Mbinu 6 za kumsahihisha Mkeo pale anapokosea pasipo kuumiza Hisia zake

Kwa style hii huto toboa kwanza atakudharau kabda kwa wanaume wa dar
 
Tenà Kwa Zama hizi Wanawake nao wanakipato mbona Vijana wataburuzwa Sana
Kabisa, mbaya zaidi Kuna vi-organizations vinajaribu kuwapa nguvu hiyo ya 50/50 Wanawake zetu.

Tukija kutahamaki, Wanawake wamepora Madaraka yote ya Mume ndani ya nyumba.

Ikishafikia hiyo stage, tegemea wimbi la talaka na single father na single mothers wa kutosha 🙌
 

Noma Sana.
Unakuwa single Father usiye na pesa, uliyetelekezewa Watoto alafu Kazi yao haieleweki alafu Huna Mzazi wakumpelekea Watoto wako(wajukuu zake).

Itakuja kipindi utasikia single Father wakilambishwa uji WA Moto Kwa kejeli
 
Wanawake tunaokunywa hatuna baya, hatuna midomo tofauti na wasiokunywa ambao ukiagiza bia tatu utamsikia "kazi kunywa tu badala ya kufanya maendeleo"

Afu tukinywa tunakuaga watamu 😔
Leo umefunguka sana Mjukuu 🤗

Hiyo ya kuwa watamu mkinywa bado sijai-experiences

Hebu niletee Kiko ili tupate nafasi ya kuongea vizuri Babu na Mjukuu 😜
 
Aahahàaaa

Itabidi tumtembelee tujifunze kwa vitendo
 
Noma Sana.
Unakuwa single Father usiye na pesa, uliyetelekezewa Watoto alafu Kazi yao haieleweki alafu Huna Mzazi wakumpelekea Watoto wako(wajukuu zake).

Itakuja kipindi utasikia single Father wakilambishwa uji WA Moto Kwa kejeli
God have mercy 🙏

Natamani nizeeke salama nikiwa na vyote hivyo pamoja 🙏🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…