Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Inaendelea..
Rayns mawardat Tiffay MIRA01 Aaliyyah Statics
Baada ya wiki kadhaa kupita kumbukumbu zangu zinaniambia kwamba nilipata likizo fupi maana chuo wanafunzi walikuwa wamerudi nyumbani, mie kama mtu wa part time nilizidi kuwa free nikienda ni kwa ishu technical or short courses zile za computer. Si unajua tena mjini maokoto.

Nilipata muda zaidi wa kufatilia mawasiliano ya yule Jamaa, niliona mambo mengi sana na reports ambazo ni very confidential.. za wakuu wenzie etc.. na kutokana na hilo nikaona na mie nizidownload kwangu so nikawa na export file moja moja hasa nililoona ni potential. Jamaa alikuwa mshenzi sana maana hadi porn alikuwa anazo tena zile HD.

Nilikuwa na changamoto kidogo juu ya namna gani naweza pata access ya simu yake, hapa niwaweke wazi tu security features za Iphone zipo very strong compared na hizi Androids but haikupi guarantee kwamba eti ukiwa na Iphone huwezi kudukuliwa.. hapana. Wembe ni ule ule.

Huyu jamaa bahati nzuri alikuwa anatumia Android so sikupata kazi kubwa sana.. nilijuaje?.

Ni hivi: kama mtakumbuka wakati wa kuchunguza picha na kubaini details mbalimbali pale ndipo niligundua jamaa anatumia kifaa gani. Haijalishi hivyo tu, hizi simu zikiwa zipo na umeme na zipo standby basi muda wote zinawasiliana.

Ndio. Simu inawasiliana muda wote hata kama umeiweka hapo ukalock screen ila bado itaendelea kuwasiliana. Inawasiliana na minara, pia inawasiliana na device zote zilizokaribu yake. Naaam. Kaa ukilijua hilo kama ulikuwa hujui hapo kabla.

Sasa, kutokana na kuifanya Computer ya Jamaa kuwa ni Mzimu/Zombie hatua iliyofata ni kuitumikisha. Sawa na mchawi akikugeuza Ndondocha/Msukule anakufanya anavyotaka.. naaam.

Naomba nizungumzie kitu hapa.

Usiwe mtu wa kuacha simu yako ikiwa na utayari wa kuingiliwa. (Namaanisha nini?) Simu ukiacha Bluetooth on, Wi-Fi on, Location on.. etc tyr umeipa ruhusa ya kuingiliwa, ni kama mwanamke vile aliyetepeta kwa ulenda akisubiri kushughulikiwa tu.

Tuendelee..

Sasa, jamaa Simu yake nafkiri alikuwa ameiconnektia Bluetooth sijui alikuwa anaskiliza mziki kwa earpods or else.. ila ports za Bluetooth zilikuwa wazi. Nilichofanya ni kutengeneza Payload kupitia Computer yangu na kuinject kwenye ile system ya Computer ya Jamaa. Then nikaiamrisha iwe inafanya majaribio ya mara kwa mara (Retrial) mpaka shell ifanye binding. nakumbuka nilitumia siku nne bila mafanikio mpaka siku iliyokuja kukubali maana kulikuwa hakuna njia nyingine.

Basi, huku siku zinazidi kusogea bila mawasiliano na yule Dada, nikaamua niirudishie ile Moderm kwenye Pc nimtafute, nilimcheck kwa text moja zikajibiwa sita.

Kati ya hizo hakuna ya salamu, ni matusi na makasiriko meengi. Nilisoma zile txt, na kumjibu asiwe na wasiwasi anisikilize na tushauriane nini cha kufanya, maana bila shaka ni mjamzito tayari. Na anachohofia ni jamaa akirudi amkute ana huo ujauzito. Maana hakuwepo Mwezi mzima je wakienda kupima hospitalini na kuonesha kuwa ina umri wa mwezi na hakuwepo mjini? Na Bidada kutoa Mimba hataki.

Mie pia maswala ya kutoa Mimba siyaafiki, nikamwambia atulie na siku tuonane tuongee, aliniuliza lini? Nikamwambia atulie nitamjulisha. Ikaishia hivyo.

