Mbinu ya Russia kuivamia Ukraine ilikuwa kali sema ya kizamani

Mbinu ya Russia kuivamia Ukraine ilikuwa kali sema ya kizamani

putin mshamba tu!; zama hizi sio zama za wazee kutuma vijana kuuana
 
Kwani humu tunaandika au tunaongea...

QN: mbona R na L zinaonekana kuwachanganya nyie wabongo ??
Halafu hawa hawa ndio wanapiga kelele kwamba kiswahili kitumike kufundishia mashuleni wakati nusu ya watanzania hata hicho kiswahili tu hawakifahamu vizuri.
 
Halafu hawa hawa ndio wanapiga kelele kwamba kiswahili kitumike kufundishia mashuleni wakati nusu ya watanzania hata hicho kiswahili tu hawakifahamu vizuri.
Tuwaombee!!
Tuwaombee!!
Tuwaombee!!

[emoji119][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1690]
 
Back
Top Bottom