Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Kuna jamaa aliomba namba bila TAHADHARI aliwashiwa moto kwenye Daladala mpaka akashuka kituo sio chake..

Kuna jinsi ya kushambulia huku unajilinda.

"Attacking while Defending"
Kuna dogo wa elfu mbili alimuomba namba mdada wa 90 hivi ilikua kwenye daladala. Dada aliwaka "we si mwanangu wa kumzaa kabisa halafu unanletea mambo ya ushetani..." huku wanashikana wazichape hadi wakamlalia dereva maana walikaa siti za mbele.
Abiria wanapiga kelele "nyiee wasng mkapiganie nje mtatuua."..
 
Kuna jamaa aliomba namba bila TAHADHARI aliwashiwa moto kwenye Daladala mpaka akashuka kituo sio chake..

Kuna jinsi ya kushambulia huku unajilinda.

"Attacking while Defending"
Mi huwa natumia staili ya kumuheshimu mpinzani huwa sikabii juu ila namba napata.
 
Inaendelea
Rayns mawardat Tiffay Aaliyyah MIRA01 Statics


Baada ya kukusanya taarifa (Information harvesting) nilifanya processing na kuanda roadmap ya kunifikisha katika hitimisho la hili swala kwa kutumia umakini na akili ya hali ya juu.. nilifanyaje?

Ilipita muda kidogo, sikumbuki exactly ni siku ngapi ila ni kati ya mwezi au mwezi na nusu, yule Dada alipona na kurejea kwa Mumewe akiwa na hasira sana, pia Mumewe nae alikuwa na maswali kichwani kuhusu hiyo Mimba iliyotoka na kwanini alifichwa kama anaujauzito. Walienndelea na vikao kadhaa vya kifamilia ili kusuluhisha migogoro yao na lile jambo lisitokee tena. Kuna siku yule Dada alinitafuta kunijulia hali, niliongea nae mambo mengi sana kisha nikamuomba kama hatojali nionane nae.

Nakumbuka ilikuwa weekend aliomba ruhusa kwamba anaenda kwao (Ni maeneo ya Temeke), pia aliomba mumewe amsindikize, na kweli Mume wake waliongozana nae mpaka huko ukweni. Mie nilikuwa tayari nishaplan mishen yangu ya kuonana nae bila kuacha tracing points.

Baada ya kufika walikaa kidogo, Jamaa akaondoka ( Mama wa yule Dada alikuwa bado na kinyongo so jamaa kukaa muda mrefu pale ilikuwa ni ngumu), yule Dada alinitafuta na kuniambia tayari yupo kwao na Mume wake kashaondoka, nimtajie location tukutane.

Nilimwambia atulie kwanza ntamjulisha nilipo ila utaratibu ni ule ule aje kama alivyo asibebe yale niliyomkataza. Kweli na mie nilikuwa nipo sehemu tulivu na Pc yangu nikaingia katika mfumo, nikaona Jamaa yupo kinondoni anaitafuta Morocco nikajua moja kwa moja anaenda kwa Mke wake yule mwingine. basi nilizidi kuwa huru.. kutokana na maelekezo niliyompa yule Dada hakuchukua muda mrefu nae alifika exactly nilipomwambia afike, nilimfata na kuondoka nae lile eneo na kusogea eneo jingine.

Nilimuuliza nyumbani kaagaje? Aliniambia kuwa ameshamweleza Mama yake kila kitu kuhusu Mimi na kipi kinaendelea, maana Mama mtu alimbana aseme ukweli chanzo cha ugomvi pia kuhusu swala la Ujauzito kwanini hata yeye Mama mtu alifichwa? hivyo iliweka mashaka na maswali mengi ambayo ilipelekea kumbana aseme ukweli. Basi mie sikuwa na neno maana najua vifua vya Wanawake kwenye kutunza mambo mazito ni shida sana.

