Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Waarabu wanaenda kusihi huko kwanini?Wataishi vipi binaadam na wanyama halafu yafanywe maendeleo ya binadam mbugani?
Uwongo. Hatahivyo elimu ya Wamaasai ni bora kuliko elimu nyingine yeyote ile.Hawataki shule!
Miaka yote hiyo waliyoishi huko mbugani walikuwa na hospitali? Hawa Wamaasai ni waganga wazuri tu. Wanaijua miti shamba na tiba inayotumiwa mahospitalini kuliko hao Waarabu na WazunguHawataki hospitali?
Kwabi huko nyuma waliishi vipi?Hawataki kilimo?
Nani anasema hawaongezeki? As a matter of fact, kila wakati linapotokea suala la kuhamishwa watu kwa nguvu kutoka maeneo yao ya Asili-their populations dwindleHawataki kuongezeka?
Maduka ndio nini?Hawataki maduka?
How ironic. Wakati waarabu na wazungu wanatumia maeneo waliofukuzwa Wamasai kufanya michezo ya kushindana nani anaua mnyama mkubwa zaidi. Viwanja vya michezo🙌🏾Hawataki viwanja vya michezo?
Na nani?Wamejazwa ujinga hao?
Basi sitisheni utalii. Kwani DP World inaenda kuwaletea Dola na kuziba pengo hilo. Itoshe mahoteli yote yabomolewe.Ngorongoro ni urithi wa dunia, inatakiwa ibaki na wanyama tu.
Huu ninupotoshaji wa hali ya juuWamasai waingie, wsfanye matambikoyao na kutoka.
Wasituletee ujinga.
Wako kabla ya uhuru huko mbugani acha ujinga wewe!Wataishi vipi binaadam na wanyama halafu yafanywe maendeleo ya binadam mbugani?
Hawataki shule!
Hawataki hospitali?
Hawataki kilimo?
Hawataki kuongezeka?
Hawataki maduka?
Hawataki viwanja vya michezo?
Wamejazwa ujinga hao?
Ngorongoro ni urithi wa dunia, inatakiwa ibaki na wanyama tu.
Wamasai waingie, wsfanye matambikoyao na kutoka.
Wasituletee ujinga.
Uliwahi kuwasikia wakililia huduma hizo?? Kwa nini mntataka kuwapelekea matatizo yasiyo wahusu?Wataishi vipi binaadam na wanyama halafu yafanywe maendeleo ya binadam mbugani?
Hawataki shule!
Hawataki hospitali?
Hawataki kilimo?
Hawataki kuongezeka?
Hawataki maduka?
Hawataki viwanja vya michezo?
Wamejazwa ujinga hao?
Ngorongoro ni urithi wa dunia, inatakiwa ibaki na wanyama tu.
Wamasai waingie, wsfanye matambikoyao na kutoka.
Wasituletee ujinga.
Kwani dunia yenyewe inasemaje? Uwe mkweli lakini!Wataishi vipi binaadam na wanyama halafu yafanywe maendeleo ya binadam mbugani?
Hawataki shule!
Hawataki hospitali?
Hawataki kilimo?
Hawataki kuongezeka?
Hawataki maduka?
Hawataki viwanja vya michezo?
Wamejazwa ujinga hao?
Ngorongoro ni urithi wa dunia, inatakiwa ibaki na wanyama tu.
Wamasai waingie, wsfanye matambikoyao na kutoka.
Wasituletee ujinga.
Chura kiziwiHiyo Mbinu ya Wamasai wa Ngorongoro waliyotumia Leo itaisumbua mno Serikali.
SERIKALI italazimika kuangalia upya sera yake ya kuwahamisha hao Wamasai vinginevyo utalii kwa maeneo ya Serengeti na Ngorongoro utaathirika sana.
Na watalii watasaidia sana kusambaza taarifa za kilio cha Wamasai hao duniani.
Pia soma:Kuelekea 2025 - Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe
Atasemq wamasai wamebubujikwa kwa machizi ya furaha kupelekwa uhamishoni HandeniLucas Mwashambwa unasemaje
Communities and wildlife...sustainability....niko pamoja na WamasaiWazungu wenyewe wakija kutalii wanafurahia pia kuwaangalia wamasai kama vivutio, na hujifunza mila zao kabisa, sasa ukiwaondoa unahisi watalii wanakuja kuangalia wanyama tu
Huyo jombaa ni zwazwa analeta siasa kwenye maisha ya watu.Atasemq wamasai wamebubujikwa kwa machizi ya furaha kupelekwa uhamishoni Handeni
Naunga mkono hoja ...Ngorongoro ilikuwa inafutika...walianza kujenga nyumba za kisasa katikati ya mbuga...mpaka guest house zilijengwa katikati ya mbuga ..Wataishi vipi binaadam na wanyama halafu yafanywe maendeleo ya binadam mbugani?
Hawataki shule!
Hawataki hospitali?
Hawataki kilimo?
Hawataki kuongezeka?
Hawataki maduka?
Hawataki viwanja vya michezo?
Wamejazwa ujinga hao?
Ngorongoro ni urithi wa dunia, inatakiwa ibaki na wanyama tu.
Wamasai waingie, wsfanye matambikoyao na kutoka.
Wasituletee ujinga.
Tapeli jinga sana lileHuyo jombaa ni zwazwa analeta siasa kwenye maisha ya watu.
Aisee Hapa hata Mimi Nipo na Serikali .....Wamasai walianza kuharibu Ngorongoro. yote ....nyumba za bati walianza kujenga katikati ya mbuga.........mbaya zaidi walianza kuuza ardhi ya Ngorongoro kwa wakenya wanaojifanya wamasaiNaunga mkono waondolewe wapelekwe sehemu bora zaidi.
Mwngine ni siasa tu
Wanyama na waarabu.Ngorongoro ni urithi wa dunia, inatakiwa ibaki na wanyama tu.
Huyo ukiwagusa waarabu kwa namna yoyote ni sawa na umemgusa mungu wake.FaizaFoxy kiboga cha waarabu anaweza kuasema nchi sio ya wamasai
Sasa Waarabu wanaenda kusihi huko kwanini?
Uwongo. Hatahivyo elimu ya Wamaasai ni bora kuliko elimu nyingine yeyote ile.
Miaka yote hiyo waliyoishi huko mbugani walikuwa na hospitali? Hawa Wamaasai ni waganga wazuri tu. Wanaijua miti shamba na tiba inayotumiwa mahospitalini kuliko hao Waarabu na Wazungu
Kwabi huko nyuma waliishi vipi?
Nani anasema hawaongezeki? As a matter of fact, kila wakati linapotokea suala la kuhamishwa watu kwa nguvu kutoka maeneo yao ya Asili-their populations dwindle
Maduka ndio nini?
How ironic. Wakati waarabu na wazungu wanatumia maeneo waliofukuzwa Wamasai kufanya michezo ya kushindana nani anaua mnyama mkubwa zaidi. Viwanja vya michezo🙌🏾
Na nani?
Basi sitisheni utalii. Kwani DP World inaenda kuwaletea Dola na kuziba pengo hilo. Itoshe mahoteli yote yabomolewe.
Huu ninupotoshaji wa hali ya juu