Mbinu wanazotumia wapinzani kukwepa mtego wa kukutwa na vidhibiti wanapopekuliwa na polisi majumbani mwao

Mbinu wanazotumia wapinzani kukwepa mtego wa kukutwa na vidhibiti wanapopekuliwa na polisi majumbani mwao

Mwanasiasa wa mwisho kukutwana vidhibitinyumbani ni Seif Sharif Hamad mwanzoni mwa miaka ya 80 huko.
Mwanasiasa aliyefikia ngazi ya njuu nchini huwa na makazi mikoa mitatu,Dodoma,Dar es salaam na kijijini kwao kwa asili.

Kwa hapa Dar es Salaam wanasiasa wengi wana makazi zaidi ya moja,makazi rasmi na makazi yasiyo rasmi

Haya makazi yasiyo rasmi huweza kuwa ni nyumba ndogo yaani mchepuko,au simply safe house,ambapo hata dereva huenda asipajue,mkuu akiwa na kikao cha siri au mchepuko wake anawasha gari usiku na kuingia ndani,huko kuna mlinzi na mtu wa usafi.

Mambo yote ya ovyo hufanyika huko,iwe mikakati ovu ya kisiasa,michepuko,document za hatari hukaa huko.
Si mke wala watoto wa huyu mwamba hupajua hapa.
.
Polisi kupekua makazi rasmi ni kupotezeana muda mtaambulia kadi za mwaliko wa harusi na barua za kukumbushwa kulipa madeni ya benki,

Hakuna cha maana mtakachoambulia,mnafanya kazi kizamani sana
Polisi ana bunduki, bomu, kisu, rungu na mafunzo. Anaenda akiwa full amejikoki kuonana na raia anayetoa maoni yake kwa mujibu wa ibara ya 18 ya Katiba ili amkamate.


Ukiwapigia polisi kuwa kuna wahalifu wanavunja mahala wanakujibu hawana gari ama hawana mafuta... lakini kwa marehemu Kibao et all wanawafukuzia na magari manne manne na mitutu kibao.....


Nchi imeoza.
Raia wamesomewa albadir na serikali yao
 
Polisi ana bunduki, bomu, kisu, rungu na mafunzo. Anaenda akiwa full amejikoki kuonana na raia anayetoa maoni yake kwa mujibu wa ibara ya 18 ya Katiba ili amkamate.


Ukiwapigia polisi kuwa kuna wahalifu wanavunja mahala wanakujibu hawana gari ama hawana mafuta... lakini kwa marehemu Kibao et all wanawafukuzia na magari manne manne na mitutu kibao.....


Nchi imeoza.
Raia wamesomewa albadir na serikali yao
Nchi ya ovyo
 
Kwamba mwanachama wa upinzani tena chama kilichosajiliwa wanakuwa na vitu Gani vya Siri na hatarish kwa taifa hili?

Kuna narratives mnazipambania but not health for the country.....
It's about time and truth shall prevail.....
📌
 
Umekaa ukajijengea Assumption zako kichwani za uongo na kweli ndo umezileta hapa, hakuna nyumba ya siri watakayo amua kuijua na wasiijue bahati mbaya hata ndani ya chama kuna mamluki kibao na wananafasi kubwa hivyo labda hiyo nyumba uijenge bila kwenda kuisimamia na usiwahi kwenda huko na uijue peke yako ndo wao hawataijua
Kumbe mnajua wapinzani hawawezi kuificha kitu serikali, hii hofu ni ya nini?

Huwa nawaambia humu kila siku wapinzani wamefungwa radar kweli kweli na kila kitu chao kinachunguzwa na kufanyiwa monitoring, gafla mkisahau hilo mnaibuka na kuanza kuwasingizia majambo.

Kwa jinsi ambavyo hawatakiwi hawa watu siku wakipatikana na hatia itakuwa “sherehe” very unfortunate huwa wanafanya siasa zao tu hawana baya, mtawasingizia kila kitu lakini….. kosa lao ni moja tu, “kuwa wapinzani “

Wahalifu wote wanajulikana walipo/walipojibanza na hatuko tayari kwa huu mjadala kama taifa.
 