Tulispend muda mwingi kuongea mambo tofauti tofauti, muda huo nawaza naanzaje kumweleza yale niliyoyapanga kumweleza, nilimzuia kutumia alcohol ili awe na akili timamu tukiwa tunaongea, alinishangaa kwanini hiyo siku nimekuwa serious sana. nilimuuliza maswali mengi ila kubwa ni kuhusu Mume wake. Je ana Mke mwingine? aliniangalia na kuniona kama chizi vile yaani kivipi nauliza swali kama lile wakati yeye anavyohisi ni kwamba yupo mwenyewe tu. Nilimuuliza tena kama labda anahisi ana Wanawake au Mwanamke mwingine? akaniambia hilo swwala kwa Mume wake halipo, Mume wake ni mwaminifu sana. Alinirudishia swali kwanini nauliza hivyo? Mie sikuongea sana kwa kuwa nina Mkeka wangu nishauandaa nilimpa PC ajionee yeye Mwenyewe. Alikodoa macho palee nikaona anatetemeka tu mwili, mie muda huo nipo busy naangalia TV.

Nakumbuka yule Dada alikuwa kama kapata stroke... au kama mtu aliyepigwa shoti jinsi anavyotulia.. eeh. Nilimuita kama mara tatu hivi mpaka nikaamua kumtingisha ndipo alianza kulia sasa kama kuna msiba. Muda huo nilikuwa nimechukua room hotelini so haikuwa sehemu ya wazi. Nilimbembeleza sana.. hakunielewa akawa anasema lazima afe yeye au afe mume wake. Mie nilimbembeleza sana.. kuna muda ikabidi nimuache tu alie akichoka tukae tuongee. (Hapa ndio plan yangu nilitaka niingize).

Kweli, baada ya muda alitulia na kuniangalia tu, nilimuuliza kama yupo tayari niongee nae kitu cha msingi na nini cha kufanya kwa wkati huo. Aliniitikia kwa kichwa tu.

PLAN yangu ni hii:
Kwa kuwa Jamaa ameniharibia sana mambo yangu na Amani ya maisha yangu, vile vile alitaka kunidhuru bila kosa lolote lile hapo awali basi na mimi ni muda wangu wa kulipa kisasi, pia ni muda wa kumaliza hili swala mimi nibaki na Amani na yeye abaki na Amani (Kama ataenda sawa na yale nayoyataka).

1- Bank Details ninazo: hizi niliplan kumhamishia hela zote yule Dada kama itawezekana.
2- Nilipanga kumtumia yule Jamaa encrypted file (with the same passowrd alizokuwa anatumia ku decrypt zile picha) lenye ujumbe wangu kumwambia kila kitu alichokuwa anafanya nimekiona na najua na ushahidi ninao, aamue kusuka au kunyoa. Aache kunifatilia au nimuanike hadharani.
3- Akae akijua Mke wake tayari anajua kila kitu kuhusu yule Mke wake na watoto wake ambao hakutaka wajulikane, pamoja na wanawake wengine anaolala nao na kuwapangia nyumba maeneo tofauti tofauti.

Kwanini Hela zote nimuwekee yule Dada?
Binafsi sikutaka kabisa kujihusisha na fedha za yule Jamaa, pia nilikuwa na uhakika kabisa ile Ndoa ingekufa tu, hizo fedha zingemsaidia huyu Dada kuendelea na Maisha yake mapya huko mbeleni.

Nilihamishaje Fedha?
Katika ulimwengu wa mtandao kuna njia nyingi za kuhamisha fedha, ingawa ni hatari na ni rahisi sana kukamatwa au kubainika pia ni ngumu kuhamisha kiasi kikubwa cha fedha kwa wakati mmoja, mbinu niliyotumia ni kununua bank cards kwenye black market, nakumbuka nilinunua yenye currency ya USD only. nilinunua cards (accounts) mbili. kisha nikaingia kwenye bank ya jamaa na kuset automation ya transfer ya pesa. yes kuna Bank zina offer money transfer automation.

hii ni nini? Mfano una kampuni ina vibarua 20 kila siku inatakiwa uwe unawalipa kwa siku au kwa saa, hii ni usumbufu kuingia na kuwa unalipa mtu mmoja mmoja, so kwa kutumia feature ya Money transfer automation ni kwamba unafeed taarifa za account husika then unaset time frame, system inakuwa inatuma fedha kwa kiwango ulichoset kwenda kwenye account uliyoweka na kwa muda ulioelekeza, uzuri accounts zake zote zilikuwa zina convert currency juu kwa juu through VISA platform.

Niliweka kiwango fulani (Sitakitaja), hela zikawa zinaingia kwenye zile fake Bank accounts kwa muda wa siku mbili mfululizo.

