Mbinu 6 za kumsahihisha Mkeo pale anapokosea pasipo kuumiza Hisia zake

Mbinu 6 za kumsahihisha Mkeo pale anapokosea pasipo kuumiza Hisia zake

aliyekuwa wakwangu yeye ukifanya kitu ambacho hakijampendeza kwanza atakununia kwa muda utakaopenda yeye yani hapo hata hajakuambia kosa lako utaona tu hakutafuti na ukimtafuta wewe hatopokea simu wala kujibu sms,na mbaya zaidi nae ataenda kulipiza afanye kama wewe ulivyofanya,,,ptuuuu kwa mwanaume nayejitambua hawezi kufanya vitu vyakupumbavu hivyo
 
aliyekuwa wakwangu yeye ukifanya kitu ambacho hakijampendeza kwanza atakununia kwa muda utakaopenda yeye yani hapo hata hajakuambia kosa lako utaona tu hakutafuti na ukimtafuta wewe hatopokea simu wala kujibu sms,na mbaya zaidi nae ataenda kulipiza afanye kama wewe ulivyofanya,,,ptuuuu kwa mwanaume nayejitambua hawezi kufanya vitu vyakupumbavu hivyo

Hamna kitu hapo
 
That's too theoretical, can't work with our African ladies.

Hujawahi kusikia Wanawake hawapendi Wanaume laini (Soft hearted Men).

"Mwanaume wangu nimemkamata kweli kweli, hafurukuti hata Kwa dawa"

Oa uone mambo yalivyo magumu Kwa ground 🙌
Ukiwa hivyo asemavyo Robert Heriel Mtibeli hakyanani mkeo hamalizi mwezi anaanza dharau za waziwazi akiamini huwezi kumuacha, amekuweka kiganjani.

Nadhani njia sahihi ni kuishi nae kulingana na vile wewe unaiona akiki yake, na yeye ataenenda hivyo nawe.
 
MBINU 6 ZA KUMSAHIHISHA MKEO PALE ANAPOKOSEA PASIPO KUUMIZA HISIA ZAKE.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Ukiishi na Mwanamke utagundua Wanawake NI viumbe weñye makosa mengi madogo madogo àmbayo Kwa kiasi kikubwa hawayafanyi Kwa kupenda.

Uchunguzi wàngu unaonyesha kuwa makosa mengi yanatokana na kuendeshwa na HISIA. Makosa machache yakitokana na usahaulifu unaochangiwa na tàbia yao ya kuwa na mambo meñgi.

Ukitaka kuishi VIZURI na Mkeo Siku zote za Maisha yako Basi Kamwe usijifananishe naye, usijilinganishe naye.
Mwanamke anaakili kama Mwanaume lakini Akili hiyo haifanyi Kazi kiume.
Mwanamke anahisia kama Mwanaume lakini HISIA hizô hazi-operate kama Mwanaume.

Kama utajilinganisha na Mkeo NI wazi utamkasirikia na kuona kama anakufanyia makusudi kufanya Makosa. Jambo ambalo siô Sahihi.

Nimesema Makosa madogo madogo àmbayo NI mengi hufanywa bila ya waô kuamua.

Ila makosa Makubwa mengi wanafanya Kwa kuamua yàani wanafanya Kwa dhamiri.

Sisi Watibeli tunasamehe Makosa àmbayo hayajafanywa Kwa dhamiri/kukusudia.

Makosa Makubwa kama Usaliti( cheating), Kosa la kwenda Kwa Mganga au uchawi, Kosa la kuchukua Mîkopo pasipo kuomba ruhusa kwako Mumewe hayo ni Makosa Makubwa àmbayo Watibeli hatufikirii mara Mbili na adhabu zake zîpo wazi tangu Siku ya Kwanza.
Makosa hayo hayahitaji kusahihishwa Bali NI kufukuzwa Moja Kwa Moja,

Kosa la Mwanamke kuchukua Mkopo Kwa Siri hii NI Mada ñyiñgine àmbayo Kwa hakika nitakuja na àndiko lake.