Kumbe mnajua wapinzani hawawezi kuificha kitu serikali, hii hofu ni ya nini?

Huwa nawaambia humu kila siku wapinzani wamefungwa radar kweli kweli na kila kitu chao kinachunguzwa na kufanyiwa monitoring, gafla mkisahau hilo mnaibuka na kuanza kuwasingizia majambo.

Kwa jinsi ambavyo hawatakiwi hawa watu siku wakipatikana na hatia itakuwa “sherehe” very unfortunate huwa wanafanya siasa zao tu hawana baya, mtawasingizia kila kitu lakini….. kosa lao ni moja tu, “kuwa wapinzani “

Wahalifu wote wanakulikana walipo/walipojinanza na hatuko tayari kwa huu mjadala kama taifa.
Wamesingizia nini? Kwani anatuhumiwa kwa kosa gani zaidi ya kusambaza taarifa za uongo? Kitendo cha kumkamata tayari walishajiridhisha tayari kuna kosa kafanya
 
Nisaidie haya maswali mkuu:
1. Polisi wakija kukukagua je ni sawa uanze kuwakagua kwanza wao au utawaruhusu tu waanze kukagua?! Je wakirudi nje wakasema wamekuta misokoto ya bangi?

2. Je polisi ana uwezo wa kukagua nuda wowote makazi ya mtu au mpaka kuwe na warranty kutoka mahakamani?! OCS akiamka tu asubuhi akitaka makazi ya Bwana Masanja yakaguliwe je ni sahihi au lazma kuwa na dhana ya kosa?
 
Nisaidie haya maswali mkuu:
1. Polisi wakija kukukagua je ni sawa uanze kuwakagua kwanza wao au utawaruhusu tu waanze kukagua?! Je wakirudi nje wakasema wamekuta misokoto ya bangi?

2. Je polisi ana uwezo wa kukagua nuda wowote makazi ya mtu au mpaka kuwe na warranty kutoka mahakamani?! OCS akiamka tu asubuhi akitaka makazi ya Bwana Masanja yakaguliwe je ni sahihi au lazma kuwa na dhana ya kosa?
1.No
2.No
 
Mwanasiasa wa mwisho kukutwana vidhibitinyumbani ni Seif Sharif Hamad mwanzoni mwa miaka ya 80 huko.
Mwanasiasa aliyefikia ngazi ya njuu nchini huwa na makazi mikoa mitatu,Dodoma,Dar es salaam na kijijini kwao kwa asili.

Kwa hapa Dar es Salaam wanasiasa wengi wana makazi zaidi ya moja,makazi rasmi na makazi yasiyo rasmi

Haya makazi yasiyo rasmi huweza kuwa ni nyumba ndogo yaani mchepuko,au simply safe house,ambapo hata dereva huenda asipajue,mkuu akiwa na kikao cha siri au mchepuko wake anawasha gari usiku na kuingia ndani,huko kuna mlinzi na mtu wa usafi.

Mambo yote ya ovyo hufanyika huko,iwe mikakati ovu ya kisiasa,michepuko,document za hatari hukaa huko.
Si mke wala watoto wa huyu mwamba hupajua hapa.
.
Polisi kupekua makazi rasmi ni kupotezeana muda mtaambulia kadi za mwaliko wa harusi na barua za kukumbushwa kulipa madeni ya benki,

Hakuna cha maana mtakachoambulia,mnafanya kazi kizamani sana
sisiemu ni wajinga sana wanahaingaika tu wakati vyama vyote vya upinzani viko kihalali
 