Huku tayari nishafanikiwa kupata access ila kwa ugumu kiasi kutokana na njia niliyotumia ni ngumu na kufanikiwa kwake ni asilimia chache ila uzuri bahati ilikuwa upande wangu, niliingiza/kupitisha mipangilio mbalimbali na kuiunga Simu yake katika ulimwengu wa Misukule ya kielectroniki.

Je unajua kwamba hata simu ukiacha hapo mezani na kuondoka kama imedukuliwa inaweza kurekodi maongezi yote au sauti zozote..? Kupiga picha bila kujua na mambo mengine.

Ndio maana aliyekuwa kachero mbobezi wa CIA bwana Edward Snowden alisema moja ya kanuni yake akinunua simu mpya ni kuondoa Camera na pia kudisable Microphone yaan kuikata waya kabisa. pia hata kwa upande wa hizi kompyuta zetu unaweza kuiona kawaida kawaida ila inafanya mambo mengi mnoo bila ww kujua.

Uzuri wa system ikiwa chini yako (Under Control) unaweza ukahamisha kila kitu ukavileta kwenye Pc yako na kujichambulia unataka nini..

Nilihamisha Txt zote, Phone/Dial log yote, na documents zote kasoro picha na videos mara nyingi hazinaga faida sana, isipokuwa kama mtu unamfanyia uchunguzi wa mwenendo wake wa kiusalama zaidi huwa hakiachwi kitu.

Baada ya kuvipata hivyo vitu nilisoma jumbe nyingi nikaja kugundua jamaa ana familia nyingine, pia ana Wanawake wengi tu wengine kawapangishia nyumba, mbaya zaidi ana mishe za kimafia (Sitaziweka wazi).

Basi, niliandaa folder nikaliencrypt vizuri na kutunza nyaraka za muhimu humo, huku nikijipa matumaini ya ushindi wa hii ishu.

Baada ya siku kadhaa Jamaa alirudi Tz, akawa anaendelea na harakati zake huku akiacha kabisa kumpeleka Mkewe kazini kama mwanzo (Alikuwa bize sana). Mkewe nae akawa free kiufupi jamaa alivyorudi alibadirika na kumuacha mkewe awe huru kama mwanzo.

Bidada aliforce tuonane na mie bila hiyana nilimkubalia, na hiyo siku ilikuwa siku ya kazi baada ya yeye kutoka kazini tulipanga tuonane pale Lumumba Grill.. tupate Sekela maana na mie nilikuwa maeneo hayo siku hiyo.

Story zilinoga maongezi mengi na mipango mingi, ingawa nilimsihi sana asitoe ujauzito niliompa maana ninaham sana ya Mtoto.. pia sipendi huo utaratibu. Alinielewa na kunihakikishia hilo.

Muda ulisogea sana ilikaribia saa 4 kasoro ndio akaanza kutoka pale, mie nilienda Mnazi mmoja kama kawaida yangu nikakamata daladala nikaelekea kwangu na yeye alidrive kuelekea kwake. Baada ya kufika nyumbani alikuta Mumewe kasharudi na kavimba kama kiboko.. kwa maelezo yake ni kwamba alipita kazini kwake siku hiyo hakuikuta ile gari pale nje, aliuliza walinzi wakasema ameshaondoka, Mume wake hakumpigia simu alinyoosha nyumbani na huko hakumkuta akasema atulie labda foleni.. ila kwa ule muda ni dhahiri alikuwa kapitia sehemu.

Jamaa hakutaka kuelewa ni matusi na mabishano ndani, na Mwanamke tena akiwa kakuchoka ni mbaya zaidi, akamjibu vibaya basi jamaa hakujiuliza mara mbili alimpiga sana mpaka kuzimia. Yaliendelea mambo mengi hapo kati ila mie nilikuja kujua baada ya kuona baadhi ya text anazotuma yule Jamaa kwa rafiki zake kwamba mkewe amelazwa anaumwa na mambo kama hayo.

Nilipata alert. sasa ni mke yupi ? maana jamaa inaonesha ana Mke mwingine nje ya yule pia ana Wanawake wengine. Nilifatilia kwa ukaribu nikabaini ni yule yule ambae anaishi nae. Akili iliniruka sana imekuaje ghafla kalazwa?.

