Mbinu anazotumia Gamond Yanga ameiga kutoka Al ahly

Mbinu anazotumia Gamond Yanga ameiga kutoka Al ahly

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Mwanzo na kati kati mwa msimu Gamond alionekana hana mbinu,
Timu ndogo zikipaki bus alikuwa hana mbinu.

Sasa hivi anambinu nyingi sana,
Nilianza kuziona kuanzia ile gemu ya CR BELOUZDAD na ile ya Mamelod sundowns.

Akikutana na timu ngumu akafanya sub moja au mbili mpira hubadirika ghafla,

Anatumia sana viungo wakabaji, viungo washambuliaji na mabeki kufanikisha ushindi

Hii imeperekea mawinga kusugua benchi mwanzo mwisho mfano skudu, okrah na Shekhan.

Badala yake anamtumia musonda, mzize, yao, kibabage, pacome n.k kama winga na kiungo mshambuliaji

Hii mbinu nimeiona juzi kwenye fainali ya CAF CL kati ya Al ahly na Esperance,

Percy tau alikuwa anacheza namba 9,7 na 6 yaani anacheza kama mshambuliaji feki, winga na kiungo mkabaji huku namba tisa ikichezwa na mtu mwingine,

Ktk hiyo mechi walijazwa mabeki, viungo wakabaji wenye sifa za ushambuliaji, huku winga akiwa mmoja tu na mshambuliaji mmoja

Percy Tau kafanyiwa sub, akaingia Aliou Dieng ambaye ni kiungo mkabaji hii ni baada ya mpira kufika dakika ya 70

Esperance walikuwa hawakatizi yaani walikuwa kama mtibwa sugar, tena afadhari ya mtibwa

Hizi mbinu ndio hizi hizi anazotumia Gamond hivi karibuni

Awape credit Al ahly aache ubinafsi
 
20240527_023952.jpg

Unachekesha sana wewe
 
 
Ndio nini
 
Mwanzo na kati kati mwa msimu Gamond alionekana hana mbinu,
Timu ndogo zikipaki bus alikuwa hana mbinu.

Sasa hivi anambinu nyingi sana,
Nilianza kuziona kuanzia ile gemu ya CR BELOUZDAD na ile ya Mamelod sundowns.

Akikutana na timu ngumu akafanya sub moja au mbili mpira hubadirika ghafla,

Anatumia sana viungo wakabaji, viungo washambuliaji na mabeki kufanikisha ushindi

Hii imeperekea mawinga kusugua benchi mwanzo mwisho mfano skudu, okrah na Shekhan.

Badala yake anamtumia musonda, mzize, yao, kibabage, pacome n.k kama winga na kiungo mshambuliaji

Hii mbinu nimeiona juzi kwenye fainali ya CAF CL kati ya Al ahly na Esperance,

Percy tau alikuwa anacheza namba 9,7 na 6 yaani anacheza kama mshambuliaji feki, winga na kiungo mkabaji huku namba tisa ikichezwa na mtu mwingine,

Ktk hiyo mechi walijazwa mabeki, viungo wakabaji wenye sifa za ushambuliaji, huku winga akiwa mmoja tu na mshambuliaji mmoja

Percy Tau kafanyiwa sub, akaingia Aliou Dieng ambaye ni kiungo mkabaji hii ni baada ya mpira kufika dakika ya 70

Esperance walikuwa hawakatizi yaani walikuwa kama mtibwa sugar, tena afadhari ya mtibwa

Hizi mbinu ndio hizi hizi anazotumia Gamond hivi karibuni

Awape credit Al ahly aache ubinafsi
Asiye taka kujifunza huitwa mjinga na pia kuchelewa kujua siyo ujinga
 
Hana mbinu yoyote tatizo sisi bado sana kwenye kuwasoma wapinzani yaani yeye anategemea sana open space ambapo aziz ki ndio mpiga pasi kwenye maeneo hayo ukiziba open space gamond anashuka daraja naona mgunda pia anatumia open space goli zote za simba pass zimepigwa kwenye open space kaangalie YouTube hatuna video analysts bongo kule ulaya kwenye mechi ya Madrid dhidi ya Manchester city toni kroos alikuwa anaziba open space beki mmoja wa pembeni akitoka kwenda kukaba na Guardiola akajikuta chini ya ulinzi wa don Carlos.
 
Hana mbinu yoyote tatizo sisi bado sana kwenye kuwasoma wapinzani yaani yeye anategemea sana open space ambapo aziz ki ndio mpiga pasi kwenye maeneo hayo ukiziba open space gamond anashuka daraja naona mgunda pia anatumia open space goli zote za simba pass zimepigwa kwenye open space kaangalie YouTube hatuna video analysts bongo kule ulaya kwenye mechi ya Madrid dhidi ya Manchester city toni kroos alikuwa anaziba open space beki mmoja wa pembeni akitoka kwenda kukaba na Guardiola akajikuta chini ya ulinzi wa don Carlos.
Mkuu, hiyo open space siyo mbinu?
 
