Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Hiyo ya ten,nlikua kwny daladala dom hiyo,natoka town naenda mipango sa kuna mzee mmoja wa kitanga(mzee kijana) tukakaa sit moja ,tukajikuta tunatia story pale ,akanilipia nauli ,anavoshuka(alishuka kabla yng)kaniachia cha ten,nkapokea eeh kuna kijana alinkodolea macho cjui wivu,kuiangalia pesa ina namba zake , ,kwel wanaume mna buni mbwinu ..[emoji16]mzee kijana anapenda dogodogo [emoji16]

Ivi mkishawapigia huwa mnazifuta liten uliweke sokoni au ndio unaitunza liten kinakuwa la maonyesho
 
Halafu ingesababisha usiwe comfotble tena ukiwa maeneo hayo
Yeah.. yaan kitu cha 1m or less kininyime amani ya moyo aisee na bado risk ya kudakwa ipo vile vile alafu ni simu ya Mwanamke..
 
Back
Top Bottom