Sitaki kuwachosha na maelezo marefu. Zifuatazo NI MBINU Kumi za kumsahihisha Mkeo pale anapokosea pasipo kuumiza hisia zake;

1. Usimkaripie Wala Kumlaumu.
Mwanaume ni ule uwezo wa kuyafanya mambo magumu kuwa yakawaida au rahisi. Hii itaonyesha ukomavu wako.

Watu wanaofokafoka, laumulaumu kisaikokojia wanatatizo la Akili, au Wana emotional damage. Mwanaume hapaswi kuwa Mtu kufokafoka au kulaumu.
Mwanaume ni mtoa suluhisho.

Mkeo ni mwanafunzi kwako, wewe kwàke ni Mwalimu. Njia rahisi na Bora ya kumfundisha mwanafunzi siô kumkaripia au kumlaumu

Mfano, amevunja na kuharibu kitu.
Usimfokee Wala kumlaumu,

Mwambie; Pole, haujaumia, atajibu, kama ameumia onyesha kujali zaidi kuumia kwàke. Mfanyie utaratibu WA tiba.
Kama hajaumia, rekebisha hicho kitu alichoharibu, kama haiwezeniki haidhuru.
Mwambie, asijali kitanunuliwa kingine au kitarekebishwa.

Mwambie, Siku nyingine awe MAKINI hasa na vitu vya umeme kwani siô tuu vinaweza kuharibika Bali vinaweza kumuumiza hata yeye Jambo ambalo NI hatari mwambie, NI Vizuri akiwa anashika vitu aina hiyo akushirikishe.

Elewa, hiyo ni ajali(uzembe) inaweza tokana na kutokujua au Kutokuwa MAKINI.

Hapo mtazidi kujenga mahusiano Yenu. Vitu visiharibu utu wenu(mahusiano Yenu) usivipe Vitu thamani kuliko Mkeo. Hivyo NI vitu tuu.

2. Usimuabishe mbele za Watoto na Watu.
Hili pia ni tatizo la wengi.
Ameshakosea, Makosa yake yasikufanye ukosee.
Amekosea Kupika labda Kwa kuunguza au kuweka chumvi nyingi.
Mwambie, Leo kidôgo umeteleza, chumvi imezidi. Chàkula cha Jana na juzi kilikuwa kitamu na ulifanya Vizuri. Inatosha.

Sio unaanza kupigapiga kelele kama mwehu tenà mbele ya Watoto. Huo siô Ubaba, Wababa hawafanyagi hivyo.

3. Kuwa na desturi ya kumsifia anapofanya vizuri ili isimpe shida Siku ukimkosoa.

Siku zote úkiwa MTU WA kukosoa tuu pasipo kumsifia Kwa Yale mzuri atakuona unagubu, Huna shukrani, mlalamishi.
Na pia ukimsifia tuu pasipo Kumkosoa atakuona kama Chawa wake.

Mkeo akifanya mzuri mpe Sifa na elezea jinsi unavyofurahia uwèpo wake katika Maisha yako.

4. Msaidie kufanya Masahihisho Kwa Upendo
Shiriki naye katika kusahihisha Makosa yake ili ajifunze Kwa vitendo.
Mwanaume ni package lazima uwe na vitu vingi kuliko Mkeo.

Unapomsaidia Mkeo kufanya Masahihisho Kwa pàmoja unamjengea tàbia ya naye kukusaidia pale utakapofanya Makosa. Unapomuacha afanye mwenyewe huku ukimsimanga naye atafanya vivyohivyo Siku utakapokosea.

Elewa, Kwa asilimia 90 Maisha NI kile upandacho.

5. Mfanye mkamilifu kupitia Makosa yake.
Makosa ndîo humfanya MTU kuwa mkamilifu. Bila Makosa MTU hawezi kuwa mkamilifu.
Ingawaje ukamilifu katika Makosa hutegemea na namna Makosa hayo yanavyosahihishwa.