Hana mbinu yoyote tatizo sisi bado sana kwenye kuwasoma wapinzani yaani yeye anategemea sana open space ambapo aziz ki ndio mpiga pasi kwenye maeneo hayo ukiziba open space gamond anashuka daraja naona mgunda pia anatumia open space goli zote za simba pass zimepigwa kwenye open space kaangalie YouTube hatuna video analysts bongo kule ulaya kwenye mechi ya Madrid dhidi ya Manchester city toni kroos alikuwa anaziba open space beki mmoja wa pembeni akitoka kwenda kukaba na Guardiola akajikuta chini ya ulinzi wa don Carlos.
Wewe hujui mpira na huna hata idea mpira unachezwaje
 
Umeonaa kwenye Fainali,afu unatuambia Gamond alitumia mfumo zidi ya Mamelood......asa mechi ipi ilitangulia kati ya hizo.

Sema Al Ahaly amejifunza mbinu kwa Gamond,au basi kwa Yangaa.Jamani ukute huyu anajenga hoja kimvurugo hivi nae ana D mbili,elimu yetu hii mh.
 
Soma vizuri utanielewa mkuu sijasema hana mbinu ila aina ya magoli yake yanga yanafanana goli zote zinapigwa kutokea kwenye half spaces.
OK mkuu nimekupata.
 
Kweli wewe ni bwabwa... Umesema umeiona juzi kwa Al Ahly halafu hapohapo unasema Gamond amekuwa akitumia hizo mbinu alipokutana na teams nyingine...
Umetumia makalio kuandika au?
Tatizo lako umevamia jukwaa baki huko huko kwenye jukwaa la kukata viuno na kuwaza makalio ya mobeto

Si unaona akili yako ilivyojaa ujinga unawaza makalio tu hujui kuwa Yanga walienda kupigwa msasa Al ahly
 
Kweli wewe ni bwabwa... Umesema umeiona juzi kwa Al Ahly halafu hapohapo unasema Gamond amekuwa akitumia hizo mbinu alipokutana na teams nyingine...
Umetumia makalio kuandika au?
Hii dini yako ndio inakufundisho hivyo shehe?
 
Umeonaa kwenye Fainali,afu unatuambia Gamond alitumia mfumo zidi ya Mamelood......asa mechi ipi ilitangulia kati ya hizo.

Sema Al Ahaly amejifunza mbinu kwa Gamond,au basi kwa Yangaa.Jamani ukute huyu anajenga hoja kimvurugo hivi nae ana D mbili,elimu yetu hii mh.
Kabla ya droo ya robo fainali kupangwa walienda al ahly kupigwa tuition nmeweka na link kule juu hujaiona?
 
Hana mbinu yoyote tatizo sisi bado sana kwenye kuwasoma wapinzani yaani yeye anategemea sana open space ambapo aziz ki ndio mpiga pasi kwenye maeneo hayo ukiziba open space gamond anashuka daraja naona mgunda pia anatumia open space goli zote za simba pass zimepigwa kwenye open space kaangalie YouTube hatuna video analysts bongo kule ulaya kwenye mechi ya Madrid dhidi ya Manchester city toni kroos alikuwa anaziba open space beki mmoja wa pembeni akitoka kwenda kukaba na Guardiola akajikuta chini ya ulinzi wa don Carlos.
Sawa kocha mkuu
 
Sawa kocha mkuu
Mi sio kocha ila watanzania wengi mambumbu leo mnamuita professor siku akianza kufanya vibaya mtakuja kusema hakuwa na mbinu anabebwa na wachezaji watanzania walimkataa aziz ki wakamkataa ayoub lakred na kibu denis pamoja na guede siku wakikusifia usishangae maana tunapenda matokea ya haraka sisi ni manyani (lucy aymel) wengine mambumbu (rage) tunasafari ndefu nadhani wazungu wakiona jinsi tunavyocheza wanatucheka sana.
 
Mwanzo na kati kati mwa msimu Gamond alionekana hana mbinu,
Timu ndogo zikipaki bus alikuwa hana mbinu.

Sasa hivi anambinu nyingi sana,
Nilianza kuziona kuanzia ile gemu ya CR BELOUZDAD na ile ya Mamelod sundowns.

Akikutana na timu ngumu akafanya sub moja au mbili mpira hubadirika ghafla,

Anatumia sana viungo wakabaji, viungo washambuliaji na mabeki kufanikisha ushindi

Hii imeperekea mawinga kusugua benchi mwanzo mwisho mfano skudu, okrah na Shekhan.

Badala yake anamtumia musonda, mzize, yao, kibabage, pacome n.k kama winga na kiungo mshambuliaji

Hii mbinu nimeiona juzi kwenye fainali ya CAF CL kati ya Al ahly na Esperance,

Percy tau alikuwa anacheza namba 9,7 na 6 yaani anacheza kama mshambuliaji feki, winga na kiungo mkabaji huku namba tisa ikichezwa na mtu mwingine,

Ktk hiyo mechi walijazwa mabeki, viungo wakabaji wenye sifa za ushambuliaji, huku winga akiwa mmoja tu na mshambuliaji mmoja

Percy Tau kafanyiwa sub, akaingia Aliou Dieng ambaye ni kiungo mkabaji hii ni baada ya mpira kufika dakika ya 70

Esperance walikuwa hawakatizi yaani walikuwa kama mtibwa sugar, tena afadhari ya mtibwa

Hizi mbinu ndio hizi hizi anazotumia Gamond hivi karibuni

Awape credit Al ahly aache ubinafsi
Chai
 
Back
Top Bottom