Wiki nzima sina Amani na Jamaa mawasiliano ya simu hasa upande wa Sms za kawaida alipunguza, na kwa nature ya udukuz wangu kuingia ndani ya 3rd party app kama whatsapp ni ngumu kutokana na app privileges. Ilibidi niwe mpole na kufatilia baadhi ya maongezi na txt kadhaa.. sikupata kitu. Nikawa nawasi wasi zaidi.

Nitajua vipi yule Mwanamke kalazwa hospital ipi na kwa ishu gani? Maana nilikuwa napata text tuu ila kusikiliza mawasiliano ilikuwa ngumu.

kitu kingine ni kwamba huu udukuzi unategemea Internet, hivyo akizima data sipati kitu, na mara nyingi alikuwa anafanya hivyo anazimq zima data so nikawa nachelewa kupata taarifa za msingi, na kwa haraka.
Nilichofanya ni kumvizia siku kawasha data muda mrefu na kuingia ktk mfumo wa mipangilio ya mawasiliano kumwelekeza kibra, kuna kitu kinaitwa Call divertion.

Ni hivi: Kuna settings nyingi zipo ndani yake ila ipo moja ambayo unaipa sharti kwamba simu ikipigwa na hiyo simu yako kama haipo hewani basi ielekeze hiyo simu (Incoming calls) kwenye namba fulani. Same applies ikiwa unatumika/busy basi simu nyingine itaita kwenye number fulani ambayo umeiingiza au isajili kule kwenye settings. Pia kuna secret codes ambazo inafanya Call duplication yani itaita kwako itaita kwa mdukuzi. Ila akipokea mmoja ni kote itaonyesha simu inaongea yaani simu inajipokea, na sauti itachukua kote kwa wakati mmoja. Hii wanatumia sana Majasusi wa Kisiasa or Mapenzi...

Nimechoka kuandika.. nitaendelea.
Ahsante,
 
Inaendelea..
Rayns mawardat Tiffay MIRA01 Aaliyyah Statics
Baada ya wiki kadhaa kupita kumbukumbu zangu zinaniambia kwamba nilipata likizo fupi maana chuo wanafunzi walikuwa wamerudi nyumbani, mie kama mtu wa part time nilizidi kuwa free nikienda ni kwa ishu technical or short courses zile za computer. Si unajua tena mjini maokoto.

Nilipata muda zaidi wa kufatilia mawasiliano ya yule Jamaa, niliona mambo mengi sana na reports ambazo ni very confidential.. za wakuu wenzie etc.. na kutokana na hilo nikaona na mie nizidownload kwangu so nikawa na export file moja moja hasa nililoona ni potential. Jamaa alikuwa mshenzi sana maana hadi porn alikuwa anazo tena zile HD.

Nilikuwa na changamoto kidogo juu ya namna gani naweza pata access ya simu yake, hapa niwaweke wazi tu security features za Iphone zipo very strong compared na hizi Androids but haikupi guarantee kwamba eti ukiwa na Iphone huwezi kudukuliwa.. hapana. Wembe ni ule ule.

Huyu jamaa bahati nzuri alikuwa anatumia Android so sikupata kazi kubwa sana.. nilijuaje?.

Ni hivi: kama mtakumbuka wakati wa kuchunguza picha na kubaini details mbalimbali pale ndipo niligundua jamaa anatumia kifaa gani. Haijalishi hivyo tu, hizi simu zikiwa zipo na umeme na zipo standby basi muda wote zinawasiliana.

Ndio. Simu inawasiliana muda wote hata kama umeiweka hapo ukalock screen ila bado itaendelea kuwasiliana. Inawasiliana na minara, pia inawasiliana na device zote zilizokaribu yake. Naaam. Kaa ukilijua hilo kama ulikuwa hujui hapo kabla.

Sasa, kutokana na kuifanya Computer ya Jamaa kuwa ni Mzimu/Zombie hatua iliyofata ni kuitumikisha. Sawa na mchawi akikugeuza Ndondocha/Msukule anakufanya anavyotaka.. naaam.

