Mbinu za kuishi mitaa ya kihuni, uswahilini

Mtoa mada asipingwe alikuwa muhuni maeneo hayo...halafu we jamaa nakumbuka ulinipiga roba ya mbao yenye misumari ukaondoka na begi langu pamoja na manzi niliyekuwa naye..naomba uniludishie begi langu nimeshakufaham
Aaah unanitafutia matatizo na police
Ujue Kamanda Murilo yupo anasoma comment yako
 
Wewe ni mpumbavu na hakuna code hata moja unayoijua kuishi na machizi boti.

Hujajaa wewe kwenye 18 zao.
 
Wahuni sio watu wazuri pia hawana ujamaa ukiwapa chance ya kuwa karibu na wewe na ndivyo unawapa chance ya kukuumiza labda uwe apeche alolo
 
Mtoa mada anasema tu hawajui nimezaliwa na kukulia Kiwalani na hao wengi najuana nao sababu wakati tunakuwa tumeonana.Moja ya tukio ni ugomvu wao wenyewe mmoja alishika mpira wa nje wa baiskeli uliokatwa akitumia kumchapa mwenzie na mwingine alishika visu viwili akajaribu kumtoboa au kumchana mwenzie na ilikuwa usiku raia wote tuliwaangalia tu nani aingilie mpaka mama mzazi wa mmoja wao kuingilia vinginevyo tungeona maiti.
 
Hao walikuwa wamedata
 
Watu gani hawapendi utambulisho wao,eti kinyesi kisoda kanali, kijonitel, mizuna, kipande, geza, kibuyu, mudipa, pengo, jogoomsela, kitopaz, n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