Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Pia weka mafuta mengi ,
Mi hua nachemsha maji nayawekea chumvi kabisa nikitaka unukie zaidi naweka na hiliki,maji yakichemka nachuku chujio natoa zile hiliki naweka mchele ,,napima maji kama yametosha halaf naweka mafuta
Nahakikisha siunguzi
Wali ukitoka hapo umechambuka unanukia
Ukinukia unitagKuna mchele hata uweke rice massala haunukii
Ngoja nijaribu leo usiponukia nakuja kukubwagia safuria hapa
[emoji23][emoji23] unaupenda eeToto la Kiislamu hilo...linajua kupika balaa...
Nilitaka niseme nikaona nisiseme sanaHahahahaha mimi naona kunukia kwa mchele ni aina ya mchele wenyewe huku kwetu wa bei ghali naona ndo unaonukia na mtamu kuliko wa bei rahisi
[emoji23][emoji23] unaupenda ee
Niko tayari niajiri tuNataka nikuaajiri ktk Restaurant zangu uwasimamie maChef !!
Nimekumiss mumyTofauti ya wali na ubwabwa ni nini?
Leo jion ujeSaaaaana aisee.
Unapika lini tena nije nile?
Mzima ?Pia weka mafuta mengi ,
Mi hua nachemsha maji nayawekea chumvi kabisa nikitaka unukie zaidi naweka na hiliki,maji yakichemka nachuku chujio natoa zile hiliki naweka mchele ,,napima maji kama yametosha halaf naweka mafuta
Nahakikisha siunguzi
Wali ukitoka hapo umechambuka unanukia
Nakupostia kabisaUkinukia unitag
Niko poa Hornet,,za masikuMzima ?
Mimi pia, rudi basii[emoji17]Nimekumiss mumy
tuma CV yako...Niko tayari niajiri tu
Mi nipike wa maji ya baridi au ya moto lazima unukie tu,,Nakupostia kabisa
Mimi pia, rudi basii[emoji17]
Ha haha, unantenga eehLeo jion uje
Usije na vale
Natumatuma CV yako...
Nathubiri jioni niupikeNakupostia kabisa
Weee unampenda miss natafuta sikutakiHa haha, unantenga eeh