Mbinu za kukwepa gharama za mitandao

Mbinu za kukwepa gharama za mitandao

kufanikisha hili kwanza tunahitaji mabadiliko ya fikra halafu tuache na ubinafsi tuipiganie nchi kitu ambacho hatuna kila mtu anaangalia familia yake bila kuiangalia nchi kwa ukubwa kwa ajili ya vizazi vijavyo na hii ndio inapelekea umasikini kutokuisha na unatoka kizazi kimoja kwenda kingine.

maisha yetu ya sasa hayatotofautiana sana na maisha ya wanetu.

tushirikiane kudai KATIBA MPYA nchi ni yetu sote ,tuipende na kuipigania.
Dah.. Kiongozi..hivi katiba mpya itatusaidiaje kwenye hili la tozo na kodi za miamala? Nauliza tu....[emoji2960]
 
Wacha ujinga wewe!!! Nilichoandika ni kwamba hotuba yake ya siku ya kuapishwa ilitoa matumaini ya mwelekeo mzuri kwa nchi. Muwe mnasoma kwa makini badala ya KUKURUPUKA na kupotosha kilichoandikwa.

Ulishabikia bi kudemka sasa yamekuwa pesa mtungini? Hapa ni zero brain.
 
Dah.. Kiongozi..hivi katiba mpya itatusaidiaje kwenye hili la tozo na kodi za miamala? Nauliza tu....[emoji2960]
Matokea ya kodi kubwa ni kutokuwa wajibikaji. Unakatwa hela ila kuna mtu mmoja anachukua billion 1 anampa demu wake.
Mtu anaamua kununua ndege 100 by cash without any feasibility study. Hela serikali inatoa wapi.
Katiba mpya ni suruhu kwa namna moja au nyingine
 
Wacha ujinga wewe!!! Nilichoandika ni kwamba hotuba yake ya siku ya kuapishwa ilitoa matumaini ya mwelekeo mzuri kwa nchi. Muwe mnasoma kwa makini badala ya KUKURUPUKA na kupotosha kilichoandikwa.
Mwelekeo mzuri gani wa kodi za dhuluma? Apologize
 
Matokea ya kodi kubwa ni kutokuwa wajibikaji. Unakatwa hela ila kuna mtu mmoja anachukua billion 1 anampa demu wake.
Mtu anaamua kununua ndege 100 by cash without any feasibility study. Hela serikali inatoa wapi.
Katiba mpya ni suruhu kwa namna moja au nyingine
Dah... Kiongozi...Sasa tatizo ni katiba mpya au uwajibikaji?
 
Mbinu rahisi hii hapa ila nahisi itatumika sana hawa watu wa mitandao watatafuta njia ya kuthibiti.

Kama unataka kumtumia mtu hela (anaetaka kutoa cash baada ya kutumiwa) unamwambia aende kwa wakala akutajie namba ya wakala unakutoa anachukua cash. Hapo unakuwa angalau umeokoa ile hela ambayo ungekatwa kama ungemtumia moja kwa moja kwenye simu yake.

Ila watakuja na solution kuwa mtu hawezi kutoa pesa kwa wakala kama hayupo kwenye vicinity ya alipo wakala (kama hautumii mnara mmoja na wakala unaetaka kutoa hela kwake). Ili kuwathibiti watu wa mbali wanaotumia hiyo njia kukwepa makato mara mbili.

Nimewaza tu.
 
Hebu acha ujinga wewe!!! Hiyo hotuba ya siku ya kuapishwa na mpaka kodi zimepitishwa unajua nilichoandika? Wapuuzi kama wewe MNAKURUPUKA na kuonyesha ujuha wenu hadharani bila ya kujua nini kinachoendelea.

