Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Kaka asante sana umetutendea haki kwa kweli!

Nimejifunza watu wengi wanakipaji lakin wanakosa muda wakukaa chini na kuandika na mwisho wa siku, kipaji kinapotea… keep pushing bro na uwe unazisave mahali unaweza ukawa unaziendeleza vzr hata baadaye na ukiweza kubadilisha lughu utaziuza zaidi


Story nzuri sana! Inamafundisho na watu soon wataakutafuta uwape mfumo😁

Mtori ni mtam nyama ni nyingi chini tutulieπŸ˜ƒ
 
Sikudukua kila kitu (kwenye mfumo) hapana, bali nilifanikiwa kuingia katika root folder la website yao ambayo ndani yake kuna user's wengi nikafanya harvesting ya Emails tu. Ingawa ningetaka kuingia mpaka seblen kwao ningeweza sikuwa na interest na taasisi.. nilikuwa namtaka huyo jamaa nipate tu email yake ya kazini.

Ohh kuhusu Chain VPN etc..
Sorry unazungumzia Proxychains? Hapana... situmii hiyo mechanism kuhide identity yangu.

Ni hivi: nikiwa katika harakati za information gathering huwa natumia Kalitorify only. naam unaweza itafuta ni nini na inafanyaje kazi..

Ila nikiwa nafanya attacking situmii chochote kile kujihide, naenda kavukavu. Why?

Ukiestablish remote connections Via VPN au any other mechanisms unachanganya payload yako ambayo umeroute na NGROK kule.. hasa ukiwa unafanya attack over WAN.

sasa kwa kuwa nimeestablish connection na NGROK na tyr natumia https kama network protocol naenda kavukavu isipokuwa nakuwa makini na chanzo changu cha internet.. mara nyingi attacking zangu nazifanya kwa kutumia network ya ofisi, cafeteria au katk sehem yoyote yenye free internet ambayo ipo reliable.

Mfano NGROK tokens zile ukishazifill na ukapata access ukizima data au kubadiri chanzo cha internet ukitaka kurudi kupata sessions inakubid utengeneze payload nyingine kitu ambacho ni waste of time.

Matumizi ya VPN or Tor or proxychains kwenye attacking ya MITM ni ngumu sana.. huwa tunaenda kavukavu.

NB: kuna namna nyingi za kujilinda ikiwemo fake Programmed IP and Mac address for PC pia matumizi ya System ndani ya Virtual environment hayakuexpose sana.. tofauti na ukitumia real hardware yako moja kwa moja. Ni mambo mengi... so far..

Karibu.
 
Ohh.. Shukrani Mkuu. Tupo pamoja.
 
Mimi huwa naomba directly na huwa nakwama kwa sababu ni ngumu mtu hujazoeana naye kukupa namba kiurahisi.
 
Safi usisahau kutupa na mbinu za kutafuta hela
 
Kujilinda ni muhimu sana iwe physical (hardware) or software ndio maana taasisi zina miundo ya Kujilinda na wananunua hizo facilities kwa gharama kubwa.
πŸ™†πŸ™† Eti unaenda kavu kavu 🀣🀣🀣

Wewe una hatari sana yaani ni sawa kwenda kugonga mtu mwenye VVU kavu kavu na unajua kabisa . Usije jaribu kuingia kwenye taasisi za kifeza au nyeti eti kwa kutumia KALI utaonekana mapema hata dakika mbili nyingi.
KALI ikusaidie kuandika codes na kujua open port kwenye SYSTEM (Servers) ambazo zitakuwezesha kuingia kwenye mfumo na kufanya vitu vyako na kuondoka.

TUNAOMBA MWENDELEZO WA STORY nimejikuta naandika yaliyo nje ya mada kwa kuwa umenigusa, UNETHICAL HACKER
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…