Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Inaendelea..

Rayns mawardat Statics Tiffay MIRA01

Ilipita kama wiki 2 isiyokuwa na kashkash sana.. na mimi nilikuwa busy kusaidia kutunga UE vijana wakahangaike nayo. Nakumbuka ilikuwa jioni hivi ya Ijumaa moja, nikashangaa yule Dada kanitumia text na bahati nzuri PC nilikuwa sijaizima, basi ikabidi ni hold nichat nae. Alinieleza mambo mengi mara kanimiss na vitu kama hivyo, mie nikamwambia ni namna gani nimeteseka kwasababu yake, akaniambia nisijali mumewe kwa sasa yupo nje ya nchi kama siku tatu hivi zimepita, hivyo yupo free.

Mhh mie nikaona kama ni mtego hivi... nikamwambia sina hakika kama nachat na wewe. Akaniambia ni yeye kweli. Basi niliingia Google meeting nikaandaa link chap nikamtumia nikimwomba aingie muda huo. Bas kweli akaingia nikamuona (Tukawa tunaonana face to face) tuliongea mambo mengi sana na akafunguka ni jinsi gani mumewe ni Mnyama, na sahivi mapenzi yamepungua sana kwa pande zote mbili. Hana uhuru wowote, anafatwa fatwa na watu anachunguzwa sana haamini hata wafanyakazi wenzie wala hata mlinzi wa nyumbani. Kila mtu kwake anahisi ni wale wale tu wa kumchomesha na kumsemea mambo ya ukweli au hata yasiyo ya kweli.

Nilimuuliza yupo wapi.. akanijibu yupo kwake. Nikamuuliza tena akanihakikishia hilo, nikamuuliza mumewe anarudi lini? Akawa hana majibu, maana jamaa alisafiri bila kuaga na atarudi bila taarifa, yaani haeleweki.

Mie akili ikanicheza hapo...

Niliongea nae mambo mengine na story za hapa na pale ila asilimia kubwa nilimficha mambo yangu ikiwemo nafanya kazi wapi kwa sasa na makazi yangu na namba zangu za simu ambazo zipo hewani.

Aliniomba tuonane mapema sana kesho kama sitojali, mie nikawambia ni ngumu sana kumuamini. Ila kwa kuwa na mimi nishamjua ni nani napambana nae basi nikamweleza atulie kesho mchana tuwasiliane kama kawaida (Safari hii ni Google meeting) tu.


Basi, Mchana ulifika ilikuwa Jmos nakumbuka, niliingia ktk G.Meeting nikaona yupo active, nilimuuliza kama sehem X anaijua, akasema anapafahamu, nilimuomba aache gari aache kila kitu mpaka pochi yake aache aje yeye na nguo zake tu hadi hereni na cheni aache, hata saa ya mkononi aache na viatu avae slippers tu asivae viatu vyenye soli ngumu.

Ni hivi: Tracking devices zinawekwa katika sehemu nyingi ikiwemo ktk soli za viatu, ndani ya kava la funguo.. yeah.. wewe unaweza dhani mjanja ukapaki gari mbali ukaondoka na funguo kumbe hiyo funguo ndio ina hicho kidude (Transponder) itakayokuexpose ktk mfumo.. pia hata cheni na hereni.. etc, fatilia Airport ukaguzi wao, mpaka viatu utavua.. unafkiri wanataka waone ndani ya kiatu pekee? Hapana ndio maana unakiingiza kiatu katik Scanner ili kama kuna any electronic device ipatikane au itambulike.

Basi, yule Dada alinielewa nikamwambia asichukue Bodaboda, achukue Daladala, alifanya hivyo alishuka katika Daladala sehemu niliyopo (Bila yeye kujua) nikawa namfata kwa nyuma huku nikiangalia kama kuna mtu mwingine anafatilia movements zetu, nilikaa usawa wake wa kulia kama mtu ambae anataka kumpita, nikamuongelesha kwa utaratibu nikimpa maelekezo ya kunifata kwa nyuma ninapokuwa napita. Akafanya hivyo baada ya kukunja kona mbili tatu, nilikuwa nishaandaa bodaboda pale tukapanda na kuondoka eneo lile mpaka eneo nalokaa.

