Mbinu ipi inafaa kuwafunga vilabu vya kiarabu vinavyopoteza mda?

Mbinu ipi inafaa kuwafunga vilabu vya kiarabu vinavyopoteza mda?

Dabil

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
6,823
Reaction score
15,293
Vilabu vya kiarabu hasa North Africa vimekuwa vya hovyo sana,naweza kusema wenye mpira mzuri ni Al Ahly tu, kupaki basi sio tatizo ni mbinu ya kujilinda hasa unapozidiwa,lakini kupoteza mda kuanzia kipindi cha kwanza ni ujinga, waarabu wanapenda kujiangusha angusha hata kama hawajaguswa,wanapozidiwa lazima waanze vurugu mchezo uharibike.

Ile timu ya Sfaxien kati ya dk 90 wamepoteza karibia dk 20 kujiangusha na janja janja tu. Unaona kabisa timu zote hamchezi mpira maana huyu akianguka akasimama wengine wanajiangusha,mara mpira wa kutenga unapigwa mbali ili mradi mda uishe.

Ni njia ipi inafaa kutumia unapokutana na vilabu kama hivi ili ushinde?
 
Warabu ni jamii ya ovyo
Hawana utu, ustaarabu
Wao kukuuwa ni kawaida
Yanga tukicheza final ya kihuni Algeria ila ushabiki uliwazidi hamkusema
 
Dawa ni kuwapiga magoli mengi dakika za mwanzo hutawaona tena wakijiangusha.

Kwenye hili nimekua nikilia sana na timu yangu ya Simba hasa kwa mechi za hivi karibuni ikiwemo na hiyo mechi ya juzi.
Timu imekua ikicheza kwa kurelax na mechi ikielekea mwishoni ndio wachezaji wanashtuka kutafuta goli.
 
Vilabu vya kiarabu hasa North Africa vimekuwa vya hovyo sana,naweza kusema wenye mpira mzuri ni Al Ahly tu, kupaki basi sio tatizo ni mbinu ya kujilinda hasa unapozidiwa,lakini kupoteza mda kuanzia kipindi cha kwanza ni ujinga, waarabu wanapenda kujiangusha angusha hata kama hawajaguswa,wanapozidiwa lazima waanze vurugu mchezo uharibike.

Ile timu ya Sfaxien kati ya dk 90 wamepoteza karibia dk 20 kujiangusha na janja janja tu. Unaona kabisa timu zote hamchezi mpira maana huyu akianguka akasimama wengine wanajiangusha,mara mpira wa kutenga unapigwa mbali ili mradi mda uishe.

Ni njia ipi inafaa kutumia unapokutana na vilabu kama hivi ili ushinde?
Wewe cheza boli hawata jiangusha.
Siri ya boli ni moja tuu...wewe miliki boli basi.
 
Vilabu vya kiarabu hasa North Africa vimekuwa vya hovyo sana,naweza kusema wenye mpira mzuri ni Al Ahly tu, kupaki basi sio tatizo ni mbinu ya kujilinda hasa unapozidiwa,lakini kupoteza mda kuanzia kipindi cha kwanza ni ujinga, waarabu wanapenda kujiangusha angusha hata kama hawajaguswa,wanapozidiwa lazima waanze vurugu mchezo uharibike.

Ile timu ya Sfaxien kati ya dk 90 wamepoteza karibia dk 20 kujiangusha na janja janja tu. Unaona kabisa timu zote hamchezi mpira maana huyu akianguka akasimama wengine wanajiangusha,mara mpira wa kutenga unapigwa mbali ili mradi mda uishe.

Ni njia ipi inafaa kutumia unapokutana na vilabu kama hivi ili ushinde?
Mbinu ni moja tu. Wewe na timu yako mnapokutana na Waarabu wafungeni goli 10 kipindi cha kwanza halafu uone kama watapoteza muda
 
Waarabu wakianza kukufunga wao ndiyo wanaanza hiyo michezo yao,ila ukiwabamiza goli kuanzia mbili au tatu kipindi cha kwanza huwa hawana huo mda wa kupoteza,kuna mechi nyingine kama wamefungwa alafu wakiona mchezaji wa timu pinzani anapoteza mda huwa wanamnyanyua kwa lazima aendelee na mchezo au wanatamani wamrushe nje waendelee kucheza
 
Unauliza swali wakati jibu unalo? Tumia mbinu inayoitwa "Kibu Mkandaji"
 
Dawa ni kuwapiga magoli mengi dakika za mwanzo hutawaona tena wakijiangusha.

Kwenye hili nimekua nikilia sana na timu yangu ya Simba hasa kwa mechi za hivi karibuni ikiwemo na hiyo mechi ya juzi.
Timu imekua ikicheza kwa kurelax na mechi ikielekea mwishoni ndio wachezaji wanashtuka kutafuta goli.
Good thinking
 
Vilabu vya kiarabu hasa North Africa vimekuwa vya hovyo sana,naweza kusema wenye mpira mzuri ni Al Ahly tu, kupaki basi sio tatizo ni mbinu ya kujilinda hasa unapozidiwa,lakini kupoteza mda kuanzia kipindi cha kwanza ni ujinga, waarabu wanapenda kujiangusha angusha hata kama hawajaguswa,wanapozidiwa lazima waanze vurugu mchezo uharibike.

Ile timu ya Sfaxien kati ya dk 90 wamepoteza karibia dk 20 kujiangusha na janja janja tu. Unaona kabisa timu zote hamchezi mpira maana huyu akianguka akasimama wengine wanajiangusha,mara mpira wa kutenga unapigwa mbali ili mradi mda uishe.

Ni njia ipi inafaa kutumia unapokutana na vilabu kama hivi ili ushinde?
Njia rahis ni ile waliyotumia Yanga dhid ya Belouizdad
 
Vilabu vya kiarabu hasa North Africa vimekuwa vya hovyo sana,naweza kusema wenye mpira mzuri ni Al Ahly tu, kupaki basi sio tatizo ni mbinu ya kujilinda hasa unapozidiwa,lakini kupoteza mda kuanzia kipindi cha kwanza ni ujinga, waarabu wanapenda kujiangusha angusha hata kama hawajaguswa,wanapozidiwa lazima waanze vurugu mchezo uharibike.

Ile timu ya Sfaxien kati ya dk 90 wamepoteza karibia dk 20 kujiangusha na janja janja tu. Unaona kabisa timu zote hamchezi mpira maana huyu akianguka akasimama wengine wanajiangusha,mara mpira wa kutenga unapigwa mbali ili mradi mda uishe.

Ni njia ipi inafaa kutumia unapokutana na vilabu kama hivi ili ushinde?
Tuwaulize wazoefu Simba
 
Back
Top Bottom