Wanakamatwa kila siku ila nahakama huwa inawakuta hawana hatia,polisi nivilaza failure,stupid ,bogus
Polisi wakiona kuna viashiria ya uvunjifu wa amani kazi yao ni kukamata kuhusu mahakama kuwaachia hilo siyo jukumu lao wao wameshatimiza wajibu wao wa kukamata, na wanatakiwa wakamate wahalifu kweli kweli na kuwafikisha mahakamani haki ikaamuliwe huko
 
Mwanasiasa wa mwisho kukutwana vidhibitinyumbani ni Seif Sharif Hamad mwanzoni mwa miaka ya 80 huko.
Mwanasiasa aliyefikia ngazi ya njuu nchini huwa na makazi mikoa mitatu,Dodoma,Dar es salaam na kijijini kwao kwa asili.

Kwa hapa Dar es Salaam wanasiasa wengi wana makazi zaidi ya moja,makazi rasmi na makazi yasiyo rasmi

Haya makazi yasiyo rasmi huweza kuwa ni nyumba ndogo yaani mchepuko,au simply safe house,ambapo hata dereva huenda asipajue,mkuu akiwa na kikao cha siri au mchepuko wake anawasha gari usiku na kuingia ndani,huko kuna mlinzi na mtu wa usafi.

Mambo yote ya ovyo hufanyika huko,iwe mikakati ovu ya kisiasa,michepuko,document za hatari hukaa huko.
Si mke wala watoto wa huyu mwamba hupajua hapa.
.
Polisi kupekua makazi rasmi ni kupotezeana muda mtaambulia kadi za mwaliko wa harusi na barua za kukumbushwa kulipa madeni ya benki,

Hakuna cha maana mtakachoambulia,mnafanya kazi kizamani sana
Usalama kazi yao nini, kusema uongo kama wewe unavyotaka
 
Polisi wakiona kuna viashiria ya uvunjifu wa amani kazi yao ni kukamata kuhusu mahakama kuwaachia hilo siyo jukumu lao wao wameshatimiza wajibu wao wa kukamata, na wanatakiwa wakamate wahalifu kweli kweli na kuwafikisha mahakamani haki ikaamuliwe huko
Ile Kesi ya Ugaidi ya mbowe iliwavua nguo polisi,kibatara alituonyesha jinsi polisi wetu walivyo zero brain ,empty set,vilazq na viazi,maswali madogo tu wakawawabatoka jasho
Polisi wakiona kuna viashiria ya uvunjifu wa amani kazi yao ni kukamata kuhusu mahakama kuwaachia hilo siyo jukumu lao wao wameshatimiza wajibu wao wa kukamata, na wanatakiwa wakamate wahalifu kweli kweli na kuwafikisha mahakamani haki ikaamuliwe huko
 
Mwanasiasa wa mwisho kukutwana vidhibitinyumbani ni Seif Sharif Hamad mwanzoni mwa miaka ya 80 huko.
Mwanasiasa aliyefikia ngazi ya njuu nchini huwa na makazi mikoa mitatu,Dodoma,Dar es salaam na kijijini kwao kwa asili.

Kwa hapa Dar es Salaam wanasiasa wengi wana makazi zaidi ya moja,makazi rasmi na makazi yasiyo rasmi

Haya makazi yasiyo rasmi huweza kuwa ni nyumba ndogo yaani mchepuko,au simply safe house,ambapo hata dereva huenda asipajue,mkuu akiwa na kikao cha siri au mchepuko wake anawasha gari usiku na kuingia ndani,huko kuna mlinzi na mtu wa usafi.

Mambo yote ya ovyo hufanyika huko,iwe mikakati ovu ya kisiasa,michepuko,document za hatari hukaa huko.
Si mke wala watoto wa huyu mwamba hupajua hapa.
.
Polisi kupekua makazi rasmi ni kupotezeana muda mtaambulia kadi za mwaliko wa harusi na barua za kukumbushwa kulipa madeni ya benki,

Hakuna cha maana mtakachoambulia,mnafanya kazi kizamani sana

..hiyo ni kwa wapinzani tu, au hata watu wa chama tawala?
 
Back
Top Bottom