Mwambie asijali, ndîo anajifunza, Siku akijua hawezi kukosea. Atakuwa mkamilifu katika Jambo Hilo.

6. Mfundishe kutofanya Makosa yàani kuwa MAKINI.
Kuwa MAKINI kunahitaji, ujuzi na maarifa, Muda Sahihi, na Akili ilyotulia.
Kufanya vitu Kwa mpangilio Sahihi.

Zingatia, mambo yôte haya ili uyafanye unapaswa uwe umekomaa, úwe na uwezo WA kudhibiti HISIA zako, na uwe na Upendo thabiti.

Elewa, jinsi unavyoshughulikia matatizo madogo madogo ya Mwanamke wako ndîo itaamua hatma nzuri au mbaya ya mahusiano Yenu. Pia Kwa kiasi kikubwa makosa madogo madogo Wanawake wanayoyafanya ndîo hupelekea waô kufanya Makosa Makubwa kama Usaliti, ushirikina na uchawi n.k. kama hutojua namna ya kuyashughulikia.

Elewa, Mwanamke anapendwa kupendwa Hilo ndîo Jambo Namba Moja Kwa Mwanamke yeyote Duniani. Hiyo kupenda Pesa ni kwaajili ya kutaka kupendwa yàani awe Mrembo na azidi kuvutia Upendo Kwa Watu.

Elewa Mwanamke huweza kubadilika na kutokukupenda pale atakapoona hapendwi na kama utamfanya asipendwe(ukishindwa kumhudumia Mkeo hakuna atakayempenda kwani atajichokea na kuwa kama gari bovu).
Mwanamke hata kama haumpendi lakini ukamfanya akapendwa na Watu Wengine anaweza kuvumilia ndàni ya Ndoa.

Note: Usimpende Mwanamke kama Huwezi kumpenda. Utajiumiza.

Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam


Mnawaabudu sana hawa wapuuzi
 
Mkuu wewe kila kitu huwa una ufahamu nacho tu.. inaonekana una life stable sana kuanzia

  • kumiliki ukwasi wa kutosha
  • kuwa na mke anaekuheshimu na kukutii
  • Kuwa na heshima ya kutosha sana pale ukweni
  • kuwa na watoto waelewa na mfano bora mitaa uliyopo
  • kuwa na mahusiano mazuri na jamii inayokuzunguka


He is shallow
 
Ukiwa hivyo asemavyo Robert Heriel Mtibeli hakyanani mkeo hamalizi mwezi anaanza dharau za waziwazi akiamini huwezi kumuacha, amekuweka kiganjani.

Nadhani njia sahihi ni kuishi nae kulingana na vile wewe unaiona akiki yake, na yeye ataenenda hivyo nawe.
Ni kweli Mkuu

Huyu Mjumbe nina wasiwasi naye kama kweli ameoa, Tena Wanawake hawa Hawa waliomwambia Ayubu akufuru ili akafie mbele huko amwache na familia yake 😜🙌
 
Hakuna formula ya kuishi na mwanamke utajisumbua bure mwisho uonekane fala.

Mwanaume unatakiwa uwe mkali na msimamo usioyumba usimchekee mwanamke atakupanga kichwani.

Haya mapenzi mnayoangalia kwenye tamthilia yanawadanganya ila kwa ground things ni tofauti sana.
 
Ni kweli Mkuu

Huyu Mjumbe nina wasiwasi naye kama kweli ameoa, Tena Wanawake hawa Hawa waliomwambia Ayubu akufuru ili akafie mbele huko amwache na familia yake 😜🙌
Kabisa mkuu, wewe ukimjari na kifanya atakavyo jamaa, yeye hatadhani ni upendo ila ataona wewe ni zoba na amekufungia ndani ya chupa, hufurukuti juu yake.
 