Tulifika hapo, (Sio mbali) nikamuomba akaribie ndani. Akaingia.. na tukaanza kuongea na kutaniana, hapa nilikuwa nipo na amani maana ni sehemu ambayo ipo very secured. Ndani ya geti na kuna uwanja mpana ni pakubwa kuna apartment's tatu ndani na watu wote wanajielewa na ni watu ambao wapo single hawana familia.
Basi, nilimkaribisha kinywaji, akapata na chakula.. tukawa tupo tu tunacheck movies pale, ghafla akaanza kupunguza nguo eti anaskia joto, alianza na kibrauzi alichovaa akafata na jeans.. akaw kabaki na chupi tu (kuna aina fulan ya chupi zile za mikanda mikanda..) ewaa.. hizo hizo.

Mie muda huo nipo ndani ya kipensi changu cha jeshi jeshi.. juu vest tu, ghafla nikashangaa mtu ananiambia anaskia usingizi anataka kulala, kucheck muda naona jion hii inaingia huyu akilala atarud kwake saa ngapi?.. nikamwambia kulala unajiamini nini? Jiandae urudi home mida ishasogea sana hii. Nikaona kabadirika pale akawa kama kasusa, kavaa nguo zake haraka haraka anataka kutoka nje. Mie nikamuwahi.. nikamweleza ni vipi nimeteseka na bado mambo bado ni mabichi hata sijui nasolve vip hii shida then anataka kuchochea moto huko nyumbani. Nikamwambia awe makini mumewe mwenyewe hatabiriki, anaweza asinidhuru mimi ila akamdhuru yeye..

Akanielewa akasema nimsindikize kituoni ila atleast basi nimkiss, basi nikamuomba aingie ndani tuongelee hayo mambo ndani, akaingia tukakaa kitandani, mtoto akaanza kunipa Mate.. chezeana sana mate mule ndani.. na mie nikaona huyu hapana wacha nimchape nao. Nakumbuka ilikuwa saa 10 jioni ile.. tuliperekeshana mpaka saa 1 usiku. Ila jamani kuna wanawake watamu sana, kwanza msafi yaani K yake ni kama cake yaan hata harufu unaskia kabisa hii kweli K.

Naona wadau mnataka mjue process ilikuwaje mpaka nikala tunda sio? Ni hivi baada ya kupiga mate lita kazaa, nilishuka kitovuni nikakutana na kipini, nikashuka kiunoni nikakutana na Chain (Achaneni na mashanga kama ya waganga) kuna cheni zipo zile anazovaa SHAKIRA, naaam... kucheck na ile chupi sijui bikini yenye mikanda mikanda mie hoi..

Nilmtania nikamwambia lakini si nimekukataza usije na chain akasema hata hii?? Mhhh niue tu kwa kukiuka sheria zako Baba.. hahah, mie sikupoteza muda zaid ya kumpindua kifo cha mende miguu nikaweka begani, nikapeleka mdomo shingoni, nikashusha mdomo kwenye chuchu.. ghafala nikaskia tu mkono unanipapasa kiunoni (Anatafuta Mkongojo), basi bhana akaupata Mkwaju, akataka auingize kumbe lahaula chupi haijavuliwa.... nikamwambia usiwe na kiu kiasi hicho.. tuliaaa.

Nilisogeza ile chupi pembeni yaani nyuzi 90° kwa ustadi wa hali ya juu na kuudidimiza Mkwaju, navyokumbuka alipiga ukunga wa utamu.. na kunikumbatia kwa nguvuu sana.. mie sina hiyana, nilipeleka moto wa kawaida wa nenda kwa usalama yaani sikutaka kupigwa tochi ya mwendokasi.. hapana niliheshimu vibao vya barabarani.. kwenye 30 naenda 30 kwenye 50 naenda 50.. kwenye tuta naminya breki.. kwenye zebra nasimama watu wavuke.. naaaam.

