Mbinu ya Russia kuivamia Ukraine ilikuwa kali sema ya kizamani

Vp apo new York mafuta bei gni na gesi
Tajiri Bilionea hata mafuta yauzwe lita moja dola 100 au laki mbili shilingi za Tanzania kwake sio big deal

Mfumuko wa bei unahusu maskini sio matajiri

Soda hoteli kubwa za kitalii inauzwa Elfu nane wakati uswahilini inauzwa mia sita lakini huwezi ONA hao wakaa hoteli kubwa za kitali wanalalamika hiyo bei

Wewe ulofa unakusumbua Omba Mungu akupe pesa .Yaani wewe mafuta yakipanda kwa shilingi mia tano tu kwa lita kelele kibao maskini wewe

Marekani wana pesa usijilinganishe nao

Inflation inasumbua malofa kama wewe sio matajiri

Omba Mungu akupe pesa
 
Watoto wote wa Putin, Maria na Katerina, wamesomea Urusi mwanzo mwisho.
 
Vita sio ya kuishabikia lakini kitakacho kwenda kutokea Donbas ndio litakuwa anguko la Bwana Vladmir, huyu Zelensky anatumia mbinu ya kujifanya yupo weak na kulia lia ili kumdanganya Mrusi amu underestimate ila moto utakaowaka hapo basi ndio utakuwa mwanzo na mwisho wa enzi za rafiki yake Medved.
 
Wachache mno wataelewa na kuamini hii.
 
Du? Kaka ebu tushushe kwenye gari lako[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
 
Watakufa bibi zako babu zako shangazi zako michepuko yako unayokula kimasihara shemeji zako hadi wifi zako lakini siyo PUTIN kama hutaki jikatie gogo kwenye kisosi nywea chai
 
Zinafanyaje magendo wakati Urusi haijawekewa vikwazo vya mafuta?
Wafuasi wa CCM mna matatizo.
 
Russia alikuwa hajaelewa hii mbinu mwanzo Ila saivi kashaghutuka ndyo maaana nguvu ya mashambulizi imeongezeka na ata vifaa vya kisasa vimeingia mzigoni mtu atachapika Hadi ateme mma
 
Ahsante sheikh yahya kwautabiri wako juu ya PUT IN
 
Upumbavu tuuu, ameua Askari wake kisa aridhi na wakati anamiliki aridhi kubwa duniani
 
Kwa hiyo sasa hivi kipande kilichobaki cha Ukraine kijiunge tu NATO hakuna shida?

Huu utakuwa Ni UONGO UKIJARIBU KUMSIFU SABABU YA MAPENZI YAKO KWAKE.

Objective za Urusi zipo wazi, mabadiliko yoyote yanatokana na either ugumu wa kufikia objective, au kushindwa kabisa kufikia hizo objective.

Na kama usemalo lina Ukweli Puttin basi ni katili sana na itakuwa sahihi nchi jirani kumuogopa na kutafuta njia zozote kujilinda naye ikiwemo kujiunga NATO.
 
THIS IS FACT!
 
Watoto wote wa Putin, Maria na Katerina, wamesomea Urusi mwanzo mwisho.
Hawajasomea urusi, na mtoto mmoja alikuwa kaolewa na muholanzi na ndoa ilivunjika kutokana na kutaka mume aende akaishi Russia akakataaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…