Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Anha, sidhani kama kuna OS ipo well organized kama KALI maana napata tools zote na ndio recommended kwa pentesters wote.

Hizo taasisi nyeti na banks Wao wanatumia cloudflare and other services kujilinda yaan watablock unusual traffic ya data packets.
Mimi naweza kuziamlisha computer ambazo zipo katk circle ya Zombie PC kufanya reconnaissance! Au hata kufanya attacking mbalimbali like DDOS.

Kuangalia Open ports wala sio kazi na ishu ni reliability ya hizo ports. Na kama zimefungwa ni vipi utazifungua au utazilazimisha ziwe active through various mechanisms.

So far nina tools zangu nimetengeneza mwenyewe kabisa nitashare Link ya github.

Always naenda kavu kavu maana hata wafanyaje kunikamata hawawezi nishaweka miiko yangu ya matumizi ya hivi vifaa. Pia kibongo bongo kutafuta footprints katika mfumo bado sana.. yaan sana. Uoga tu wa watu coz pentesters wengi ni hao script kiddies 0% exposure ..
 
Okay, wewe endelea na story yako watu waburudike.

NB Tanzania ya saivi sio ya zamani kukamatwa UNAWEZA kukamatwa ukitumia kavu kavu na Kali, labda ulivyo sema ume developer tools zako na technology ni pana na inakuwa kila dakika.
hivi wewe ukiwa administrator wa server huwezi jua kuwa kuna mtu kaingia kwenye server yako?
 
Kitu napenda
 
Duuuh, pole. Yuko wapi huyo manzi kwa sasa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…