Mbinu nyepesi ya kupunguza gharama za bando ni kufunga unlimited internet nyumbani. Kujinunulia mmoja mmoja ni hasara

Afu mkirudi hom wote mtakuwa bize na simu (si mnakiu?)
Too bad! Familia zinazidi vunjika!

Imagine kila mtu nyumbani yuko busy na simu. Mnazungumza muda gani? Mnashare furaha na changamoto zenu muda gani? Ile family bond mnaitengeneza vipi?

Man is busy innovating ways that destroys humanity!
 
Na vipi ukiwa mbali na nyumbani ? Ukitoa masaa ya kusinzia unatumia masaa mangapi katika masaa 24 ukiwa nyumbani ? Sisemi hii ni mbaya lakini sio alternative ya matumizi mengine..., unless ingekuwa mobile
Mkuu tumia router tu kuna zile portable unatembea nayo
 
Too bad! Familia zinazidi vunjika!

Imagine kila mtu nyumbani yuko busy na simu. Mnazungumza muda gani? Mnashare furaha na changamoto zenu muda gani? Ile family bond mnaitengeneza vipi?

Man is busy innovating ways that destroys humanity!

Ni kweli kwa upande mwingine kila mtu akirudu anataka kufidia muda ambao hakuwa online mchana. Mwisho wa siku kila mmoja anakuwa busy na simu tu hakuna maongezi
 
Hujawaza kama watu wanaweza ingiza pesa huko mtandaoni!
Sema mtu mweusi yeye anajua internet ni ngono
Alafu kimuhemuhe cha kukomesha hiyo unlimted huwa hakizidi hata mwezi mmoja, baada ya hapo inakuwa kawaida tu! [emoji3]
 
Ni kweli kwa upande mwingine kila mtu akirudu anataka kufidia muda ambao hakuwa online mchana. Mwisho wa siku kila mmoja anakuwa busy na simu tu hakuna maongezi
Mawazo negative kabisa.

Hivi kwako una control vipi matumizi ya tv?
Hivi muda wote family ipo kwenye tv?

Jambo lolote likiwa geni litawangaisha sn watu,,

Wakishalizoea wataona kawaida na maisha yataendelea kama zamani.
 
Ving'amuzi kama DSTV tunawezaje kuaccess kwa kutumia internet? Badala ya kulipia kifurushi?
 
Mimi nakaa nyumbani masaa yasiyozidi 9,kwangu itakuwa ni hasara zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…