Mbinu 6 za kumsahihisha Mkeo pale anapokosea pasipo kuumiza Hisia zake

Ningesoma huu uzi 3 hours ago, labda ninge badili mawazo lakini hapana ..imagine mtu ana cheza mchezo wa vyombo kwenye group la watu asio wajua just because kaona insta .ikifika kiwango cha pesa una chagua kitu cha thamani iyo eg brenda,vyombo etc .

Pesa yangu naitafuta kwa akili nyingi mtu ana enda kuigawa bure kwa matapeli comfortably
 
Hahaha..............pole Mjukuu, hebu shushia hiyo wine 🍷 upunguze majonzi 🤗
Wanawake tunaokunywa hatuna baya, hatuna midomo tofauti na wasiokunywa ambao ukiagiza bia tatu utamsikia "kazi kunywa tu badala ya kufanya maendeleo"

Afu tukinywa tunakuaga watamu 😔
 

😆😆
Pole Mkûu.
Kwa nini hajakushirikisha?
 
wife mi ni muharibu balaa,namuangaliaga tu,
Nahisi ana pepo la kuvunja vitu na kuharibu
 
hao ni wauaji mi sitaki kufa

😆😆
Sasa MTU akupige Mpaka jino litoke kuna umbali gàni kuitoa Roho yako?
MTU kama hawezi kueleza Jambo mkaelewana NI Bora kîla MTU apite njia yake kuliko akupige au umpige au mpigane
 
Kila kitu unakijua kaka

Lamba hadi pua yako basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…