Mbinu nyepesi ya kupunguza gharama za bando ni kufunga unlimited internet nyumbani. Kujinunulia mmoja mmoja ni hasara

Kwa router za MiFi unafanyaje
 
Hii inchi ya hovyo sana wenzetu kenya wanatumia unlimited internet kwa mwezi sh 2000 tu..


Na imepanda juzi baada ya Ruto kuingia madaraka.

Watu wengi wamefunga WiFi majumbani kwao.
Kama waziri wa internet mwenyewe hajui tofauti ya internet na mtandao unategemea nini?
 
Nijuli
we unatumia airtel gani sie wengne tulilipa 20000 tunapata gb 22 sme
she tafadhali manake ilikuwa hivyo mwaka uliopita 20000 unapata 22GB lakini ikabadilika hadi kufikia 9.5GB. Unatumia code gani kujiunga?
 
Me nimemuungia wife tigo postpaid ni rahis kdg 35GB kwa tsh 30,000 uzuri yule dada alieniungia hana hiyana tunamlipa kila tarehe 20 so inakua unatumia mwezi mmoja na siku 20 ndo unalipa na kila ikifila tarehe 1 automatically unapokea 35GB zako.
 
Hapana ipo vzr sana sisi tumechanga eneo la kazi 70k kwa mwezi ina speed

Nimeunga fiber unlimited kwa mwezi ni 59000 na kasi yake ni 20mbps sijajutiaa kwa kwelii.nimeunga majirani zangu kumi...so inajiendesha yenyewe na faida juu..nishasahau vingamuzi na maumivu ya bundle.company inaitwa netsolutionView attachment 2826925
Shee hii unanunua hicho kifaa tu unaanza kulipia au kuna vitu wanakuja kukuungia?
 
Na vipi ukiwa mbali na nyumbani ? Ukitoa masaa ya kusinzia unatumia masaa mangapi katika masaa 24 ukiwa nyumbani ? Sisemi hii ni mbaya lakini sio alternative ya matumizi mengine..., unless ingekuwa mobile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…