Mwelekeo mzuri gani wa kodi za dhuluma? Apologize
 
Dah... Kiongozi...Sasa tatizo ni katiba mpya au uwajibikaji?
Katiba mpya ndo inatoa mwongozo wa kitaifa. Uwajibikaji ni pamoja na kuwa accountable kwa mambo ya kuumiza taifa. Mana huwezi enda kwa Raisi eti uwe mwajibikaji! Katiba says it all.
Shida ni watu hawajui nguvu ya katiba. Kila kitu kinaanza na katiba. Katiba ina determine type of institution tulizo nazo. Na hakuna maendeleo pasipo na strong institutions. Mf. Mtu kafanya uhuni vuruga uchaguzi kisa anapower ya kumanipulate tume na matokeo yake ndo hayo. Hakuna anahoji uhalali wa hizo kodi.
What if tungekuwa na completely independent electoral commission tusingefika huku. Na tunapataje hio. Ni kupitia katiba. Kuna mengi ya kusema.
 
Binafsi. Natumia mbinu zifuatazo
1.sipigi simu ovyo unless kuwe na ishu ya msingi
2. Situmi hela kabisa kwa mitandao pia itokee dharura sana.
3.luku sijui nini naenda kununua physically kwa wakala
4.Hi mambo ya simu banking nimetoa kabisa
5. Nikitaka 50,000 natoka 400,000 mpunga naweka home
6. Hapa yenyewe natumia wireless ya kazini nikitoka hapa hamnipati

No way. Bunge sasa ni la chama kimoja.
Nchi mtajenga wenzangu
Wenye mbinu mbadala tupeana
Ushauri mzuri kabisa
 
Ukituma milioni bora kununua dera unatuma parcel inafika salama kijijini at your own risk na chenji inabakia.Kuliko kuwapa hawa madhalimu wakanunue ma v8 ya kupelekea watoto wao shule
 
Safi sana.

Nchi imekuwa ya HOVYO sana hii

Halafu nimeamini UVCCM ni wa hovyo zaidi. Hata wao wanakatwa pesa nyingi hivihivi lakini wapo kimyaaa..hahaha wanaogopa wakiongea watakuja kukosa teuzi za ukuu wa wilaya, na teuzi zingine

Hovyooo....!
 
Serikali imekosea kuleta Kodi mpya nyingi Kwa wakati mmoja na kwa maeneo ambayo ni nyeti kama ingekua ni Taifa jingine tungeshuhudia public unrest ila Mungu anatulinda kwani watanzania sio wakorofi.

Aliyetoa wazo hili katoa wazo gumu sana kwani Hali ya uchumi bado haijatengemaa na unaweka Kodi mpya Kwa kipato Cha mtu mmoja ambacho hakijakua kabisa.

Serikali inachofanya hapa ni kutengeneza awareness kwa wananchi bila kujijua, tulizoea kuona watanzania wakijadili habari za udaku ila Kwa mambo kama haya basi tegemea taratibu kuona mijadala ya mambo yenye tija.

Kuna kila dalili ya serikali kupata wakati mgumu kujiendesha.

Serikali inapaswa kuangalia madhara ya Kila inachokiamua kuliko kuangalia faida kwa upande wake tu.

Kodi hizi zilipaswa kuletwa taratibu na kwa kupeana nafasi na sio zote kwa wakati mmoja na ilipaswa hasa zilitwe wakati uchumi ukiwa mzuri.

Ila Kwa Hali hii ya uchumi , it was a very reckless decision.
 
Nimeambiwa ukitaka kutoa una kwenda kwa Wakala na kumwambia atumiwe na Wakala mwenzake kama Float Yaani Unampa wakala Million yako na nduguyo anaisubiri kwa wakala mwingine ukimpa wakala Hata 5000 × 2 ni elfu 10 cash siyo mbaya Unaokoa 21,800.

Tupo Maabara bado wabongo wanatafuta Mbinu ya kukabiliana na changamoto hii😁

C&P.
 
Nimeambiwa ukitaka kutoa una kwenda kwa Wakala na kumwambia atumiwe na Wakala mwenzake kama Float Yaani Unampa wakala Million yako na nduguyo anaisubiri kwa wakala mwingine ukimpa wakala Hata 5000 × 2 ni elfu 10 cash siyo mbaya Unaokoa 21,800.

Tupo Maabara bado wabongo wanatafuta Mbinu ya kukabiliana na changamoto hii[emoji16]

C&P.
It sounds good.
 
Back
Top Bottom