Kabisa mkuu, wewe ukimjari na kifanya atakavyo jamaa, yeye hatadhani ni upendo ila ataona wewe ni zoba na amekufungia ndani ya chupa, hufurukuti juu yake.
Ni hatari Mkuu

Ndiyo maana tumeelekezwa kuishi nao Kwa akili 🙌
 
MBINU 6 ZA KUMSAHIHISHA MKEO PALE ANAPOKOSEA PASIPO KUUMIZA HISIA ZAKE.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Ukiishi na Mwanamke utagundua Wanawake NI viumbe weñye makosa mengi madogo madogo àmbayo Kwa kiasi kikubwa hawayafanyi Kwa kupenda.

Uchunguzi wàngu unaonyesha kuwa makosa mengi yanatokana na kuendeshwa na HISIA. Makosa machache yakitokana na usahaulifu unaochangiwa na tàbia yao ya kuwa na mambo meñgi.

Ukitaka kuishi VIZURI na Mkeo Siku zote za Maisha yako Basi Kamwe usijifananishe naye, usijilinganishe naye.
Mwanamke anaakili kama Mwanaume lakini Akili hiyo haifanyi Kazi kiume.
Mwanamke anahisia kama Mwanaume lakini HISIA hizô hazi-operate kama Mwanaume.

Kama utajilinganisha na Mkeo NI wazi utamkasirikia na kuona kama anakufanyia makusudi kufanya Makosa. Jambo ambalo siô Sahihi.

Nimesema Makosa madogo madogo àmbayo NI mengi hufanywa bila ya waô kuamua.

Ila makosa Makubwa mengi wanafanya Kwa kuamua yàani wanafanya Kwa dhamiri.

Sisi Watibeli tunasamehe Makosa àmbayo hayajafanywa Kwa dhamiri/kukusudia.

Makosa Makubwa kama Usaliti( cheating), Kosa la kwenda Kwa Mganga au uchawi, Kosa la kuchukua Mîkopo pasipo kuomba ruhusa kwako Mumewe hayo ni Makosa Makubwa àmbayo Watibeli hatufikirii mara Mbili na adhabu zake zîpo wazi tangu Siku ya Kwanza.
Makosa hayo hayahitaji kusahihishwa Bali NI kufukuzwa Moja Kwa Moja,

Kosa la Mwanamke kuchukua Mkopo Kwa Siri hii NI Mada ñyiñgine àmbayo Kwa hakika nitakuja na àndiko lake.

Sitaki kuwachosha na maelezo marefu. Zifuatazo NI MBINU Kumi za kumsahihisha Mkeo pale anapokosea pasipo kuumiza hisia zake;

1. Usimkaripie Wala Kumlaumu.
Mwanaume ni ule uwezo wa kuyafanya mambo magumu kuwa yakawaida au rahisi. Hii itaonyesha ukomavu wako.

Watu wanaofokafoka, laumulaumu kisaikokojia wanatatizo la Akili, au Wana emotional damage. Mwanaume hapaswi kuwa Mtu kufokafoka au kulaumu.
Mwanaume ni mtoa suluhisho.

Mkeo ni mwanafunzi kwako, wewe kwàke ni Mwalimu. Njia rahisi na Bora ya kumfundisha mwanafunzi siô kumkaripia au kumlaumu

Mfano, amevunja na kuharibu kitu.
Usimfokee Wala kumlaumu,

Mwambie; Pole, haujaumia, atajibu, kama ameumia onyesha kujali zaidi kuumia kwàke. Mfanyie utaratibu WA tiba.
Kama hajaumia, rekebisha hicho kitu alichoharibu, kama haiwezeniki haidhuru.
Mwambie, asijali kitanunuliwa kingine au kitarekebishwa.

Mwambie, Siku nyingine awe MAKINI hasa na vitu vya umeme kwani siô tuu vinaweza kuharibika Bali vinaweza kumuumiza hata yeye Jambo ambalo NI hatari mwambie, NI Vizuri akiwa anashika vitu aina hiyo akushirikishe.

Elewa, hiyo ni ajali(uzembe) inaweza tokana na kutokujua au Kutokuwa MAKINI.

Hapo mtazidi kujenga mahusiano Yenu. Vitu visiharibu utu wenu(mahusiano Yenu) usivipe Vitu thamani kuliko Mkeo. Hivyo NI vitu tuu.

