lunatoc
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,911
- 5,479
Wabongo Ni wapumbavu acha wanyooshweninachokiona.......na hasa sisi Watanzania......tutapiga porojo weeeee.....tutalaani weeee.....in few weeks....we forget kila kitu...na maisha yanasonga.....cha msingi elewa hizi gharama ni kubwa sana....now wale ndugu zetu wa mikoani ndio itakuwa taabu sana.....we use to send money kila kukicha...now tunapunguza.......WATANZANIA hebu tupige kelele ndugu zangu.....labda SASHA atatusikia.........na CCM walivyo wamekubuhu.....uchaguzi ukikaribia...MKCHAKATO WA KATIBA MPYA UTAANZA.....hapo weshatutoa reli na kutupaisha....wakishinda tuu...tunarudishwa kwenye reli yetu......😡😡😡