Naomba nizungumzie kitu hapa.

Usiwe mtu wa kuacha simu yako ikiwa na utayari wa kuingiliwa. (Namaanisha nini?) Simu ukiacha Bluetooth on, Wi-Fi on, Location on.. etc tyr umeipa ruhusa ya kuingiliwa, ni kama mwanamke vile aliyetepeta kwa ulenda akisubiri kushughulikiwa tu.

Tuendelee..

Sasa, jamaa Simu yake nafkiri alikuwa ameiconnektia Bluetooth sijui alikuwa anaskiliza mziki kwa earpods or else.. ila ports za Bluetooth zilikuwa wazi. Nilichofanya ni kutengeneza Payload kupitia Computer yangu na kuinject kwenye ile system ya Computer ya Jamaa. Then nikaiamrisha iwe inafanya majaribio ya mara kwa mara (Retrial) mpaka shell ifanye binding. nakumbuka nilitumia siku nne bila mafanikio mpaka siku iliyokuja kukubali maana kulikuwa hakuna njia nyingine.

Basi, huku siku zinazidi kusogea bila mawasiliano na yule Dada, nikaamua niirudishie ile Moderm kwenye Pc nimtafute, nilimcheck kwa text moja zikajibiwa sita.

Kati ya hizo hakuna ya salamu, ni matusi na makasiriko meengi. Nilisoma zile txt, na kumjibu asiwe na wasiwasi anisikilize na tushauriane nini cha kufanya, maana bila shaka ni mjamzito tayari. Na anachohofia ni jamaa akirudi amkute ana huo ujauzito. Maana hakuwepo Mwezi mzima je wakienda kupima hospitalini na kuonesha kuwa ina umri wa mwezi na hakuwepo mjini? Na Bidada kutoa Mimba hataki.

Mie pia maswala ya kutoa Mimba siyaafiki, nikamwambia atulie na siku tuonane tuongee, aliniuliza lini? Nikamwambia atulie nitamjulisha. Ikaishia hivyo.

Huku tayari nishafanikiwa kupata access ila kwa ugumu kiasi kutokana na njia niliyotumia ni ngumu na kufanikiwa kwake ni asilimia chache ila uzuri bahati ilikuwa upande wangu, niliingiza/kupitisha mipangilio mbalimbali na kuiunga Simu yake katika ulimwengu wa Misukule ya kielectroniki.

Je unajua kwamba hata simu ukiacha hapo mezani na kuondoka kama imedukuliwa inaweza kurekodi maongezi yote au sauti zozote..? Kupiga picha bila kujua na mambo mengine.

Ndio maana aliyekuwa kachero mbobezi wa CIA bwana Edward Snowden alisema moja ya kanuni yake akinunua simu mpya ni kuondoa Camera na pia kudisable Microphone yaan kuikata waya kabisa. pia hata kwa upande wa hizi kompyuta zetu unaweza kuiona kawaida kawaida ila inafanya mambo mengi mnoo bila ww kujua.

Uzuri wa system ikiwa chini yako (Under Control) unaweza ukahamisha kila kitu ukavileta kwenye Pc yako na kujichambulia unataka nini..

Nilihamisha Txt zote, Phone/Dial log yote, na documents zote kasoro picha na videos mara nyingi hazinaga faida sana, isipokuwa kama mtu unamfanyia uchunguzi wa mwenendo wake wa kiusalama zaidi huwa hakiachwi kitu.

Baada ya kuvipata hivyo vitu nilisoma jumbe nyingi nikaja kugundua jamaa ana familia nyingine, pia ana Wanawake wengi tu wengine kawapangishia nyumba, mbaya zaidi ana mishe za kimafia (Sitaziweka wazi).

Basi, niliandaa folder nikaliencrypt vizuri na kutunza nyaraka za muhimu humo, huku nikijipa matumaini ya ushindi wa hii ishu.

Baada ya siku kadhaa Jamaa alirudi Tz, akawa anaendelea na harakati zake huku akiacha kabisa kumpeleka Mkewe kazini kama mwanzo (Alikuwa bize sana). Mkewe nae akawa free kiufupi jamaa alivyorudi alibadirika na kumuacha mkewe awe huru kama mwanzo.

