Mbinu anazotumia Gamond Yanga ameiga kutoka Al ahly

Mbinu anazotumia Gamond Yanga ameiga kutoka Al ahly

Mwanzo na kati kati mwa msimu Gamond alionekana hana mbinu,
Timu ndogo zikipaki bus alikuwa hana mbinu.

Sasa hivi anambinu nyingi sana,
Nilianza kuziona kuanzia ile gemu ya CR BELOUZDAD na ile ya Mamelod sundowns.

Akikutana na timu ngumu akafanya sub moja au mbili mpira hubadirika ghafla,

Anatumia sana viungo wakabaji, viungo washambuliaji na mabeki kufanikisha ushindi

Hii imeperekea mawinga kusugua benchi mwanzo mwisho mfano skudu, okrah na Shekhan.

Badala yake anamtumia musonda, mzize, yao, kibabage, pacome n.k kama winga na kiungo mshambuliaji

Hii mbinu nimeiona juzi kwenye fainali ya CAF CL kati ya Al ahly na Esperance,

Percy tau alikuwa anacheza namba 9,7 na 6 yaani anacheza kama mshambuliaji feki, winga na kiungo mkabaji huku namba tisa ikichezwa na mtu mwingine,

Ktk hiyo mechi walijazwa mabeki, viungo wakabaji wenye sifa za ushambuliaji, huku winga akiwa mmoja tu na mshambuliaji mmoja

Percy Tau kafanyiwa sub, akaingia Aliou Dieng ambaye ni kiungo mkabaji hii ni baada ya mpira kufika dakika ya 70

Esperance walikuwa hawakatizi yaani walikuwa kama mtibwa sugar, tena afadhari ya mtibwa

Hizi mbinu ndio hizi hizi anazotumia Gamond hivi karibuni

Awape credit Al ahly aache ubinafsi
Tunawataka msimu ujao wa champs. league
 
Mbona nyie Kolo mlishindwa kuziba hizo open space ili msife zile Tano na mbili za awamu ya pili?
Mkuu mechi zote za simba bahasha imetembea kwa baadhi ya wachezaji kuna mmoja kafungua duka kubwa la nguo pale mbagala.
 
Mkuu mechi zote za simba bahasha imetembea kwa baadhi ya wachezaji kuna mmoja kafungua duka kubwa la nguo pale mbagala.
Kwahiyo na ya afande mbangula ilikua bahasha sio hivi mjomba unaakili kweli simba hii ipewe bahasha Kwa wachezaji Gani waliokua nao 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mwanzo na kati kati mwa msimu Gamond alionekana hana mbinu,
Timu ndogo zikipaki bus alikuwa hana mbinu.

Sasa hivi anambinu nyingi sana,
Nilianza kuziona kuanzia ile gemu ya CR BELOUZDAD na ile ya Mamelod sundowns.

Akikutana na timu ngumu akafanya sub moja au mbili mpira hubadirika ghafla,

Anatumia sana viungo wakabaji, viungo washambuliaji na mabeki kufanikisha ushindi

Hii imeperekea mawinga kusugua benchi mwanzo mwisho mfano skudu, okrah na Shekhan.

Badala yake anamtumia musonda, mzize, yao, kibabage, pacome n.k kama winga na kiungo mshambuliaji

Hii mbinu nimeiona juzi kwenye fainali ya CAF CL kati ya Al ahly na Esperance,

Percy tau alikuwa anacheza namba 9,7 na 6 yaani anacheza kama mshambuliaji feki, winga na kiungo mkabaji huku namba tisa ikichezwa na mtu mwingine,

Ktk hiyo mechi walijazwa mabeki, viungo wakabaji wenye sifa za ushambuliaji, huku winga akiwa mmoja tu na mshambuliaji mmoja

Percy Tau kafanyiwa sub, akaingia Aliou Dieng ambaye ni kiungo mkabaji hii ni baada ya mpira kufika dakika ya 70

Esperance walikuwa hawakatizi yaani walikuwa kama mtibwa sugar, tena afadhari ya mtibwa

Hizi mbinu ndio hizi hizi anazotumia Gamond hivi karibuni

Awape credit Al ahly aache ubinafsi
Sasa kati ya gamondi alieanza kutumia izo mbinu kwenye mechi dhidi ya beoulzdad na al ahly alietumia izo mbinu siku ya fainali ni nani kamgeza mwenzake? Leo hii ukiimba wimbo wako halafu siku zijazo mimi nikaimba kama ulivyoimba wewe ni nani atakua amemgeza mwenzake hapo?
 
Mwanzo na kati kati mwa msimu Gamond alionekana hana mbinu,
Timu ndogo zikipaki bus alikuwa hana mbinu.

Sasa hivi anambinu nyingi sana,
Nilianza kuziona kuanzia ile gemu ya CR BELOUZDAD na ile ya Mamelod sundowns.

Akikutana na timu ngumu akafanya sub moja au mbili mpira hubadirika ghafla,

Anatumia sana viungo wakabaji, viungo washambuliaji na mabeki kufanikisha ushindi

Hii imeperekea mawinga kusugua benchi mwanzo mwisho mfano skudu, okrah na Shekhan.