Nakumbuka mashine ilibadirika rangi na yote ikawa kama imechomekwa kwenye kopo la Ice cream, maana ilikuwa nyeupee kutokana na kuchanganya kwa manii (Shahawa) za watu wawili kwa muda mrefu.. tulipimana uwezo na wote tulikuwa hodari, mnajua kuna Mapenzi ya aina nyingi sasa mkikutana wote ni Wasomi, mnajielewa na mna exposure ya mambo ya chumbani kuna taste flani hivi tofauti huwezi ipata kwa watu wengine.. usitegemee ukawa unakula tunda la Halima wa Buza ukafananisha na Nancy wa Masaki. Kuna taste mbili tofauti.. hata lugha na vilio ni tofautii.. nilikuwa nambiwa matusi ya kizungu tuu.. nikawa naitwa Daddy..(Dzaddy..) nilikuw napigwa vibao.. nilikuwa nafinywa... mimi.. ah.

Tuishie hapo.

Basi, baada ya kushindilia magoli kazaa, tulipata muda wa kuosha miili yetu na mimi nikimsisitiza zaidi kuwahi maana muda ushakimbia na hapo (Nyege zishaisha) sasa kichwani akili ndio inakuja kwamba huyu ni muke ya mutu.

Alimaliza kujiandaa, nikampeleka hadi maeneo ya kwake kwa njia ya daladala, alionyesha uchovu sana.. alishuka na kuchukua bodaboda, ambayo ilimfikisha hadi kwake. Mie nikarudi geto nikiwa najipa point 3 za ushindi na kujipiga kifua kwamba ni kidume.. sahiv nipo tayari sasa kwa lolote maana kama kumla nishamla kwelikweli. Sio kipindi kile hata game sijapewa naanza kutafutwa na mizengwe miingi.

Kesho yake, nikakuta text kibao katk ile line ya kwenye moderm, ni text moja tu iliyonishtua ambayo ni kwamba.. alikuwa katk siku za hatari, so anawasiwasi huwenda nishamjaza mimba, pia mumewe kamtumia text whatsapp atarud baada ya wiki 3.. jumla mumewe hapo atakuwa amekaa nje mwezi mzima.. kitaalam hiyo tunaitaje?

Mie sikujibu chochote nikazifuta txt zote.. nikachomoa moderm nikaitia kabatini. Nikaendelea na mambo yangu.

Kuna siku nilikuwa nafanya mambo yangu nikakutana na file moja ambalo lilinipa idea ya kuendelea na uchunguzi au kufatilia huyu jamaa mawasiliano yake yapoje ya kiofisi na kibinfsi yaani na familia yake.

Ni hivi: Katika hatua za udukuzi kuna stage ya kwanza ambayo ni information gathering stage, ambayo inamhusu mhusika kuusoma mfumo au network fulani ili ajue anatumia loophole ipi kuingia ktk huo mfumo.

Mie nichokifanya ni kuandaa Payload ambayo ndani yake kuna Kirusi, hicho kirusi kinaenda kutengeneza connection kati yangu na yeye yaan kati ya computer mbili. Hii ni njia nzuri hasa katik mashambulizi ya MITM (Man In the Middle).
Basi, after kutengeneza Payload nilifanya convertion kutoka kwenye bash scripts na kuirudisha kwenye Exe file then nikaiwekea Metadata ndani yake. Pia nikabadiri Icon ya hiyo exe file ionekane icon ya PDF document. (Hii ni njia wanayotumia wadukuzi hasa katika nyenzo mbalimbali za Social Engineering). After kufanya manipulation hiyo. Niliclone moja ya email ambazo nahisi angezitrust ambazo ni za kiofisi.

Nikaandika ujumbe fulani ambao ulilenga kufungua hiyo document na kusoma maelekezo haraka na kuyafanyia kazi. Kiuhalisia hakuna cha maana ndani ya hilo file. Isipokuwa mtu akifungua ni tayari kawaruhusu virus (Virus ni commands tu) kwamba mtu unaruhusu Execution of commands zifanyike ndani ya computer yako. Na mbaya zaidi ukiwa umatumia computer as Administrator, kuna privileges unazoachia hivyo kirusi kinakuwa ndio Administrator na computer yako inabidirika jina inaitwa kitaalamu kama ZOMBIE PC. unaweza fatilia documentaries za Zombie Pc huko USA.. naaam.

Basi, nilituma hilo file kwa kutumia temporary email, ikaenda na baada ya masaa 8 nilipata Notification kuna session imekuwa established through https.