Bidada aliforce tuonane na mie bila hiyana nilimkubalia, na hiyo siku ilikuwa siku ya kazi baada ya yeye kutoka kazini tulipanga tuonane pale Lumumba Grill.. tupate Sekela maana na mie nilikuwa maeneo hayo siku hiyo.

Story zilinoga maongezi mengi na mipango mingi, ingawa nilimsihi sana asitoe ujauzito niliompa maana ninaham sana ya Mtoto.. pia sipendi huo utaratibu. Alinielewa na kunihakikishia hilo.

Muda ulisogea sana ilikaribia saa 4 kasoro ndio akaanza kutoka pale, mie nilienda Mnazi mmoja kama kawaida yangu nikakamata daladala nikaelekea kwangu na yeye alidrive kuelekea kwake. Baada ya kufika nyumbani alikuta Mumewe kasharudi na kavimba kama kiboko.. kwa maelezo yake ni kwamba alipita kazini kwake siku hiyo hakuikuta ile gari pale nje, aliuliza walinzi wakasema ameshaondoka, Mume wake hakumpigia simu alinyoosha nyumbani na huko hakumkuta akasema atulie labda foleni.. ila kwa ule muda ni dhahiri alikuwa kapitia sehemu.

Jamaa hakutaka kuelewa ni matusi na mabishano ndani, na Mwanamke tena akiwa kakuchoka ni mbaya zaidi, akamjibu vibaya basi jamaa hakujiuliza mara mbili alimpiga sana mpaka kuzimia. Yaliendelea mambo mengi hapo kati ila mie nilikuja kujua baada ya kuona baadhi ya text anazotuma yule Jamaa kwa rafiki zake kwamba mkewe amelazwa anaumwa na mambo kama hayo.

Nilipata alert. sasa ni mke yupi ? maana jamaa inaonesha ana Mke mwingine nje ya yule pia ana Wanawake wengine. Nilifatilia kwa ukaribu nikabaini ni yule yule ambae anaishi nae. Akili iliniruka sana imekuaje ghafla kalazwa?.

Wiki nzima sina Amani na Jamaa mawasiliano ya simu hasa upande wa Sms za kawaida alipunguza, na kwa nature ya udukuz wangu kuingia ndani ya 3rd party app kama whatsapp ni ngumu kutokana na app privileges. Ilibidi niwe mpole na kufatilia baadhi ya maongezi na txt kadhaa.. sikupata kitu. Nikawa nawasi wasi zaidi.

Nitajua vipi yule Mwanamke kalazwa hospital ipi na kwa ishu gani? Maana nilikuwa napata text tuu ila kusikiliza mawasiliano ilikuwa ngumu.

kitu kingine ni kwamba huu udukuzi unategemea Internet, hivyo akizima data sipati kitu, na mara nyingi alikuwa anafanya hivyo anazimq zima data so nikawa nachelewa kupata taarifa za msingi, na kwa haraka.
Nilichofanya ni kumvizia siku kawasha data muda mrefu na kuingia ktk mfumo wa mipangilio ya mawasiliano kumwelekeza kibra, kuna kitu kinaitwa Call divertion.

Ni hivi: Kuna settings nyingi zipo ndani yake ila ipo moja ambayo unaipa sharti kwamba simu ikipigwa na hiyo simu yako kama haipo hewani basi ielekeze hiyo simu (Incoming calls) kwenye namba fulani. Same applies ikiwa unatumika/busy basi simu nyingine itaita kwenye number fulani ambayo umeiingiza au isajili kule kwenye settings. Pia kuna secret codes ambazo inafanya Call duplication yani itaita kwako itaita kwa mdukuzi. Ila akipokea mmoja ni kote itaonyesha simu inaongea yaani simu inajipokea, na sauti itachukua kote kwa wakati mmoja. Hii wanatumia sana Majasusi wa Kisiasa or Mapenzi...

