa. Jambo ambalo siô Sahihi.

Nimesema Makosa madogo madogo àmbayo NI mengi hufanywa bila ya waô kuamua.

Ila makosa Makubwa mengi wanafanya Kwa kuamua yàani wanafanya Kwa dhamiri.

Sisi Watibeli tunasamehe Makosa àmbayo hayajafanywa Kwa dhamiri/kukusudia.

Makosa Makubwa kama Usaliti( cheating), Kosa la kwenda Kwa Mganga au uchawi, Kosa la kuchukua Mîkopo pasipo kuomba ruhusa kwako Mumewe hayo ni Makosa Makubwa àmbayo Watibeli hatufikirii mara Mbili na adhabu zake zîpo wazi tangu Siku ya Kwanza.
Makosa hayo hayahitaji kusahihishwa Bali NI kufukuzwa Moja Kwa Moja,

Kosa la Mwanamke kuchukua Mkopo Kwa Siri hii NI Mada ñyiñgine àmbayo Kwa hakika nitakuja na àndiko lake.

Sitaki kuwachosha na maelezo marefu. Zifuatazo NI MBINU Kumi za kumsahihisha Mkeo pale anapokosea pasipo kuumiza hisia zake;

1. Usimkaripie Wala Kumlaumu.
Mwanaume ni ule uwezo wa kuyafanya mambo magumu kuwa yakawaida au rahisi. Hii itaonyesha ukomavu wako.

Watu wanaofokafoka, laumulaumu kisaikokojia wanatatizo la Akili, au Wana emotional damage. Mwanaume hapaswi kuwa Mtu kufokafoka au kulaumu.
Mwanaume ni mtoa suluhisho.

Mkeo ni mwanafunzi kwako, wewe kwàke ni Mwalimu. Njia rahisi na Bora ya kumfundisha mwanafunzi siô kumkaripia au kumlaumu

Mfano, amevunja na kuharibu kitu.
Usimfokee Wala kumlaumu,

Mwambie; Pole, haujaumia, atajibu, kama ameumia onyesha kujali zaidi kuumia kwàke. Mfanyie utaratibu WA tiba.
Kama hajaumia, rekebisha hicho kitu alichoharibu, kama haiwezeniki haidhuru.
Mwambie, asijali kitanunuliwa kingine au kitarekebishwa.

Mwambie, Siku nyingine awe MAKINI hasa na vitu vya umeme kwani siô tuu vinaweza kuharibika Bali vinaweza kumuumiza hata yeye Jambo ambalo NI hatari mwambie, NI Vizuri akiwa anashika vitu aina hiyo akushirikishe.

Elewa, hiyo ni ajali(uzembe) inaweza tokana na kutokujua au Kutokuwa MAKINI.

Hapo mtazidi kujenga mahusiano Yenu. Vitu visiharibu utu wenu(mahusiano Yenu) usivipe Vitu thamani kuliko Mkeo. Hivyo NI vitu tuu.

2. Usimuabishe mbele za Watoto na Watu.
Hili pia ni tatizo la wengi.
Ameshakosea, Makosa yake yasikufanye ukosee.
Amekosea Kupika labda Kwa kuunguza au kuweka chumvi nyingi.
Mwambie, Leo kidôgo umeteleza, chumvi imezidi. Chàkula cha Jana na juzi kilikuwa kitamu na ulifanya Vizuri. Inatosha.

Sio unaanza kupigapiga kelele kama mwehu tenà mbele ya Watoto. Huo siô Ubaba, Wababa hawafanyagi hivyo.

3. Kuwa na desturi ya kumsifia anapofanya vizuri ili isimpe shida Siku ukimkosoa.

Siku zote úkiwa MTU WA kukosoa tuu pasipo kumsifia Kwa Yale mzuri atakuona unagubu, Huna shukrani, mlalamishi.
Na pia ukimsifia tuu pasipo Kumkosoa atakuona kama Chawa wake.

Mkeo akifanya mzuri mpe Sifa na elezea jinsi unavyofurahia uwèpo wake katika Maisha yako.

4. Msaidie kufanya Masahihisho Kwa Upendo
Shiriki naye katika kusahihisha Makosa yake ili ajifunze Kwa vitendo.
Mwanaume ni package lazima uwe na vitu vingi kuliko Mkeo.

Unapomsaidia Mkeo kufanya Masahihisho Kwa pàmoja unamjengea tàbia ya naye kukusaidia pale utakapofanya Makosa. Unapomuacha afanye mwenyewe huku ukimsimanga naye atafanya vivyohivyo Siku utakapokosea.

Elewa, Kwa asilimia 90 Maisha NI kile upandacho.

5. Mfanye mkamilifu kupitia Makosa yake.
Makosa ndîo humfanya MTU kuwa mkamilifu. Bila Makosa MTU hawezi kuwa mkamilifu.
Ingawaje ukamilifu katika Makosa hutegemea na namna Makosa hayo yanavyosahihishwa.

Mwambie asijali, ndîo anajifunza, Siku akijua hawezi kukosea. Atakuwa mkamilifu katika Jambo Hilo.

6. Mfundishe kutofanya Makosa yàani kuwa MAKINI.
Kuwa MAKINI kunahitaji, ujuzi na maarifa, Muda Sahihi, na Akili ilyotulia.
Kufanya vitu Kwa mpangilio Sahihi.

Zingatia, mambo yôte haya ili uyafanye unapaswa uwe umekomaa, úwe na uwezo WA kudhibiti HISIA zako, na uwe na Upendo thabiti.

Elewa, jinsi unavyoshughulikia matatizo madogo madogo ya Mwanamke wako ndîo itaamua hatma nzuri au mbaya ya mahusiano Yenu. Pia Kwa kiasi kikubwa makosa madogo madogo Wanawake wanayoyafanya ndîo hupelekea waô kufanya Makosa Makubwa kama Usaliti, ushirikina na uchawi n.k. kama hutojua namna ya kuyashughulikia.

Elewa, Mwanamke anapendwa kupendwa Hilo ndîo Jambo Namba Moja Kwa Mwanamke yeyote Duniani. Hiyo kupenda Pesa ni kwaajili ya kutaka kupendwa yàani awe Mrembo na azidi kuvutia Upendo Kwa Watu.

Elewa Mwanamke huweza kubadilika na kutokukupenda pale atakapoona hapendwi na kama utamfanya asipendwe(ukishindwa kumhudumia Mkeo hakuna atakayempenda kwani atajichokea na kuwa kama gari bovu).
Mwanamke hata kama haumpendi lakini ukamfanya akapendwa na Watu Wengine anaweza kuvumilia ndàni ya Ndoa.

Note: Usimpende Mwanamke kama Huwezi kumpenda. Utajiumiza.

Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
sawa asante
 
Back
Top Bottom