Badala yake anamtumia musonda, mzize, yao, kibabage, pacome n.k kama winga na kiungo mshambuliaji

Hii mbinu nimeiona juzi kwenye fainali ya CAF CL kati ya Al ahly na Esperance,

Percy tau alikuwa anacheza namba 9,7 na 6 yaani anacheza kama mshambuliaji feki, winga na kiungo mkabaji huku namba tisa ikichezwa na mtu mwingine,

Ktk hiyo mechi walijazwa mabeki, viungo wakabaji wenye sifa za ushambuliaji, huku winga akiwa mmoja tu na mshambuliaji mmoja

Percy Tau kafanyiwa sub, akaingia Aliou Dieng ambaye ni kiungo mkabaji hii ni baada ya mpira kufika dakika ya 70

Esperance walikuwa hawakatizi yaani walikuwa kama mtibwa sugar, tena afadhari ya mtibwa

Hizi mbinu ndio hizi hizi anazotumia Gamond hivi karibuni

Awape credit Al ahly aache ubinafsi
Swali fikirishi je unaweza kutwambia hizo mbinu zingine alizitoa wapo hadi wengine wanapigwa magoli hadi..............
 
Tatizo lako umevamia jukwaa baki huko huko kwenye jukwaa la kukata viuno na kuwaza makalio ya mobeto

Si unaona akili yako ilivyojaa ujinga unawaza makalio tu hujui kuwa Yanga walienda kupigwa msasa Al ahly
Lakini sio msasa wa kimbinu. Hapa unatudanganya mkuu.
 
Nenda kajifunze na usirudie tena. Kama vipi uje nikufundishe mpira kwa theory tu
Inaonekana hata maana ya halafu space hujui
Unatakiwa unilipe ili nikufundishe nini maana ya half spaces
Nyuma kule kuna wide areas kuna central channel halafu kuna half spaces sasa kabla sijaanza kukupa darsa na mfumo anaotumia gamond nenda kasome maana ya half spaces kwanza halafu nije nikufundishe interior corridor ambazo anatumia Guardiola na gamond kuwaadhibu watu ndio maana nimesema hakuna videos analyst Tanzania ww utaniumiza kichwa tu maana wengine wanatafuta sehemu ya kutolea stress kama ww.
 
Inaonekana hata maana ya halafu space hujui
Unatakiwa unilipe ili nikufundishe nini maana ya half spaces
Nyuma kule kuna wide areas kuna central channel halafu kuna half spaces sasa kabla sijaanza kukupa darsa na mfumo anaotumia gamond nenda kasome maana ya half spaces kwanza halafu nije nikufundishe interior corridor ambazo anatumia Guardiola na gamond kuwaadhibu watu ndio maana nimesema hakuna videos analyst Tanzania ww utaniumiza kichwa tu maana wengine wanatafuta sehemu ya kutolea stress kama ww.
We dogo nilishakwambia majina yote ya watu, miji n.k huwa yanaanza na herufi kubwa lakini bado hujifunzi. Kuandika shida, hiyo football utajua chochote kweli?
 
Hana mbinu yoyote tatizo sisi bado sana kwenye kuwasoma wapinzani yaani yeye anategemea sana open space ambapo aziz ki ndio mpiga pasi kwenye maeneo hayo ukiziba open space gamond anashuka daraja naona mgunda pia anatumia open space goli zote za simba pass zimepigwa kwenye open space kaangalie YouTube hatuna video analysts bongo kule ulaya kwenye mechi ya Madrid dhidi ya Manchester city toni kroos alikuwa anaziba open space beki mmoja wa pembeni akitoka kwenda kukaba na Guardiola akajikuta chini ya ulinzi wa don Carlos.
Kwahiyo na Madrid alitumia open space hizo hizo kuwafunga Man City. Naye Don Carlos hana mbinu
 
Kwahiyo na Madrid alitumia open space hizo hizo kuwafunga Man City. Naye Don Carlos hana mbinu
Hujaelewa soma tena utaelwa half spaces ni kwa team zinazocheza attacking football kama Barcelona arsenal na Manchester city Madrid yeye mfumo wake wa ushambuliaji ni counter attack nilichosema ni kwamba Madrid walivyocheza n Manchester city toni kroos ilikuwa kazi yake kuongeza idadi ya walinzi iwapo mlinzi mmoja wa pembeni atatoka kwenye nafasi yake kwenda kukaba videos zipo YouTube kaangalie hata highlights tu utanielewa maana hapa tutachoshana bure.
 
We dogo nilishakwambia majina yote ya watu, miji n.k huwa yanaanza na herufi kubwa lakini bado hujifunzi. Kuandika shida, hiyo football utajua chochote kweli?
Mimi nimesoma science mkuu sijui kanuni za uandishi sina mda huo ngoja waje HKL na HGL wenzako mshindane kuandika essay ila ujumbe umefika hilo ndio muhimu shida huna unachokijua unajua kucheza mpira kwa kiwango kikubwa ndio kuwa kocha bora au kuujua mpira mwenzako Rooney na Henry walipewa team wakazishusha daraja kwa hyo wale wanajua mpira au hawajui yaani wewe huna facts unabwabwaja tu nenda kwanza kajifunze areas of the pitch na corridor zake halafu urudi hapa.
 
Mimi nimesoma science mkuu sijui kanuni za uandishi sina mda huo ngoja waje HKL na HGL wenzako mshindane kuandika essay ila ujumbe umefika hilo ndio muhimu shida huna unachokijua unajua kucheza mpira kwa kiwango kikubwa ndio kuwa kocha bora au kuujua mpira mwenzako Rooney na Henry walipewa team wakazishusha daraja kwa hyo wale wanajua mpira au hawajui yaani wewe huna facts unabwabwaja tu nenda kwanza kajifunze areas of the pitch na corridor zake halafu urudi hapa.
Mdogo wangu mimi ninauishi mpira. Siufatilii Youtube nimecheza mpaka level ya mkoa miaka hiyo. Mpira sio tu corridor au areas ulizokariri na kuringisha hapa ukidhani ni kitu kikubwa. Comment yako ya kwanza ilitosha kuonesha umevamia football.
 
Back
Top Bottom