Nimechoka kuandika.. nitaendelea.
Tamu
 
babu 10k?labda demu akupende mwenyewe tu sio kwaajili ya tembo!
kuna madem/wanawake wako vizuri kila idara.kuandika no kwa hela anaweza ona umechukulia poa.

kuna kila njia ya kudeal na kila mwanamke.

kuandika no kwenye tembo(10k) hawa uswazi take away/average.
Sure kaka kila windo kuna namna ya kulipata.
 
Kujilinda ni muhimu sana iwe physical (hardware) or software ndio maana taasisi zina miundo ya Kujilinda na wananunua hizo facilities kwa gharama kubwa.
[emoji134][emoji134] Eti unaenda kavu kavu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wewe una hatari sana yaani ni sawa kwenda kugonga mtu mwenye VVU kavu kavu na unajua kabisa . Usije jaribu kuingia kwenye taasisi za kifeza au nyeti eti kwa kutumia KALI utaonekana mapema hata dakika mbili nyingi.
KALI ikusaidie kuandika codes na kujua open port kwenye SYSTEM (Servers) ambazo zitakuwezesha kuingia kwenye mfumo na kufanya vitu vyako na kuondoka.

TUNAOMBA MWENDELEZO WA STORY nimejikuta naandika yaliyo nje ya mada kwa kuwa umenigusa, UNETHICAL HACKER
Naona white hat hacker umepokea kijiti nawewe[emoji23][emoji23] tukimbize baba
 
Okay, wewe endelea na story yako watu waburudike.

NB Tanzania ya saivi sio ya zamani kukamatwa UNAWEZA kukamatwa ukitumia kavu kavu na Kali, labda ulivyo sema ume developer tools zako na technology ni pana na inakuwa kila dakika.
hivi wewe ukiwa administrator wa server huwezi jua kuwa kuna mtu kaingia kwenye server yako?
Mkuu kujulikana inawezekana lakini inategemea na activity ambazo jamaa anafanya kwenye hiyo system, kuna logs ambazo huwa zna keep tracks ya activity za user, endapo jamaa hajafanua kitu abnormal sio rahis kwa admin kuweza notice unless afanye kitu suspicious kwa admin ndio ajue
 
Inaendelea..
Rayns mawardat Tiffay MIRA01 Aaliyyah Statics
Baada ya wiki kadhaa kupita kumbukumbu zangu zinaniambia kwamba nilipata likizo fupi maana chuo wanafunzi walikuwa wamerudi nyumbani, mie kama mtu wa part time nilizidi kuwa free nikienda ni kwa ishu technical or short courses zile za computer. Si unajua tena mjini maokoto.

Nilipata muda zaidi wa kufatilia mawasiliano ya yule Jamaa, niliona mambo mengi sana na reports ambazo ni very confidential.. za wakuu wenzie etc.. na kutokana na hilo nikaona na mie nizidownload kwangu so nikawa na export file moja moja hasa nililoona ni potential. Jamaa alikuwa mshenzi sana maana hadi porn alikuwa anazo tena zile HD.

Nilikuwa na changamoto kidogo juu ya namna gani naweza pata access ya simu yake, hapa niwaweke wazi tu security features za Iphone zipo very strong compared na hizi Androids but haikupi guarantee kwamba eti ukiwa na Iphone huwezi kudukuliwa.. hapana. Wembe ni ule ule.

Huyu jamaa bahati nzuri alikuwa anatumia Android so sikupata kazi kubwa sana.. nilijuaje?.

Ni hivi: kama mtakumbuka wakati wa kuchunguza picha na kubaini details mbalimbali pale ndipo niligundua jamaa anatumia kifaa gani. Haijalishi hivyo tu, hizi simu zikiwa zipo na umeme na zipo standby basi muda wote zinawasiliana.

Ndio. Simu inawasiliana muda wote hata kama umeiweka hapo ukalock screen ila bado itaendelea kuwasiliana. Inawasiliana na minara, pia inawasiliana na device zote zilizokaribu yake. Naaam. Kaa ukilijua hilo kama ulikuwa hujui hapo kabla.

Sasa, kutokana na kuifanya Computer ya Jamaa kuwa ni Mzimu/Zombie hatua iliyofata ni kuitumikisha. Sawa na mchawi akikugeuza Ndondocha/Msukule anakufanya anavyotaka.. naaam.

