Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Ahsante,
 
Tamu
 
Sure kaka kila windo kuna namna ya kulipata.
 
Naona white hat hacker umepokea kijiti nawewe[emoji23][emoji23] tukimbize baba
 
Mkuu kujulikana inawezekana lakini inategemea na activity ambazo jamaa anafanya kwenye hiyo system, kuna logs ambazo huwa zna keep tracks ya activity za user, endapo jamaa hajafanua kitu abnormal sio rahis kwa admin kuweza notice unless afanye kitu suspicious kwa admin ndio ajue
 
Wooooooooooooyoooooooooooooooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…