Nirudi kidogo: Technically udukuzi ni mgumu na sio wa kufanya mara moja na kufanikiwa, hapana. Ni uongo. Lazima urudie rudie ujue mbinu na mikakati iliyobora. Mfano hii njia inafanyika mara nyingi ikiwa Mdukuzi na Target wakiwa katika same network yaani LAN, na wakiwa chini ya network protocol ya http au Tcp. So kufanya reverse_tcp commands inarudisha connections na kukupa access. Ikiwa computer ipo nje ya network moja ni ngumu, hapo ndio unatumia techniques nyingine kama vile Ngrok establishment au active directory kwa kutengeneza cloud server kwa udukuzi ulio nje ya LAN. Aisee mambo ni mengi.
Tuendelee..

After kupata active session niliingia na kuhakikisha ni kweli ni computer yake ndio imeaccess lile file. Nilichofanya baada ya hapo ni kitu kinaitwa ku maintain persistence.

Maana yake nini?; Mdukuzi akiingia katika mfumo anakuwa na malengo matatu. Kwanza kuingia bila kujulikana, kuhakikisha anabaki na mfumo, na kutoka bila kujulikana. Mdukuzi mjinga au yule mwenye nia ovu pekee ndiye atakayekuonyesha kwamba nipo ndani ya mfumo! Wadukuzi wanaojielewa ni wanaingia, wanabaki na wanatoka bila kujulikana.

Sasa ku maintain persistence maana yake ni kuhakikisha hata akizima computer akija kuwasha mie bado napata access. Yaan nakuwa sipotezi sessions kitu ambacho ni kigumu kweli kweli kwenye ulimwengu wa Udukuzi.

Basi, nilifanikiwa hilo na nikawa ninayo PC yake ki software zaidi. Kila faili naliona.. kila atakachofanya nakiona.. basi nikawa nimefanikiwa kwa hilo.

Nitaelezea mbeleni ni vipi niliweza kudukua Simu yake kupitia computer yake yeye mwenyewe. Na ni yapi niliyoyakuta? Pia mkewe atakuwa na Mimba au? Nimechoka kuandika.. next time guys.
Kaka asante sana umetutendea haki kwa kweli!

Nimejifunza watu wengi wanakipaji lakin wanakosa muda wakukaa chini na kuandika na mwisho wa siku, kipaji kinapotea… keep pushing bro na uwe unazisave mahali unaweza ukawa unaziendeleza vzr hata baadaye na ukiweza kubadilisha lughu utaziuza zaidi


Story nzuri sana! Inamafundisho na watu soon wataakutafuta uwape mfumo😁

Mtori ni mtam nyama ni nyingi chini tutulie😃
 
Ulikuwa na bahati sana kudukua kila kitu, yaani hilo campuni halina network security policy? Mpaka udukue na email za ofisini. Au system administrator wa server yao alikuwa umelala siku zote na hajaweka ulinzi wowote kwenye server yoa?. Ningekuwa mimi, huyo system administrator ningemfukuza kazi.

USHAURI siku nyingine ukiwa una hack system usikae muda mrefu kwenye mfumo unadakwa hata ukitumia chain VPN. Vipi ulikuwa huogopi honey port?
Sikudukua kila kitu (kwenye mfumo) hapana, bali nilifanikiwa kuingia katika root folder la website yao ambayo ndani yake kuna user's wengi nikafanya harvesting ya Emails tu. Ingawa ningetaka kuingia mpaka seblen kwao ningeweza sikuwa na interest na taasisi.. nilikuwa namtaka huyo jamaa nipate tu email yake ya kazini.

Ohh kuhusu Chain VPN etc..
Sorry unazungumzia Proxychains? Hapana... situmii hiyo mechanism kuhide identity yangu.

Ni hivi: nikiwa katika harakati za information gathering huwa natumia Kalitorify only. naam unaweza itafuta ni nini na inafanyaje kazi..

Ila nikiwa nafanya attacking situmii chochote kile kujihide, naenda kavukavu. Why?

