Sisi vibaka hapa tumekuelewa vizuri sanaNikitaka 50,000 natoka 400,000 mpunga naweka home
kufanikisha hili kwanza tunahitaji mabadiliko ya fikra halafu tuache na ubinafsi tuipiganie nchi kitu ambacho hatuna kila mtu anaangalia familia yake bila kuiangalia nchi kwa ukubwa kwa ajili ya vizazi vijavyo na hii ndio inapelekea umasikini kutokuisha na unatoka kizazi kimoja kwenda kingine.ninachokiona na hasa sisi Watanzania......tutapiga porojo weeeee.....tutalaani weeee.....in few weeks....we forget kila kitu...na maisha yanasonga.....cha msingi elewa hizi gharama ni kubwa sana...
ndilo tatio letu......hii ni mbaya sana....Upige kelele na watz nikujichosha.
Usiweke hela bank wala kwenye simu. Chimba shimo chumbani kwako uzifiche.
Au nunua Piggy BankUsiweke hela bank wala kwenye simu. Chimba shimo chumbani kwako uzifiche.
[emoji28][emoji28][emoji28]Ni kumpelekea tu mtu kwa mkono. Au kutuma kwenye basi.
Hii ndio sifa yetu kuuninachokiona.......na hasa sisi Watanzania......tutapiga porojo weeeee.....tutalaani weeee.....in few weeks....we forget kila kitu...na maisha yanasonga.....cha msingi elewa hizi gharama ni kubwa sana....now wale ndugu zetu wa mikoani ndio itakuwa taabu sana.....we use to send money kila kukicha...now tunapunguza.......WATANZANIA hebu tupige kelele ndugu zangu.....labda SASHA atatusikia.........na CCM walivyo wamekubuhu.....uchaguzi ukikaribia...MKCHAKATO WA KATIBA MPYA UTAANZA.....hapo weshatutoa reli na kutupaisha....wakishinda tuu...tunarudishwa kwenye reli yetu......😡😡😡
[emoji134][emoji134][emoji134]Au nunua Piggy Bank
Ndio siku mtoto wake atakapo chukua na kwenda nayo school, kumbe ndani kuna mzigo wa kutosha. Anaweza akamfata kwa miguu bila viatu.[emoji3][emoji3][emoji3]Au nunua Piggy Bank