2. Usimuabishe mbele za Watoto na Watu.
Hili pia ni tatizo la wengi.
Ameshakosea, Makosa yake yasikufanye ukosee.
Amekosea Kupika labda Kwa kuunguza au kuweka chumvi nyingi.
Mwambie, Leo kidôgo umeteleza, chumvi imezidi. Chàkula cha Jana na juzi kilikuwa kitamu na ulifanya Vizuri. Inatosha.

Sio unaanza kupigapiga kelele kama mwehu tenà mbele ya Watoto. Huo siô Ubaba, Wababa hawafanyagi hivyo.

3. Kuwa na desturi ya kumsifia anapofanya vizuri ili isimpe shida Siku ukimkosoa.

Siku zote úkiwa MTU WA kukosoa tuu pasipo kumsifia Kwa Yale mzuri atakuona unagubu, Huna shukrani, mlalamishi.
Na pia ukimsifia tuu pasipo Kumkosoa atakuona kama Chawa wake.

Mkeo akifanya mzuri mpe Sifa na elezea jinsi unavyofurahia uwèpo wake katika Maisha yako.

4. Msaidie kufanya Masahihisho Kwa Upendo
Shiriki naye katika kusahihisha Makosa yake ili ajifunze Kwa vitendo.
Mwanaume ni package lazima uwe na vitu vingi kuliko Mkeo.

Unapomsaidia Mkeo kufanya Masahihisho Kwa pàmoja unamjengea tàbia ya naye kukusaidia pale utakapofanya Makosa. Unapomuacha afanye mwenyewe huku ukimsimanga naye atafanya vivyohivyo Siku utakapokosea.

Elewa, Kwa asilimia 90 Maisha NI kile upandacho.

5. Mfanye mkamilifu kupitia Makosa yake.
Makosa ndîo humfanya MTU kuwa mkamilifu. Bila Makosa MTU hawezi kuwa mkamilifu.
Ingawaje ukamilifu katika Makosa hutegemea na namna Makosa hayo yanavyosahihishwa.

Mwambie asijali, ndîo anajifunza, Siku akijua hawezi kukosea. Atakuwa mkamilifu katika Jambo Hilo.

6. Mfundishe kutofanya Makosa yàani kuwa MAKINI.
Kuwa MAKINI kunahitaji, ujuzi na maarifa, Muda Sahihi, na Akili ilyotulia.
Kufanya vitu Kwa mpangilio Sahihi.

Zingatia, mambo yôte haya ili uyafanye unapaswa uwe umekomaa, úwe na uwezo WA kudhibiti HISIA zako, na uwe na Upendo thabiti.

Elewa, jinsi unavyoshughulikia matatizo madogo madogo ya Mwanamke wako ndîo itaamua hatma nzuri au mbaya ya mahusiano Yenu. Pia Kwa kiasi kikubwa makosa madogo madogo Wanawake wanayoyafanya ndîo hupelekea waô kufanya Makosa Makubwa kama Usaliti, ushirikina na uchawi n.k. kama hutojua namna ya kuyashughulikia.

Elewa, Mwanamke anapendwa kupendwa Hilo ndîo Jambo Namba Moja Kwa Mwanamke yeyote Duniani. Hiyo kupenda Pesa ni kwaajili ya kutaka kupendwa yàani awe Mrembo na azidi kuvutia Upendo Kwa Watu.

Elewa Mwanamke huweza kubadilika na kutokukupenda pale atakapoona hapendwi na kama utamfanya asipendwe(ukishindwa kumhudumia Mkeo hakuna atakayempenda kwani atajichokea na kuwa kama gari bovu).
Mwanamke hata kama haumpendi lakini ukamfanya akapendwa na Watu Wengine anaweza kuvumilia ndàni ya Ndoa.

Note: Usimpende Mwanamke kama Huwezi kumpenda. Utajiumiza.

Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Hongera mtibeli kwa mada nzuri
 
Back
Top Bottom