Kwanini hajagundua mapema?
Ukiwa unatumia Monetary apps mfano hizi Banking apps unaweza kuingia kwenye mpangilio wa app na kuipunguzia baadhi ya fetures, mfano unaweza kuondoa notification feature.. yes, mtu/mhusika anakuwa hapati taarifa za uwizi au transactions zinazokuwa zinaendelea, mbili hizi apps haziruhusu kutumika katika simu mbili.. ni kwenye simu moja tu ambayo umeregister ndio itafungua (Ikiwa ni active session). kuna njia ya kuingia kwenye root folder la OS ya Simu husika na kufanya IMEI Dead recorn technique, jambo ambalo IMEI inapachikwa fake kwa muda so app ya Bank haitofungua session maana itataamua/kubaini kuwa hiyo Simu ni nyingine na sio ile simu iliyokuwa registered hapo mwanzo (System fooling).

Pia kuna njia nyingine nyingi kuandika sitamaliza leo, baasi baada ya kufanya hayo yote na kiwango nilichotarget kikiwa kimefanikiwa, nilizitakatisha kwa kuziingiza kwenye bitcoin account then nikawithdraw kwenye account nyingine ambayo nayo ni fake na mwisho kabisa nikaziingiza kwa yule Dada nae sikutumia account yake binafsi alitumia account ya Biashara ya familia yao, nilifanya hivyo ili kuondoa tracing points zote na hakuna ushahidi wowote hapo kati, alinishukuru sana sana, na akawa anasisitiza lazima aachane na yule Jamaa. Mie sikuwa na maoni zaidi ya kumwambia ataamua yeye atakavyotaka ila mie na yeye ndio tushamalizana aendelee na Maisha yake mapya na asifikirie kwamba tunaweza kuwa kama zamani, pia kuonana ni majaaliwa ya Mwenyezi Mungu maana sitataka kabisa kuwepo kwenye maisha yake.

Huku upande wa pili baada ya kutuma ule ujumbe kwa Jamaa hakunijibu siku hiyo hiyo, alikaa wiki nzima na kuniomba nionane nae face to face, Sikukubali kirahisi ila alinisihi sana nionane nae tuzungumze tuyamalize, nilimwelekeza nini anatakiwa kufanya na ni wapi nionane nae, nakumbuka ilibidi nisafiri Morogoro kuna sehemu nilipatarget ndio safe kwangu hata akidhuru basi na yeye hana maisha. tulionana na kuongea mambo mengi ila kuna mambo tuliwekeana makubaliano ambayo sitayaweka wazi. na Ishu yetu iliishia hivyo jamaa yeye anaendelea na mishe zake na mimi naendelea na harakati zangu imepita miaka miwili sasa.

Mwisho.
Uongo mwingi humu,unaangalia sana movies za ma-hackers........kiuhalisia kuhack tena bank sio kazi rahisi
 
Kuna dogo wa elfu mbili alimuomba namba mdada wa 90 hivi ilikua kwenye daladala. Dada aliwaka "we si mwanangu wa kumzaa kabisa halafu unanletea mambo ya ushetani..." huku wanashikana wazichape hadi wakamlalia dereva maana walikaa siti za mbele.
Abiria wanapiga kelele "nyiee wasng mkapiganie nje mtatuua."..
🤣🤣🤣🤣 Daah
 
Tunaendelea...
Rayns mawardat Tiffay Aaliyyah MIRA01 Statics

Baada ya muda wa wiki mbili kupita, nilipokea ujumbe kupitia utaratibu wangu kama kawaida, nilimjua mtuma ujumbe maana ndio mtu niliekuwa nawasiliana nae mara kwa mara, ujumbe ulikuwa mrefu na wa huzuni sana.

Mimba ilitoka kutokana na majanga aliyoyapata, pia aliumia kawaida maeneo ya kichwani na mgongoni kidogo maana wakati anaanguka baada ya kupigwa na kusukumwa alianguka kinyume nyume. Nilimpa pole kwa aliyoyapata na mimi nilipata hasira sana maana mtoto wangu/damu yangu ishapotea kijingajinga tu. Hamna noma, nilimuuliza yupo wapi kwa sasa, aliniambia yupo kwao kwa muda ili apate uangalizi maana hata damu ipo chini anahitaji kula na kupumzika vizuri.