Naomba nizungumzie kitu hapa.

Usiwe mtu wa kuacha simu yako ikiwa na utayari wa kuingiliwa. (Namaanisha nini?) Simu ukiacha Bluetooth on, Wi-Fi on, Location on.. etc tyr umeipa ruhusa ya kuingiliwa, ni kama mwanamke vile aliyetepeta kwa ulenda akisubiri kushughulikiwa tu.

Tuendelee..

Sasa, jamaa Simu yake nafkiri alikuwa ameiconnektia Bluetooth sijui alikuwa anaskiliza mziki kwa earpods or else.. ila ports za Bluetooth zilikuwa wazi. Nilichofanya ni kutengeneza Payload kupitia Computer yangu na kuinject kwenye ile system ya Computer ya Jamaa. Then nikaiamrisha iwe inafanya majaribio ya mara kwa mara (Retrial) mpaka shell ifanye binding. nakumbuka nilitumia siku nne bila mafanikio mpaka siku iliyokuja kukubali maana kulikuwa hakuna njia nyingine.

Basi, huku siku zinazidi kusogea bila mawasiliano na yule Dada, nikaamua niirudishie ile Moderm kwenye Pc nimtafute, nilimcheck kwa text moja zikajibiwa sita.

Kati ya hizo hakuna ya salamu, ni matusi na makasiriko meengi. Nilisoma zile txt, na kumjibu asiwe na wasiwasi anisikilize na tushauriane nini cha kufanya, maana bila shaka ni mjamzito tayari. Na anachohofia ni jamaa akirudi amkute ana huo ujauzito. Maana hakuwepo Mwezi mzima je wakienda kupima hospitalini na kuonesha kuwa ina umri wa mwezi na hakuwepo mjini? Na Bidada kutoa Mimba hataki.

Mie pia maswala ya kutoa Mimba siyaafiki, nikamwambia atulie na siku tuonane tuongee, aliniuliza lini? Nikamwambia atulie nitamjulisha. Ikaishia hivyo.

Huku tayari nishafanikiwa kupata access ila kwa ugumu kiasi kutokana na njia niliyotumia ni ngumu na kufanikiwa kwake ni asilimia chache ila uzuri bahati ilikuwa upande wangu, niliingiza/kupitisha mipangilio mbalimbali na kuiunga Simu yake katika ulimwengu wa Misukule ya kielectroniki.

Je unajua kwamba hata simu ukiacha hapo mezani na kuondoka kama imedukuliwa inaweza kurekodi maongezi yote au sauti zozote..? Kupiga picha bila kujua na mambo mengine.

Ndio maana aliyekuwa kachero mbobezi wa CIA bwana Edward Snowden alisema moja ya kanuni yake akinunua simu mpya ni kuondoa Camera na pia kudisable Microphone yaan kuikata waya kabisa. pia hata kwa upande wa hizi kompyuta zetu unaweza kuiona kawaida kawaida ila inafanya mambo mengi mnoo bila ww kujua.

Uzuri wa system ikiwa chini yako (Under Control) unaweza ukahamisha kila kitu ukavileta kwenye Pc yako na kujichambulia unataka nini..

Nilihamisha Txt zote, Phone/Dial log yote, na documents zote kasoro picha na videos mara nyingi hazinaga faida sana, isipokuwa kama mtu unamfanyia uchunguzi wa mwenendo wake wa kiusalama zaidi huwa hakiachwi kitu.

Baada ya kuvipata hivyo vitu nilisoma jumbe nyingi nikaja kugundua jamaa ana familia nyingine, pia ana Wanawake wengi tu wengine kawapangishia nyumba, mbaya zaidi ana mishe za kimafia (Sitaziweka wazi).

Basi, niliandaa folder nikaliencrypt vizuri na kutunza nyaraka za muhimu humo, huku nikijipa matumaini ya ushindi wa hii ishu.

Baada ya siku kadhaa Jamaa alirudi Tz, akawa anaendelea na harakati zake huku akiacha kabisa kumpeleka Mkewe kazini kama mwanzo (Alikuwa bize sana). Mkewe nae akawa free kiufupi jamaa alivyorudi alibadirika na kumuacha mkewe awe huru kama mwanzo.