Ukiestablish remote connections Via VPN au any other mechanisms unachanganya payload yako ambayo umeroute na NGROK kule.. hasa ukiwa unafanya attack over WAN.

sasa kwa kuwa nimeestablish connection na NGROK na tyr natumia https kama network protocol naenda kavukavu isipokuwa nakuwa makini na chanzo changu cha internet.. mara nyingi attacking zangu nazifanya kwa kutumia network ya ofisi, cafeteria au katk sehem yoyote yenye free internet ambayo ipo reliable.

Mfano NGROK tokens zile ukishazifill na ukapata access ukizima data au kubadiri chanzo cha internet ukitaka kurudi kupata sessions inakubid utengeneze payload nyingine kitu ambacho ni waste of time.

Matumizi ya VPN or Tor or proxychains kwenye attacking ya MITM ni ngumu sana.. huwa tunaenda kavukavu.

NB: kuna namna nyingi za kujilinda ikiwemo fake Programmed IP and Mac address for PC pia matumizi ya System ndani ya Virtual environment hayakuexpose sana.. tofauti na ukitumia real hardware yako moja kwa moja. Ni mambo mengi... so far..

Karibu.
 
Kaka asante sana umetutendea haki kwa kweli!

Nimejifunza watu wengi wanakipaji lakin wanakosa muda wakukaa chini na kuandika na mwisho wa siku, kipaji kinapotea… keep pushing bro na uwe unazisave mahali unaweza ukawa unaziendeleza vzr hata baadaye na ukiweza kubadilisha lughu utaziuza zaidi


Story nzuri sana! Inamafundisho na watu soon wataakutafuta uwape mfumo😁

Mtori ni mtam nyama ni nyingi chini tutulie😃
Ohh.. Shukrani Mkuu. Tupo pamoja.
 
Part 2:
Nilikuwa Samaki Samaki pale Mlimani City.

Napiga maji, ghafla nikaona Chuma kikali sijapata kuona aisee ubaya alikuwa na Boyfriend/Mume wake.

Basi nikamlia timing wakati wa kwenda Washroom nimfate huko huko (Mazingira ya pale kwa upande wa Washroom kuna Distance kubwa).

Basi kweli bhana Manzi akajipindua kuelekea Washroom na mimi nikaunga Tela, tulivyokunja kona tu ya kuingia corridor la choooni nikamshtua, akasimama nikamwomba namba akasema yeye ameisahau kama vipi nimpe yangu, basi akanipa simu yake nimuandikie Namba yangu..

Kumbe nyuma Bwana ake anakuja na yeye tyr kashanipa simu yake ndio niandike namba nashangaa Manzi kageuka chap kakimbilia choo cha wanawake. Mie nikawa nimesimama tu sielewi nini kinaendelea ila kwa kuwa nimesoma CUBA sikugeuka ila nikapiga jicho kwenye kioo (Reflection) nikaona mjuba anakuja ila bahati nzuri na yeye alikuwa anatembea huku anachat so hakuona tukio la mbele.

Sasa simu ninayo ya yule Manzi namrudishiaje??.. [emoji1787]

Na jamaa kumbe alikuja kumsubir kule kule kwenye Corridor la Washroom ili arudi naye.

Mie nikajipindua Choo cha kiume kama Kawaida nikazuga zuga pale, Dem akatoka akanipa ishara ya nitulie huko huko.

Basi jamaa akarudi naye Mpaka walipokuwa wamekaa. Mie nikatoka baadae kurudi ktk meza yangu, nikamuita mhudumu mmoja hivi (Best yangu) nikamwambia nenda pale idondoshe hii simu miguuni (Mapajani) kwa yule Dada pale then uje kuna Zawadi yako hapa..

Mhudumu hakusita, alifanya hivyo na yule Dada aliiokota simu yake then.. tukaendelea kuwasiliana pale pale...

Huyu aliniletea shida sana.. mpaka nikawa naishi kama Mwizi.
Mimi huwa naomba directly na huwa nakwama kwa sababu ni ngumu mtu hujazoeana naye kukupa namba kiurahisi.
 
Wazee wa kupambania Kombe..
Huwa mnatumia Njia gani kuomba/kuchukua namba za simu katika Mazingira MAGUMU na HATARISHI?

Umafia:

Part 1>
Nilikuwa nipo katika Daladala watu wengi vibaya mno, nikatupia jicho pembeni nikaona KIFAA kimetulia kinachezea simu. Nikajiuliza hapa namba nabebaje? Kuangalia nje bado vituo viwili nishuke.

