Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
mtego huu kwa ma G officialBro G, mambo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtego huu kwa ma G officialBro G, mambo?
Sawa usijali..Bro,leo fanya utuwekee,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],weeeehmtego huu kwa ma G official
Sawa,tupo kusubiri.Sawa usijali..
Poa.. Mrembo.. Nambie🙃Bro G, mambo?
Shwari, za kwako?Poa.. Mrembo.. Nambie[emoji854]
Nzuri, hali ya hewa tu hii inanihamasisha nipige vyombo mida ya kazi.Shwari, za kwako?
Hiyo ya ten,nlikua kwny daladala dom hiyo,natoka town naenda mipango sa kuna mzee mmoja wa kitanga(mzee kijana) tukakaa sit moja ,tukajikuta tunatia story pale ,akanilipia nauli ,anavoshuka(alishuka kabla yng)kaniachia cha ten,nkapokea eeh kuna kijana alinkodolea macho cjui wivu,kuiangalia pesa ina namba zake , ,kwel wanaume mna buni mbwinu ..[emoji16]mzee kijana anapenda dogodogo [emoji16]
Halafu ingesababisha usiwe comfotble tena ukiwa maeneo hayo🤣🤣 ila kuna vitu vya Kuiba sio SIMU.. ningejishushia heshima sana alafu pale kuna CCTV alafu kuna Wahudumu wananijua...
Hali ya hewa ipoje?? Huku kwetu ni manyunyu na ubaridi.Nzuri, hali ya hewa tu hii inanihamasisha nipige vyombo mida ya kazi.
Yeah.. yaan kitu cha 1m or less kininyime amani ya moyo aisee na bado risk ya kudakwa ipo vile vile alafu ni simu ya Mwanamke..Halafu ingesababisha usiwe comfotble tena ukiwa maeneo hayo
Wapi......... usikute ni majirani sisiHali ya hewa ipoje?? Huku kwetu ni manyunyu na ubaridi.
Umeshuhudia wangapi wanateseka huko kaburini??
Wewe si upo dar, huku nilipo ni baridi leo.Wapi......... usikute ni majirani sisi
Yupo ila sina mawasiliano nae.Duuuh, pole. Yuko wapi huyo manzi kwa sasa,
Yeah.. wacha nokuwekee ile kitu unapenda..Wewe si upo dar, huku nilipo ni baridi leo.
Mie sipo dar,Yeah.. wacha nokuwekee ile kitu unapenda..
Najua kama upo Tanga....... au nimekosea.Mie sipo dar,
Sawa bro,weka nienjoy na haka ka ubaridi.
😅 si kwelBraza gentleman umeila mbususu kisomi sana........... yaani shule tupu..........