Basi, nilimtakia kila la kheri ktk likizo yake ya kujiuguza. Niliendelea na mambo yangu na kufatilia mawasiliano kwa kila nukta. Bahati mbaya sikuwa nafatilia Emails zake kwa sana kama ninavyofatilia mawasiliano ya kawaida (Private). Nilifanikiwa kunasa namba ya simu ya mke wake mwingine naona huyu ndio mkubwa maana ana watoto watatu alishazaa nae na inaonekana yule mwingine hamjui wala hawajui hao watoto.

Pia, ana nyumba ipo Msasani ndipo anakaa huyu mke wake, kwa kuwa yule mwingine ni mgonjwa anatumia muda mwingi kwenda huko Msasani, nilipata picha na maongezi ya sauti pia hadi nyumba niliijua ilipo maana kuna siku nilikuwa na safari ya huko nikapitia kuiona na nyumba ilipo.

Ni hivi: kupitia ile system ya Track Me ISW Version unaweza kutrack real time location na pia ni wapi target wako anatumia muda mwingi kukaa eneo moja.

So kwenye database inanipa Kule Tabata, inafata Kazini kwake na pia sehem nyingine ni huko Msasani.

Kuna siku nilikuwa nimechoka tu kufanya mambo ya msingi nikaamua kupitia kwenye baadhi ya picha niliziexport kutoka ktk Drive yake hasa ktk folder 📂 la Downloads, nilikutana na picha za porn na videos kama zote pia nikakutana na picha ambazo sikuzielewa.

Kivipi? Kuna picha zilikuwa kama picha tu za ajabu ajabu yaan picha ambazo wewe ukiziona huwezi zielewa ila siku shangaa nikajua tu sometimes kila mtu ana mapendeleo yake.. ila kilichokuja kunishtua ni vitu vifuatavyo.

1- zile picha ni za mfanano yaan zinajirudia rudia

2- Zina KB/Size ndogo yaan picha moja unakuta ina kb 5 au 8.5

3- Jina: hizi picha zilikuwa zinaonyesha kabisa zilikuwa zinaseviwa kwa jina yaan sio kama zile za mwenye website utazidownload tu zikiwa hazina uniformity hizi zina uniformity na zilikuwa na code mwishoni. Mfano (Notice waves Capricorn x001) sasa inayofata unakuta (x001B) kitu ambacho ni mtu anasave kwa maksudi na sio kwamba ni system generated file names.

Nilitumia siku 3 kuzielewa zile picha, nikatoka kapa. Nilirudi katika Downloads nikafatilia zimeshushwa (Downloaded) lini nikaona ni ndani ya siku hizo hizo na siku hiyo ilishushwa moja nyingine.

Nilichofanya nikaingia ktk browser apps nikazama ktk history nikakutana na emails za baadhi ya website ambazo hazina uhusiano na yale niliyoyaona au niliyotaka kuyaona zaidi.

Nilikosa kujua ni wapi exactly chimbuko la hizo picha.

Nilitumia siku nne zingine bila mafanikio na kila siku zinakuja mpya. Niliingia ktk Emails upande wa inbox kuona emails zilizokuja na attachments sikupata kabisa nilichotaka.

Niliumiza kichwa mno, finally nikaamua kuingia ktk utumbo wa System.

Kuna kaelimu kidogo hapa, katika ulimwengu wa Cyber Forensic kuna trick na njia nyingi za kubaini uhalifu au abnormalities, na Operating system (Os) zimeundwa kama mfumo wa Binadamu ulivyo.

Kwa system kama ya Windows kwenye root folder upande wa system32 kwa ndani unakutana na mambo mengi kuna kitu kinaitwa Registry.

Hii Registry ni nini?
Hii aisee inatunza data na mipangilio ya programu za kompyuta, humu ndo zinakaa secret codes na mambo mengine ya msingi sana ya OS. sasa kuna utaalamu wa kuihamisha file la registry kwa kuligawa vipande vipande ili kulifanyia deep analysis.

Baada ya kufanya analysis kupitia Forensic tools mbalimbali nilikuja kujua kuwa jamaa anatumia sana incognito mode. Pia jamaa anafuta futa sana history ya browser na pia jamaa ana VPN mbili. Moja ni ya ofisini na nyingine ni custom made VPN ambayo anakuwa anaitumia mara moja moja sana.

