Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,262
Wakati mwingine tumekuwa tukijiuliza kwanini bank inapata faida kubwa kuliko sisi?
Je ni mbinu gani bank wanazotumia kupata faida kubwa?
Uhalisia ni kwamba hakuna mbinu kubwa, mafanikio yao yanatokana na wao kuthamini shilingi pamoja na kuwa makini katika mahesabu.
Tizama tofauti ya mahesabu kati ya bank na mtu binafsi:
Mahesabu ya Bank: 1,110,000.56
Mahesabu ya Mtu binafsi: 1,110,000
Ina maana kwamba bank wakikupa mkopo wa 1,110,000.56 lazima fedha yote irejeshwe pamoja na cent 56 huku sisi tukipuuza cent 56 bila kufahamu cent hizo zina mchango mkubwa pale zinapokusanywa.
Hii ina maana sawa na mtu anayekwenda dukani kununua bidhaa na kumwachia mwenye duka chenji ndogo akidhani hazina faida kwake
Je ni mbinu gani bank wanazotumia kupata faida kubwa?
Uhalisia ni kwamba hakuna mbinu kubwa, mafanikio yao yanatokana na wao kuthamini shilingi pamoja na kuwa makini katika mahesabu.
Tizama tofauti ya mahesabu kati ya bank na mtu binafsi:
Mahesabu ya Bank: 1,110,000.56
Mahesabu ya Mtu binafsi: 1,110,000
Ina maana kwamba bank wakikupa mkopo wa 1,110,000.56 lazima fedha yote irejeshwe pamoja na cent 56 huku sisi tukipuuza cent 56 bila kufahamu cent hizo zina mchango mkubwa pale zinapokusanywa.
Hii ina maana sawa na mtu anayekwenda dukani kununua bidhaa na kumwachia mwenye duka chenji ndogo akidhani hazina faida kwake