Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe source.Anadanganya huko Ukrain mochwari zime jaa maiti za hao jamaaa
View attachment 2195452
Halafu hawa hawa ndio wanapiga kelele kwamba kiswahili kitumike kufundishia mashuleni wakati nusu ya watanzania hata hicho kiswahili tu hawakifahamu vizuri.Kwani humu tunaandika au tunaongea...
QN: mbona R na L zinaonekana kuwachanganya nyie wabongo ??
Tuwaombee!!Halafu hawa hawa ndio wanapiga kelele kwamba kiswahili kitumike kufundishia mashuleni wakati nusu ya watanzania hata hicho kiswahili tu hawakifahamu vizuri.