Bidada aliforce tuonane na mie bila hiyana nilimkubalia, na hiyo siku ilikuwa siku ya kazi baada ya yeye kutoka kazini tulipanga tuonane pale Lumumba Grill.. tupate Sekela maana na mie nilikuwa maeneo hayo siku hiyo.

Story zilinoga maongezi mengi na mipango mingi, ingawa nilimsihi sana asitoe ujauzito niliompa maana ninaham sana ya Mtoto.. pia sipendi huo utaratibu. Alinielewa na kunihakikishia hilo.

Muda ulisogea sana ilikaribia saa 4 kasoro ndio akaanza kutoka pale, mie nilienda Mnazi mmoja kama kawaida yangu nikakamata daladala nikaelekea kwangu na yeye alidrive kuelekea kwake. Baada ya kufika nyumbani alikuta Mumewe kasharudi na kavimba kama kiboko.. kwa maelezo yake ni kwamba alipita kazini kwake siku hiyo hakuikuta ile gari pale nje, aliuliza walinzi wakasema ameshaondoka, Mume wake hakumpigia simu alinyoosha nyumbani na huko hakumkuta akasema atulie labda foleni.. ila kwa ule muda ni dhahiri alikuwa kapitia sehemu.

Jamaa hakutaka kuelewa ni matusi na mabishano ndani, na Mwanamke tena akiwa kakuchoka ni mbaya zaidi, akamjibu vibaya basi jamaa hakujiuliza mara mbili alimpiga sana mpaka kuzimia. Yaliendelea mambo mengi hapo kati ila mie nilikuja kujua baada ya kuona baadhi ya text anazotuma yule Jamaa kwa rafiki zake kwamba mkewe amelazwa anaumwa na mambo kama hayo.

Nilipata alert. sasa ni mke yupi ? maana jamaa inaonesha ana Mke mwingine nje ya yule pia ana Wanawake wengine. Nilifatilia kwa ukaribu nikabaini ni yule yule ambae anaishi nae. Akili iliniruka sana imekuaje ghafla kalazwa?.

Wiki nzima sina Amani na Jamaa mawasiliano ya simu hasa upande wa Sms za kawaida alipunguza, na kwa nature ya udukuz wangu kuingia ndani ya 3rd party app kama whatsapp ni ngumu kutokana na app privileges. Ilibidi niwe mpole na kufatilia baadhi ya maongezi na txt kadhaa.. sikupata kitu. Nikawa nawasi wasi zaidi.

Nitajua vipi yule Mwanamke kalazwa hospital ipi na kwa ishu gani? Maana nilikuwa napata text tuu ila kusikiliza mawasiliano ilikuwa ngumu.

kitu kingine ni kwamba huu udukuzi unategemea Internet, hivyo akizima data sipati kitu, na mara nyingi alikuwa anafanya hivyo anazimq zima data so nikawa nachelewa kupata taarifa za msingi, na kwa haraka.
Nilichofanya ni kumvizia siku kawasha data muda mrefu na kuingia ktk mfumo wa mipangilio ya mawasiliano kumwelekeza kibra, kuna kitu kinaitwa Call divertion.

Ni hivi: Kuna settings nyingi zipo ndani yake ila ipo moja ambayo unaipa sharti kwamba simu ikipigwa na hiyo simu yako kama haipo hewani basi ielekeze hiyo simu (Incoming calls) kwenye namba fulani. Same applies ikiwa unatumika/busy basi simu nyingine itaita kwenye number fulani ambayo umeiingiza au isajili kule kwenye settings. Pia kuna secret codes ambazo inafanya Call duplication yani itaita kwako itaita kwa mdukuzi. Ila akipokea mmoja ni kote itaonyesha simu inaongea yaani simu inajipokea, na sauti itachukua kote kwa wakati mmoja. Hii wanatumia sana Majasusi wa Kisiasa or Mapenzi...

Nimechoka kuandika.. nitaendelea.
Wooooooooooooyoooooooooooooooooo
 
Back
Top Bottom