Kuchek katika wallet business card binafsi zimeisha zimebaki za Ofisini (Michoresho) nikaona hii hapana kuitoa.

Nikajipapasa huku na kule bahati nzuri nilibahatisha kipande cha TICKET ya Bus la mkoani, na katika ile ticket kuna namba yangu ya SIMU, sikujiuliza mara mbili wakati nashuka nikamshtua yule mrembo kwa kumgusa begani then ile ticket nikaipitisha kwa chini kama vile alikuwa kaiangusha then nikamkazia machoni huku nikimuonyesha ishara ya NIPIGIE. Mie nikashuka zangu huyo Home nikatulia.

Zikapita kama siku 5 kimya, nikaona hapa Mkeka umechanika.. siku ya 6 jioni nipo viti virefu nashangaa namba ngeni kupokea ni yule Manzi.. akajitambulisha pale.. then the rest is history..😋

Kuna wengine wanatumia mpaka Hela kuandika namba (Karatasi hakuna).. mtu anachukua noti ya elf 10 anachora namba yake anamkabidhi mrembo..
Safi usisahau kutupa na mbinu za kutafuta hela
 
Sikudukua kila kitu (kwenye mfumo) hapana, bali nilifanikiwa kuingia katika root folder la website yao ambayo ndani yake kuna user's wengi nikafanya harvesting ya Emails tu. Ingawa ningetaka kuingia mpaka seblen kwao ningeweza sikuwa na interest na taasisi.. nilikuwa namtaka huyo jamaa nipate tu email yake ya kazini.

Ohh kuhusu Chain VPN etc..
Sorry unazungumzia Proxychains? Hapana... situmii hiyo mechanism kuhide identity yangu.

Ni hivi: nikiwa katika harakati za information gathering huwa natumia Kalitorify only. naam unaweza itafuta ni nini na inafanyaje kazi..

Ila nikiwa nafanya attacking situmii chochote kile kujihide, naenda kavukavu. Why?

Ukiestablish remote connections Via VPN au any other mechanisms unachanganya payload yako ambayo umeroute na NGROK kule.. hasa ukiwa unafanya attack over WAN.

sasa kwa kuwa nimeestablish connection na NGROK na tyr natumia https kama network protocol naenda kavukavu isipokuwa nakuwa makini na chanzo changu cha internet.. mara nyingi attacking zangu nazifanya kwa kutumia network ya ofisi, cafeteria au katk sehem yoyote yenye free internet ambayo ipo reliable.

Mfano NGROK tokens zile ukishazifill na ukapata access ukizima data au kubadiri chanzo cha internet ukitaka kurudi kupata sessions inakubid utengeneze payload nyingine kitu ambacho ni waste of time.

Matumizi ya VPN or Tor or proxychains kwenye attacking ya MITM ni ngumu sana.. huwa tunaenda kavukavu.

NB: kuna namna nyingi za kujilinda ikiwemo fake Programmed IP and Mac address for PC pia matumizi ya System ndani ya Virtual environment hayakuexpose sana.. tofauti na ukitumia real hardware yako moja kwa moja. Ni mambo mengi... so far..

Karibu.
Kujilinda ni muhimu sana iwe physical (hardware) or software ndio maana taasisi zina miundo ya Kujilinda na wananunua hizo facilities kwa gharama kubwa.
🙆🙆 Eti unaenda kavu kavu 🤣🤣🤣

Wewe una hatari sana yaani ni sawa kwenda kugonga mtu mwenye VVU kavu kavu na unajua kabisa . Usije jaribu kuingia kwenye taasisi za kifeza au nyeti eti kwa kutumia KALI utaonekana mapema hata dakika mbili nyingi.
KALI ikusaidie kuandika codes na kujua open port kwenye SYSTEM (Servers) ambazo zitakuwezesha kuingia kwenye mfumo na kufanya vitu vyako na kuondoka.

TUNAOMBA MWENDELEZO WA STORY nimejikuta naandika yaliyo nje ya mada kwa kuwa umenigusa, UNETHICAL HACKER
 
Back
Top Bottom