Nilifanya utafiti wangu na kuja kupata hitimisho huyu jamaa hakuwa mtu wa kawaida kabisa.

Kupitia deep analysis kwenye registry files and other config files niliona ni wapi zile picha zilikuwa zinatokea, kuna link ambayo ni temporary email ambayo inakuwa generated automatically, hii link inakuja immediately after kuwasha ile VPN yake then analogin ndipo anapata access ya hiyo portal, pia portal haifunguki mpaka achomeke key, mfano USB Drive au SD Card ambayo imeprogramiwa kwa sababu ya authenticity. Ilinipa kiu zaidi kufahamu zile picha zinamaana gani.

Je wajua kuwa unaweza pandikiza ujumbe/Message ya SIRI ndani ya picha?

Naam kuna utaalam wa kutumia picha na kuipandikizia ujumbe ambao kwa mtu ambae hajaambiwa hawez jua. Ule ujumbe pia huwezi kuusoma mpaka software maalumu ambayo inadecode hiyo information ktk picha, sio hivyo pekee pia unahitajika kuweka password za ku decrypt file lilipandikiziwa ndani ya picha.

Pia unaweza kujibu huo ujumbe na kuirudisha picha kwa aliyekutumia.

Hii njia inatumika na Majasusi au watu wenye mambo ya Siri kupitiliza ikiwemo magaidi pia.

Nilitambua hilo, ingawa nilishindwa kufungua file na kusoma mpaka niwe na codes za kufungulia hilo file (Decryption).

Sasa nilipata kazi tena ya kutumia Akili zaidi kufanikisha hilo, niliwezaje?

Ni hivi: kwa kuwa nina system yake kiganjani, basi nilikaa chini na kuunda Spyware ambayo ni kundi la Keylogger.

Keylogger ni nini?
Huu huwa ni mfumo wa kidukuzi ambao unatumika kucapture/kunyakua kila kinachoandikwa. Mfano akiandika chochote basi huu mfumo unanakili nakusevu ktk format ya txt. Baadae mdukuzi anafatilia patterns na kunyakua taarifa za muhimu kama vile passwords etc.

So mie niliamua kupandikiza hilo dubwana na matokeo niliyaona baada ya wiki, maana alifungua (Decrypt file/Picha) kwa kutumia password. So zilijihifadhi kwenye txt file na mie baadae nilifanikiwa kuzipata na kufungua hizo picha moja baada ya nyingine na kujionea mambo ya kustaajabisha sana.

Sitayaweka yote wazi, ila moja wapo ni Biashara ya Madawa ya kulevya, ambayo alikuwa anashirikiana na baadhi ya wakuu niishie hapo kwenye neno WAKUU.

so kuna mtandao ambao upo very secured pia very sensitive. Huo mtandao wao wanawasiliana wao kwa wao na kwa usiri wa hali ya juu. Nilitunza taarifa zangu pia kwa usiri zaidi na kuamua kuwa mtulivu.
Pia nilibahatika kupata password za Bank zake mbalimbali maana alikuwa anatumia Password Vault ya Microsoft.

Baada ya hayo yote nilisubiri muda muafaka wa kuamua nini cha kufanya baada ya kukusanya taarifa za muhimu.
___________________________
Msione kimya aisee... nipo very busy na vimeo, I hope next episode itakuwa ya mwisho mwisho..

Itagusia ni namna gani nilimaliza ugomvi na kuwa huru, pia hizo taarifa nilifanyia nini? Pia yule Dada nilimalizana nae vipi.
Mkuu Gentlemen_ Hii siku naikumbuka vizuri...
 
Ni hivi: kwa kuwa nina system yake kiganjani, basi nilikaa chini na kuunda Spyware ambayo ni kundi la Keylogger.

Keylogger ni nini?
Huu huwa ni mfumo wa kidukuzi ambao unatumika kucapture/kunyakua kila kinachoandikwa. Mfano akiandika chochote basi huu mfumo unanakili nakusevu ktk format ya txt. Baadae mdukuzi anafatilia patterns na kunyakua taarifa za muhimu kama vile passwords etc.
Naomba msaada wa hiyo keylogger mkuu
 
Back
Top Bottom