Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
- Thread starter
- #641
Counter attack..Kwamba design and building
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Counter attack..Kwamba design and building
Bora umesema maana miye yalinilikaba hadi nimesukumizia maji ya kandoro.We njaa kali tu huna busines card wala nini
Dah..Bora umesema maana miye yalinilikaba hadi nimesukumizia maji ya kandoro.
Haya ngoja nijaribu, pia nimekutumia ujumbe angaliaKuitumia itakuumiza akili 😅, tafuta Rubber Ducky OG atleast ni plug and play..
Shida gani tena?Part 2:
Nilikuwa Samaki Samaki pale Mlimani City.
Napiga maji, ghafla nikaona Chuma kikali sijapata kuona aisee ubaya alikuwa na Boyfriend/Mume wake.
Basi nikamlia timing wakati wa kwenda Washroom nimfate huko huko (Mazingira ya pale kwa upande wa Washroom kuna Distance kubwa).
Basi kweli bhana Manzi akajipindua kuelekea Washroom na mimi nikaunga Tela, tulivyokunja kona tu ya kuingia corridor la choooni nikamshtua, akasimama nikamwomba namba akasema yeye ameisahau kama vipi nimpe yangu, basi akanipa simu yake nimuandikie Namba yangu..
Kumbe nyuma Bwana ake anakuja na yeye tyr kashanipa simu yake ndio niandike namba nashangaa Manzi kageuka chap kakimbilia choo cha wanawake. Mie nikawa nimesimama tu sielewi nini kinaendelea ila kwa kuwa nimesoma CUBA sikugeuka ila nikapiga jicho kwenye kioo (Reflection) nikaona mjuba anakuja ila bahati nzuri na yeye alikuwa anatembea huku anachat so hakuona tukio la mbele.
Sasa simu ninayo ya yule Manzi namrudishiaje??.. 🤣
Na jamaa kumbe alikuja kumsubir kule kule kwenye Corridor la Washroom ili arudi naye.
Mie nikajipindua Choo cha kiume kama Kawaida nikazuga zuga pale, Dem akatoka akanipa ishara ya nitulie huko huko.
Basi jamaa akarudi naye Mpaka walipokuwa wamekaa. Mie nikatoka baadae kurudi ktk meza yangu, nikamuita mhudumu mmoja hivi (Best yangu) nikamwambia nenda pale idondoshe hii simu miguuni (Mapajani) kwa yule Dada pale then uje kuna Zawadi yako hapa..
Mhudumu hakusita, alifanya hivyo na yule Dada aliiokota simu yake then.. tukaendelea kuwasiliana pale pale...
Huyu aliniletea shida sana.. mpaka nikawa naishi kama Mwizi.
Received..Haya ngoja nijaribu, pia nimekutumia ujumbe angalia